David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
As
Askari wa Miguu hili suala wengi hawaoni Kama Ni Upuuzi Mkubwa.. vitu Vingine Ni aibu Sana Fikiri una Miaka 25 umeoa halafu Mama Yako huyo na litumbo lake eti Ana mimba..... Dah Afrika tuna shida Sana...Watu wanatetea mambo ya kijinga sana humu. Mama na binti kuzaa pamoja sio maadili haya.