wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
😄😄 meneja wa hizo bar ni yule dada mmoja hivi ana tumbo kubwa nadhani ndio yeye hua anasimamia interviews za hao wahudumu kuangalia 'Vigezo na Masharti' kuzingatiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄 meneja wa hizo bar ni yule dada mmoja hivi ana tumbo kubwa nadhani ndio yeye hua anasimamia interviews za hao wahudumu kuangalia 'Vigezo na Masharti' kuzingatiwa.
Hahaha Nina Muda sijapitaga mitaa hio sana.Sijui imekufa 😂😂 siisikiii
Na siendagi
Yule dada alishajipunguza sana ule unene hadi nilimsahau, sahivi ana umbo la kawaida sana tu.😄😄 meneja wa hizo bar ni yule dada mmoja hivi ana tumbo kubwa nadhani ndio yeye hua anasimamia interviews za hao wahudumu kuangalia 'Vigezo na Masharti' kuzingatiwa.
Basi hana roho mbaya niwajuavyo wanawake walivyo[emoji1][emoji1] meneja wa hizo bar ni yule dada mmoja hivi ana tumbo kubwa nadhani ndio yeye hua anasimamia interviews za hao wahudumu kuangalia 'Vigezo na Masharti' kuzingatiwa.
Wewe hatari nimekulia kofiaYule dada alishajipunguza sana ule unene hadi nilimsahau, sahivi ana umbo la kawaida sana tu.
Fambaf wewe[emoji1787][emoji1787]Kinywaji mzee[emoji57]
Mkuu kama wewe mwenyewe uliambiwa kwamba hapo sio salama na bado ukaenda, Sasa unashangaa kwamba Uongozi hawalijui hilo?? Kwan wewe ulikuwa hulijui? hukujulishwa before?? Kama ndivyo basi ni sawa kabisa na uongozi.Wakuu sitaki kumwaribia biashara Ila Pale Sio Pazuri Wezi ni Wengi Sana, na Sjui Uongozi wa Picnic Hawalijui Hilo
Wanakimbilia machangu kaloleni na cocorikooWageni huko the Andrews(uzunguni) hawawezi kupajua, sehemu za kistaarabu hizo.
Hata zinazokuwa ndani ya Uzio bado huwa wanaweka hicho kibao, ili kuondoa responsibility kwa Mmiliki wa eneo; Hiyo at your own risk wakati mwingine ni kwasababu hata mtu anaweza kudhuru gari yake mwenyewe na kutaka kuwajibisha Mmiliki wa eneo.Ni parking ngapi unakuta vibao "park at your own risk"? Hivi vitu sio rahisi kama unavyozungumza, mkuu. Unless parking iko ndani ya uzio, ni ngumu sana kuhakikisha usalama wa gari lako.
Motel 2000 unaendaga kufanyaje 🤣🤣🤣Mkuu kama unajirlewa nenda Andrew's, The Don, 40/40, Njooys, 2000 motel. nk
Hizo ni sehemu za watu wanaojielewa na sehemu kama hizo zipo nyingi.
Cocoriko bado nalo ni chimbo la kishamba tu kila changu anakimbilia pale.
Labda mimi kwasababu napenda sehemu tulivu.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Picnic wana firigisi amazing 🤩Wengine wanaenda PICNIC kufuata msosi
Jino kwa kwa jino
😂😂😂😂😂😂 afu wewe
Niambie totoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu wewe
Next time ukienda kulewa nenda na mshkaji wako/ndugu aendeshe, kama huna mtu nunua vinywaji kanywe lodge au hotelini uliposhukiaMkuu nilifikia Kijenge Nikaona niende na Ndinga tu Maana Davoo ni Mimi Mwenyewe
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tatizo Tembo club mbali 😩Elimu ina gharama zake mkuu.
Mimi kamwe huwezi kunikuta bar hizi uchwara napendelea lounge tulivu na sehemu zangu ni kama.
Njooys, 40/40, kipong, Bills, tembo club nk.
Ni sehemu tulivu mno.
Hasa tembo club unakaa garden na kaubaridi kama upo Ulaya ndogo haha.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mbona lounge yao nzuri na vyakula ni mwaa.Motel 2000 unaendaga kufanyaje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aende na Orlando garden.. pana utulivu sana
Orlando 😜😜ongeza na hii orlando garden ipo sakina raskazone pale..
mopao lounge moshono
machimbo yapo mengi mazuri sema mleta mada hakupewa muongozo mzuri
😎 nikajua unaendaga kwenye vile vijumbaMbona lounge yao nzuri na vyakula ni mwaa.
Orlando sijawahi kupapenda?
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kaloleni Arusha ukifanya hivyo utauawa kwa mapangaNingekuwa mimi ndo wewe, huyo mwizi kabla ya kumkabidhi kwa polisi ningemsachi (namfokoa wallet na simu na kama amevaa ndula kali namchojolesha) mixer ngumi nyingi za mdomo....