Kwani mkuu kila safari ya wachaga kwenda moshi lazima waende kifamilia ? Au kama familia ipo moshi je au familia ulitaka iende dar ili warudi moshi na balozi
Balozi alikuwa anaenda Moshi mwenyewe? Hana familia?
Jihoji.
Ajali ya mtu mzito kama balozi inatokea juzi ila inaanza kusikika mitandaoni leo(do you get the point?)
Akiwa peke yake anakoa gia kuelekea kaskazini anakutwa amefariki garini na gari likiwa limeteketea(kirahisi tu? Milango ilijilock? Labda magari ya umeme hatujui kilichojiri)
Vipi kama alichukuliwa na kuhojiwa vizuri halafu baada ya mahojiano jamaa wanao hoji wakaamua kumtupa hapo na ikachukuliwa gari mkweche moja ya kupitezea maboya ikapigwa kiberiti?
Kwani mkuu kila safari ya wachaga kwenda moshi lazima waende kifamilia ? Au kama familia ipo moshi je au familia ulitaka iende dar ili warudi moshi na balozi
Wazuri hawafi🤣...naona P unataka kupingana na ujumbe WA MSWAHILI makamba😁RIP Balozi Mushi, nimeamini wanaopendwa na wengi hufa wangali vijana!.
Huyu ni Balozi mshikaji wa 3 kuchomoka pale foreign!, alianza mshikaji Balozi Cisco, Mshikaji Balozi Akili, kufunga kufungua mshikaji Balozi Edwin Rutageruka!, sasa mshikaji Balozi Celestine Mushi!.
Wajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
P
How long does it take ku confirm kuwa ni yeye aliyefariki? Siamini kama ndani ya 6 hours KM anakosa access ya ku confirm a such socking taarifa kwa mtu wa wizara yake!!"Hatujapata taarifa hizo, tuta-comfirm (tutathibitisha), tutakwambia," amesema Balozi Sokoine.
Watu wanalipa marejesho 😀😢😀, dunia hii usipokuwa makini unakuwa kisusio.Mkata pameanza kunywa damu ya December
Ajali hii ina maswali mengi kuliko majibu.Hili la ajali kutokea tangu juzi na umma ujulishwe au uanze kupata habari leo ndio linafikirisha zaidi.
Tuishie hapo juu ya kilichomsibu marehemu, itoshe kusema ameumaliza mwendo kwa namna ya tofauti.Alipoulizwa kuhusu kifo cha balozi huyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine amesema wizara yake haijapata taarifa rasmi, wakipata watathibitisha hilo.
"Hatujapata taarifa hizo, tuta-comfirm (tutathibitisha), tutakwambia," amesema Balozi sokoine
Hivi usajili wa gari unaangaliaje? Asante.Nimeangalia kutumia hiyo namba yake ya usajili , na ikaleta GRS1800042051 na owner ni Celestine joseph mushy. Tuone mazingira ambayo hari imepata ajari ndio tutajua, kama imefanyiwa setup au ajari kama ajari ya chombo au uzember wa dereva au ya kutengezwa
Ukisikia mtu amekufa kwa ajali, usiku, mwili umeungua, jiulize maswali mengi. Kuna hawa jamaa zetu wana hiyo modus operandi, hawataki contradictions kutoka kwa madaktari wanatakapofanyia mwili postmoeterm, au wanafamilia kuwa na maswali meeengiWajameni kama hali ya uchumi inaruhusu, kwa gari ndogo, saloon cars, nunua chuma cha Mjerumani, na sio haya makatasi ya Japan!.
RIP Balozi Mushi!.
Hivi usajili wa gari unaangaliaje? Asante.
Na mmiliki wa gari ni marehemu balozi.Mbona kuna taarifa ilitoka hapa juzi aliyekufa ni mdada?