Bandari ya Bagamoyo: Waziri Mwambe asema Wachina walisema Dar hadi Pangani, na sio Mtwara hadi Tanga

Nina hakikisha huo miradi kama ingekuwa marehemu magu katuingiza chaka na wanavyopenda kumkosoa wangeweka hadharani hayo masharti nafuu ila kwa vile jamaa alikuwa sahihi na hiyo point aliyesimamia nina uwakika 90% yuko sahihi

Maana ni very weak wanakosea wala huo sawa dar mpaka pangani pima kijiographia uone hapo utaona bandari ya tanga ndani na ya dar kwani pangani ni pwani si ni tanga iyo

Watu walishachukua advance hapo hamna kitu utawaeleza
 
Una akili sana hapo wanaoelekeza meli zote kutoka kwao zifikie hapo huko kwingine empty na ndo zitakuwa taratibu

Watu wamekalia ushabiki tu magu aliona mbali sana
 
Kwanini tusiendeleze huu ndio ujibga wa kitanzania taifa la nje kutuzuia maendeleo yetu
 
Hio bandari tutaingizwa mkenge we ngoja tuone

Najua hao wanaoipigia chapua Wana 10% wao na vizazi vyao
 
Hamna kitu kinaweza ua reli maana reli ni njia rahisi kusafirisha mizigo mingi na mizito.. barabara ni njia ya kusafirisha watu ila reli ni ya mizigo.
 
MaCCM yanapingana yenyewe sasa hivi. Yaani ni unafiki uliokubuhu.
 
Tunapata uchungu sababu sisi si wachina, wachina sio sisi na watatusumbua sana kuwa na hiyo bandari wakiwa mabosi zetu kwa miaka mingi.

Ila Binadamu hatukupaswa kufungwa na suala la kuzaliwa, kupewa kabila sijui utaifa n.k tulipaswa tu tuwe binadamu, tutawale viumbe wengine kwa uhuru amani tukiwa na serikali moja.

Mipaka, utaifa, ukabila ni mambo yetu tuliyojitungia binadamu. Dunia haina mipaka ina nchi kavu na bahari, viumbe hai na visivyo hai. Tungejiacha tu bila kujali huku ni kwa waarabu, kule kwa wazungu.

Siku tukipata ugeni kutoka sayari nyingine tutafunguka sana.

Kwa sasa hawa wachina watatunyoosha.😁😁
 
Huyo mwambe naye anasema ujinga. Sasa utaweza kukubali bandari ya dar iache kuendelezwa?
 
Kwanza hiyo bandari si lazima kukopa kwa masharti yasiyokua na tija kwa taifa. Tunaweza pia kuijenga wenyewe kwa taratibu.
 
Renovation ya bandari ni expansion. Au unafikiri renovation ya bandari ni kupaka rangi ofisi?

Hapana Renovation ni kufanya modification ya kwenye uchakavu na kurepair! Expansion ni kuongeza capacity eg kama capacity ni ya kupokea meli 10 kwahiyo ukifanya expansion utakuwa na uwezo wa kupokea zaidi ya meli 10 ila ukipaka rangi ukirepair miundombinu capacity inabaki ile ile ya meli 10.
 
Awamu ya nne walishapiga % zao kwahyo ni lazima wapambane mradi ufanyike maana hawawezi kurejesha hizo walizochukua ukizingatia na jiwe la msingi walishaweka kuashiria mradi kuanza
 
Yawezekana kukawa ndiko kwenye mazuzu mengi.
Mazuzu jeshini wapo, sawa na huku uraiani. Usisahau hata hivyo kwamba wataalamu (professionals) wa kila fani wapo pia jeshini.

Magufuli kwa miaka yake michache kajitahidi sana kufanya yaliyoshindikana kwa watangulizi wake. Mzee Mwinyi amewahi kushuhudia hili. Lakini mara nyingi tulimsikia akisema nchi imechezewa sana akishindwa kuwataja au kuwachukulia hatua hao walioichezea nchi.

Jeshi likikamata nchi japo kwa mwaka 1, nina hakika hao wanaosemekana kuichezea nchi wataanikwa hadharani na kuchukuliwa hatua stahiki.

Umewahi kujiuliza, pamoja na kusemwa kuwa baadhi ya pesa ya escrow kusombwa toka benki kwa magari ya Ikulu mpaka leo haijulikani nani alichukua pesa ile?!
 
Eneo la mradi serikali iwajibike kuwafidia wananchi watakaoondolewa halafu limilikshwe kwa mradi.
 
Jeshi limejengwa kwa nidhamu ya kuogopa viongozi kuliko walivyo raia.
Mawazo yao ni ya kutumika zaidi bila kujali kwa faida au hasara (wanaweza kutumiwa kuiba kura/uchaguzi na wakafanya kwa nguvu zote. Itategemea wana viongozi wenye common sense na weledi au hapana.
Jamii corrupt huzalisha jeshi la ajabu na lisilotegemewa sana.
Magufuli alikuwa na majeshi aliyoyategemea, kuyapenda na kuyapendelea kwa hali na mali.
Mwenyewe alifumbia macho escrow kama vile wahusika wa kuidhinisha hawakuwa serikalini.
Kivuko chenye utata akakificha jeshini.
Jiulize pia kwa nini?
 
Hii nchi bila jeshi kutunusuru tumekwisha. It's time for the army to intervene.
Jeshi?
Uliwahi kuishi kwenye nchi inayotawaliwa kijeshi?
Hivi jeshi likitawala nchi hii utapata nafasi ya kuja kumkosoa kiongozi hapa?

Magufuli hakuwa mwanajeshi lakini alikuwa na fikra za kuzima mitandao ili asikosolewe.
Hali itakuwaje chini ya jeshi?
 
Hii nchi bila jeshi kutunusuru tumekwisha. It's time for the army to intervene.
Watu wa aina yako hata tairi ya gari liki basti mnalala chini kwa hofu mkihisi majambazi,sasahivi umevimbiwa maharage ya mbeya unaombea jeshi liingilie kati kwenye jambo lakipuuzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…