Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

Bandari mambo mazuri kuliko tunavyofikiria. DP World

Huna sababu yankujaza quotations. Weka kimoja usomeke ukishajibiwa weka. Kingine. Usifikiri paper ya. Mtihani hii. It's just a social media.

. Haya rudia kimoja tu.
Hujui kusoma na kuandika ama?hau kusoma na kwenyewe hauwezi??
Maana ww huwez kila kitu
Soma kifungu cha 5:4

Kabla hujasoma hicho kifungu, soma ukurasa wa Mwanzo kabisa inasema ni mkataba wa nini huu?
Bunge la kipuuzi,limeshapitisha hilo kipengele ni useless,
Kipengele kimoja hakiui kingine,watu wanaweza kushikiria bomba kwa kipengele kimoja 2 ,soma kipengele 23,21,22,14,10,2 hivyo vinaonesha hatuna chetu
 
FaizaFoxy umenifanya nilie kwa uchungu sana. Hawa waarabu ndio walituchukua utumwa wakatupasua na kende ili tusichanganyike na damu yap. Leo hii huwezi ona mwarabu mweusi na hutengwa sana huko uarabuni. Unashindwa kutofautisha Uislam na uarabu, [emoji24]

Hao unaoshabikia wana laana za Uislam mbaya sana. Wengine wanaotaka mkataba wana mambo haramu mengi katika Uislam.

Hakuna kitu kibaya duniani kama majuto. Mohamed Said kila siku anaandika jinsi wazee wa kiislam walivyochangia kwenye uhuru wa nchi hii. Hivi ndivyo walitaka? Unampaje mtu mkataba wa maisha ambaye Zanzibar walipigana vita kumtoa Sultan?

Laana haijawahi mwacha mtu salama. .
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji134][emoji134][emoji134] Waarabu cyoo ndg yangu teena kaulit mbiu yao uarabu kwanza uislam baadaye wabinafsii sanaa wanatudharau sana watu weusii mm Waarabu hapana kwakweli
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Tunasubiri sisi wazenji bandari yetu nayo aje muarabu
 
FaizaFoxy umenifanya nilie kwa uchungu sana. Hawa waarabu ndio walituchukua utumwa wakatupasua na kende ili tusichanganyike na damu yap. Leo hii huwezi ona mwarabu mweusi na hutengwa sana huko uarabuni. Unashindwa kutofautisha Uislam na uarabu, [emoji24]

Hao unaoshabikia wana laana za Uislam mbaya sana. Wengine wanaotaka mkataba wana mambo haramu mengi katika Uislam.

Hakuna kitu kibaya duniani kama majuto. Mohamed Said kila siku anaandika jinsi wazee wa kiislam walivyochangia kwenye uhuru wa nchi hii. Hivi ndivyo walitaka? Unampaje mtu mkataba wa maisha ambaye Zanzibar walipigana vita kumtoa Sultan?

Laana haijawahi mwacha mtu salama. .
Ila haka huwa ni kaunafiki kakubwa sana.

Waarabu walikuwa wanakuja wachache tuu..ila ndugu zenu, Wanaume waafrika wenzenu ndio walikuwa wanawakusanya wanawafunga kamba na kuwakabidhi kwa waarabu.. nani wa kulaumiwa na kuliliwa hapo?
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
Mwanamke kwetu Hana urithi
Kwao ni kule anapoolewa.
Ndio maana umejaza hizo pumba hapo coz huna chakupoteza.
 
Mwanamke kwetu Hana urithi
Kwao ni kule anapoolewa.
Ndio maana umejaza hizo pumba hapo coz huna chakupoteza.
AlhamduliLlah Waislam ndiyo dini ambayo wanawake tunarithi jwa niaka zaidi ya 1400 sasa.

Uislam ni mwema sana.

Hiyo mada kwa mwandiko wako ulivyo naelewa kuwa huwezi kuielewa kabisa.

Upo finyu sana.
 
Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu. Jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.

Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.

Uliza chochote utakacho, yote ninayiyaandika yana ushahidi.
umehamishia akili yako kwenye ushungu kichwa kikabaki kopo. hakuna anayepinga bandari, kinachopingwa ni terms za kwenye mkataba. sijui lini mtaelewa hili.
 
umehamishia akili yako kwenye ushungu kichwa kikabaki kopo. hakuna anayepinga bandari, kinachopingwa ni terms za kwenye mkataba. sijui lini mtaelewa hili.
Ushungi kama wa mama'ke Yesu au siyo?

Hakuna mkataba wa IGA duniani usioweza kukosolewa. Mapoyoyo mnadanyana.
 
Mi Waarabu nawakubali kwenye uwekezaji.
Sio kama Wachina
Uingereza yenyewe imewapa bandari zao waziendeshe.

Wana asili na bandari hao toka enzi na enzi. Hata hadithi ya Sindbad inatukumbusha hilo.
 
Faiza hana uzalendo wowote wa kuitakia Tanzania mema. Faiza ana ajenda pekee na Uislamu kuliko chochote.

Ukiona Faiza amelivalia dera swala lolote, tambua ya kuwa kuna ajenda ya siri juu ya Uislamu umefichwamo.

Bahati mbaya sana, ameacha kuwa Mwalimu wa 'huko shule mlienda kusomea ujinga' na kugeuka kuwa Mwanafunzi mjinga asiye na uwezo hata kidogo. Anaandika pumba, anakosea maandishi.
Nenda Dubai,ukaangalie waislamu walivyoendelea,kutoka a fishing village(!kijiji cha uvuvi),mpaka kuwa Global City(Jiji la Dunia),na hawana mafuta,wanategemea bandari tu,na imewainua kiuchumi.
 
Back
Top Bottom