Bajeti yako kwa siku ni shilingi ngapi kwa wewe mwenye familia?

Watu wawili ,
Nanunua vitu vingi vya mwezi ,mchele,unga,sukari,mafuta,mayai,maziwa,samaki,kuku,nyama,dagaa,soseji,tambi,viungo vya kupikia,mboga za majan buku kila siku,soda nanunua chache za mtoto maana najijua ,matunda
Vingine kama maharage na ndegu,choroko napika napaki naweka kwa friji,
Bado king’amuzi ,umeme,maji ,vocha ,kufuliwa,usafi tunafanya wenyewe
bado hatujala chips vumbi na mishikaki au kutoka tu
Mim huwa nna shida mmoja nikienda mjini lazima ninunue vikorokoro tu vinanimaliziaga hela [emoji23][emoji23]
Wanawake tuna vitu vingi mno tunapenda kununua hasa vya ndani urembo,hapo bado lotion za kupaka,perfume,dawa za mbu,sabuni za vyoon
Kwa siku siwez jua natumia ngapi maana kila kitu kinakuwa ndani vile vya muhimu
 

Mim nakoboa unga 15,000 nachanganya na kisado cha muhogo nakula miezi miwili maana sipendi ugali kiukweli kila siku,wanaomaliza ni wageni [emoji23][emoji23]
Mchele 25 kg miez miwili,nikienda mirongo nyanya ,vitunguu ,viungo bei ndogo tu vingiii kweli maisha yanasonga
Pole sana ajira ni tatizo la taifa utapata tu siku moja
 
Maisha ya bongo movie
 
Huuu ni uongoo bana ,uongooooooooo[emoji848][emoji848][emoji848]

Kuna familia zinatumia zaidi ya hiyo mkuu nishaenda kwa ndugu zangu hawamcheshi maji wananunua ya dukani na familia ni kubwa ,kuna chumba ukiingia matikiti yamejaa utafikiri yanauzwa,
Kuna watu wana hela wee
 
Ila jamen mnaacha 5000 au mi sijaelewa atanunua nin mboga zilivyo na beii hao,5000 tu ni ya maziwa nyie watu ongezeni kuacha hela home acheni ubahili vitu vilivyopanda bei hivyo
Matajiri wa jf jamani cx Evelyn Salt
Nitakuwa nakupa 7000

Unapenda maziwa kama paka
 
Nitakuwa nakupa 7000

Unapenda maziwa kama paka
Maziwa,mayai yanatakiwa yawepo kuna hata hunywi maziwa kila siku sababu yananenepesha ,ni unaweka kwa maharage,kztengeneza custard,keki, kupikua chapati
 
Una ulaji mbovu mkuu,hayo masoda na Energy unayokunywa hovyo yana madhara mwilini mwako.
 
Kwa hiyo unapoagiza gari, iPhone, nguo, saa etc ulaya au asia hujiulizi hiyo kama ni mental slavery?

Ponda mali maisha ya leo siyo ya jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…