ukiwa mzembe kweli unatoa hela maana yeye akiongea anaongea kwa kujiamini haswakuna watu nikiwakuta mbele yangu naondoka hilo tawi natafuta tawi lingine.
maana wana hela kwenye mabegi,ndani ya suruali,ndani ya makoti,nikimuona tu najua hapa sitoboi nageuka naenda tawi jingine
Nadhani wanaona wakifanya hivyo watakuwa hawana tofauti na fremu za wakalaMimi huwa ninawaauliza ni kwanini madirisha yapo mengi ila teller ni mmoja?
Majibu hawana!
Wanapenda waku outsmart hasa vidada virembo vile[emoji23][emoji23][emoji23] unaona noma kugombezana unaongeza mzigoMambo hayo, Yani bank nikienda saivi watu watanuna.
Akiamua kukuibia anakuibia tu, wizi ni taaluma.Lakini kuna notes counter pale, anaweka buku buku zikifika 100 anafunga. Unaibiwaje?
😂😂😂Hatar sanadaah😅
Naelewa inavyokua unapotafuta hela uliyokua unaitegemea.
Nimeshawahi poteza Jero kipindi kile Jero za NOTI
Nilitafuta ile hela nilirudi njia niliyopita hadi eneo nililohisi nimeidondosha kweli nikaenda nikaikuta.
Nilijikubali sana ile siku
FNB kabla haijafungwa,coco plaza kuna braza man alinipiga laki 3...bahati yake nilikuwa nishaanza safari ndio nikastuka, nigemjazia nzi, usiamini mtu kwenye pesa,hesabu pesa zako ndio uondoke,na wakikujua unatabia ya ku count hawaibi!Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.
Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.
Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa unachukua yakiwa kwenye rubber band unapewa unatia kwenye BAG unasepa.
Kutokana na wingi wake huwezi kuhesabu hizo pesa mara zote huo ndio ukweli.
Haya maburungutu yapo aina mbili kuna yale ya NOTI mpya zinazokua na ki karatasi kushika noti zote (hizo hazina shida)
Kuna Hizi Burungutu ambazo noti zake ni Used unakuta zipo tayari counter pale kwa ajili ya kupewa wateja
👇👇👇
View attachment 2838836
Hizi burungutu Ndugu zanguni nawambia Ukweli nimejiridhisha kwa asilimia 100 na zaidi kwamba hata maburungutu huwa hayatimiii.
Si yote ila nakuhakikishia Ambae anabisha naomba afanye utafiti wake kisha arudi kunipa mrejesho.
Nimekua na kawaida sana ya kwenda Kuomba chenchi ninapokua nimeishiwa kwenye ofisi zangu.
Kwahyo unaweza PEWA burungutu la 2000,1000 na 5000. Mara nyingi kama mjuavyo biashara si muda wote wateja wapo.
Kuna nyakati wateja hamna mnakaa mnatizamana, Nikaona nijipe kazi ya kupanga Zile Noti za bank kwenye mafungu ya laki (noti za 5000) na 10k kwa (noti za buku na buku mbili)
Nikawa nahesabu hesabu hesabu, mara nyingi nakutaga upungufu kwenye noti za 2000 na 1000 ndio zinapochomolewa pesa.
Kila nikihesabu ni lazima kuna mafungu ntayakuta yamemiss 2000 na kwenye buku inamiss Buku.
Hawachomoi nyingi yani laki ya buku wanatoa buku na Laki ya 2000 wanatoa 2000.
Huwezi shtuka haraka utahisi umejichanganya, kilichonfanya nishtuke ni baada ya kuingia na hela kwenye chumba kisicho na pesa kabisa na begi langu nikamwaga pesa mezani kuhesabu.
Sikuamini nilihisi mazingaombwe kweli hela zimemiss.
Nikiumganisha DOTS nikapata majibu kumbe hawa watu hizi ndio tabia zao.
Unaweza jiuliza Teller anapataje marupurupu ila kumbe njia yao ni hiyo.
Wewe unae waamini BANK kwa kutohesabu pesa wanazokupa ipo siku utapga watoto wako wafanyakazi wako ukisema wamekuibia ila Nakwambia Leo hiii BANK ni WEZI mtapga watu wenu wa karibu mtawahisi na kuwafikiria vibaya lakini ukweli ni kwamba BANK kuna wezi wa kimya kimya.
Kama unaaamini hela bank hawaibi endelea.
Nimemaliza.
Mpaka mtu anapeleka fedha bank maana yake zimemzidi na anataka aiziweke haraka ili akaendelee na uzalishaji.Nadhani wanaona wakifanya hivyo watakuwa hawana tofauti na fremu za wakala
Uza bhange! Laki utaona kama jeroSuala sio kuibiwa hayo maburungutu mnayapata wapi nduguzqngu😂😂 Jana nimepoteza buku 5 nimemwaga nguo karibia zote 😀
Anyway hesabuni Hela vizuri
Buku buku za milioni mbili na buku mbili za milioni mbili unahesabuje mkuuMln 5 hizo si unazi hesabu dakika 3 chap tu mzee
Ova
Aisee Kuna jamaa aliwai nambia kapewa pesa bandia benki, ujue nilibisha mno[emoji848]Usisahau na hili.ukishtukia umepewa pesa bandia bank usijaribu kuwaambia wamekupa pesa bandia"
Ukifanya hivyo uta pigwa chini ya ulinzi na polisi walinzi na kupewa kesi ya uhujumu uchumi
na si hayo tu pia ni wa choleshaji kwa wale wazee wa front/gun man
Pesa bandia ndio mchezo wao![emoji23][emoji23] Unabambikizwa fake notes za 30,000/=Aisee Kuna jamaa aliwai nambia kapewa pesa bandia benki, ujue nilibisha mno[emoji848]
Unatak nifie jelaUza bhange! Laki utaona kama jero