Ni mkweli Mkuu, hata hivyo naona kwenye hili ameona atangulize maslahi ya Taifa mbele.Huyu Mzee ni rahisi kununuliwa ndio shida yake.
Wote walikuwa Itaga SeminaryHuyu ndo kachero mbobevu sasa siyo yule ambaye alikuwa aziona halafu anazichoma moto
Ukatili upi ulifanyiwa ww!!?Safi Slaa, sikupendi kwa vile uliunga juhudi ukatili wa magufuli, kwa hili tuko na wewe
Msasani?Mbona Mwalimu Nyerere aliishi kwenye Ikulu iliyojengwa na Mkoloni.
Wanapiga mkwara ili waitwe Ikulu kupewa bahasha.Ni mkweli Mkuu, hata hivyo naona kwenye hili ameona atangulize maslahi ya Taifa mbele.
Nimefurahi kuona hata Profesa Lipumba pia amekataa pia huo uuzaji.
Sio Dr. Mihogo tenaAkiwa upande wa wananchi anaondolewa dhambi zake zote
Magogoni.Msasani?
DJ taratibu atasogezwa pembeni wapinzani halisi wafanye kazi yao. Hadi sasa mkakati wa kukiua kwa kuwatumia mamluki wa Kaskazini umebuma.Aliyeuza chadema ni Dj
Huyu Mzee aliyesaliti Upinzani akahongwa Ubalozi.Humjui wewe
Walionunuliwa Wanaishi Dubai
Vip bro mwaga sera za maana , kutetea Taifa cjawahi kuelewa nyuzi zako ila ukitetea Taifa nitakuelewa.85% ya Watakaokuwepo hapo ni SSIT.
Dr Slaa niliyemfahamu miaka kadhaa nyuma,Wanapiga mkwara ili waitwe Ikulu kupewa bahasha.
Wewe huwezi kujua kilichoendelea paleHuyu Mzee aliysaliti Upinzani akahongwa Ubalozi.
Huyu ana power ya ziada ukienda Karatu kila mwananchi anakwambia Tlaa (wao hawatamki Slaa) hata kwenye tundu la sindano anapenya.Wote walikuwa Itaga Seminary
Ni Vijana wa Nyerere
Ujinga na chuki ndio tatizo lake kubwa,hujui kipi hutaki na kipi unataka,unatabia za ki malaya malaya.kwa taarifa yako watu woote wenye akili wanamtumia magufuli kama nembo ya uzalendo Tanzania,na falsafa ya jpm ndio itaiondoa ccm madarakani.Safi Slaa, sikupendi kwa vile uliunga juhudi ukatili wa magufuli, kwa hili tuko na wewe
NIlimdharau sana huyu jamaa kwa ile move ya 2015, na nina imani ndiye aliyesababisha upinzani uzorote sana na nina imani analijua hilo hata yeyeHuyu msanii tu anatafuta pakutokea.
Pesa ya Canada ishakata.