Sawa kabisa tuwekeze kwenye bandari zetu, tuondoe mapungufu, tuboreshe utendaji na miundombinu lakini sio kuwapa wengine watufanyie hayo.
 
Mh 🤔 ngoja waje akina GUSSIE lord denning and co. Wazee wa payroll tuone wanasemaje!!!
 
Kwa hili la bandari samia amewakosea sana waTanganyika na anaonekana kutokujali kabisa

Tumshtaki Kwa Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…