David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
Askari wa Miguu hili suala wengi hawaoni Kama Ni Upuuzi Mkubwa.. vitu Vingine Ni aibu Sana Fikiri una Miaka 25 umeoa halafu Mama Yako huyo na litumbo lake eti Ana mimba..... Dah Afrika tuna shida Sana...Watu wanatetea mambo ya kijinga sana humu. Mama na binti kuzaa pamoja sio maadili haya.
Watoto wako wakianza kuzaa, wewe na mkeo mnaacha huo ndio ustaarabu.Kwahiyo unataka tusizae,halafu tufanyeje sasa wakati bado nguvu ipo na pesa zipo.Usizungumzie kirahisi tu kuzaa,inapaswa ujue ili uzae kuna kitu kinafanyika ndio mnazaa,lwahiyo unataka tuache...?
You are a very responsible father. Good
Insult reportedWe pimbi kuzaa sio ujinga bali kuacha kuzaa kisa binti yako keshadungwa mimba huo ndio ujinga haswaa
Mtu mwenye status kubwa akifanya jambo lisilo na staha bado haihalalishi jamii kuigaKila mtu na maisha yake.... Muhimu wapate mahitaji yao ya muhimu... Mengi alizaa mapacha akiwa na miaka karibia 70.. na hakuna aliyeshangaa... Ila akizaa mchovu kelele mji mzima..
Too sadKukosa maadili au kuongezeana umaskini. Wife wangu kasomesha wadogo zake mpaka sometimes alikuwa analia. Akiwaambia wazee kwamba walichofanya sio fair wanchomjibu ni mungu atakuzidishia
Waliostaarabika tu ndio wanalijua hili mkuuHaipendezi ,wazazi wa zamani walikuwa wanatwanga fasta fasta ,wanapishana mwaka mmoja hadi miwili anazaa watoto wa5 hadi 10. ukipiga gap hapo Mtoto wa kwanza hadi wa mwisho wanapishana miaka 10 hadi 15......Hadi Mtoto wa kwanza anaoelewa/oa lets say miaka 24 hapo mtoto wa mwisho anakuwa na miaka 9 ambapo Mama mtu alishafunga uzazi miaka 9 iliyopita.
Kama tunakaa nao katika jamii moja hakika sisi pia tutaathirikaKatika vitu natamani maishani Basi Ni watoto wengi,, ingelikuwa nimezaliwa enzi za mabibi zangu, nikawa ktk hali nzuri kihuduma na afya watoto 12-15 ningewazaa...
Huyu Abdul mtoto wa Mengi ndio kwanza ninamsikia hapa JF leoNani kakuambia Mzee Mengi kafariki bila ya wajukuu?? Mtoto wake Rodney Motie Mengi,alifariki mwaka 2005 akiwa na watoto 2 kama sio 3, sema Regina ndiyo hataki kuzaa may be. Huyu mwingine Abdul nadhani ana watoto,sema jamaa is very cool hana mishe kabisa!
Huyo mtoto alikosa malezi ya babaKabisa mkuu mzee wangu alizaa wakwake akiwa na miaka 65 hiyo ilikua mwaka 2008 sasa hivi ka dogo ndio kanampa kampani na kumchangamsha
wakati huo huo kaka zangu wakubwa wana watoto wakubwa mbali sana kama gape la miaka 25 na haka kadogo ketu ka mwisho
Comments zako zinasikitisha sana mkuu mpaka ninajiuliza huyu ndio wewe au account yako imedukuliwa?Sio kulingana tu, hata akazidiwa kabisa na hiyo kwetu ndivyo ilivyo na wala hamna tatizo dogo wa mwisho kazidiwa miaka mingi sana na mjukuu wa kwanza wa mzee...
Hii ya wanaume sijawahi kuisikia mkuuKwa makabila ya mkoa wa mara baba na mtoto wanaweza kutofautiana miaka miwili. How possible:
Baba akipata mtoto wa kiume uzeeni hulazimika kumuozesha ili ashuhudie wajukuu na humuozesha kwa mature woman, woman akizaa watoto huitwa wa huyo mtoto wa kiume
sawa, lkn bado hilo naona si salama sana kwako kwani sio wako hao....furaha ya kweli na ya kudumu ipo katika chako; isitoshe km uwezo upo bado unaweza tu kulea na hao wajukuu.
iPOHii ya wanaume sijawahi kuisikia mkuu
Unasubiri Nini kuni-ignore, kumbe huwa unaleta mada ili uungwe hoja zako ila za wanaokupinga unaona ni wakosaji!!!Kama tunakaa nao katika jamii moja hakika sisi pia tutaathirika
Tatizo liko wapi wakikutana kliniki... mabomu yatalipuka au..?!Jenga picha mama ana miaka 45 binti ana miaka 21 wote wanakutana kliniki
Yaani kaleta hoja ya kitoto halafu anataka kila mtu akubaliane na fikra zake.Unasubiri Nini kuni-ignore, kumbe huwa unaleta mada ili uungwe hoja zako ila za wanaokupinga unaona ni wakosaji!!!
Sitafuti kuungwa mkono na yeyote humu kwahiyo fanya kuni ignore haunitishi,
Watu wenye mawazo Kama yako ndio sababu ya Tanzania kuwa nchi za mwisho kwa umasikini duniani, watu wake wengi wakiishi chini ya dola 1 kwa sikuKwa mtu kama wewe na hii mentality yako basi nadhani ulistahiki kuandika hivi,lakini kwa mtu ambae anamentity ya kumkuza mtoto wake kwa kujitegemea na kuwa mpiganaji basi hawezi kuona shida kuzaa.
Wangapi wametoboa leo bila hata ya sapoti ya shule na kutafutiwa ajira na baba zao, wapo kibao.
Lakini kazi kubwa ya mzazi ilikuwa ni kulea na wengine hata hhawakulelewa na wazazi lakini wametoboa fresh.
Kikubwa riziki haiko fixed,we ukija leo duniani utapambana na utapata riziki yako
Watu wenye pesa na utajiri unaodumu kizazi Hadi kizazi hawazai watoto utitiri, wanaozaa utitiri ni watu kama nyie ambao mkimiliki kibanda cha M Pesa na Bajaj basi mnajiona mmewekeza ile mbaya....Hahaha, wewe ungekuwa tajiri kama Mo Dewji pengine ungeoa wake 50 na watoto 200, ambapo ukifa hapo itakuwa ni vita ya kugombania mali tuKama Kigezo ni kipato cha kuwapa elimu watoto na future nzuri, basi hapo moja kwa moja jidharau wewe na umasikini wako, au panua wigo wa kipato, kama we ni mwajiriwa na kipato chako kiko fixed huna budi kufanya hayo mafamily planning yako.
Kuna watu wana pesa mpaka zinamwagika, na investments za kutosha hawa nao uwapangie uzazi. By the way kila mtu ajaye hapa duniani mwenyezi mungu kampangia destiny yake.
BRAIN WASHED.
nilikuwa na maana kwamba hautokuwa na uhuru nao sana; maono na unavyotaka wawe inaweza kuwa na mipaka/kikwazo sababu kuna wenye maamuzi nao piaExtreme selfishness is blinding!
Unaposema sio wakwangu una maana gani? Maana kama ni wajukuu wangu manake wametoka kiunoni kwa mwanangu, damu yangu! Which means my blood still flows through their veins too!