Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Wajuba wanaiba hadi side mirrors 😂😂Nature yao wana mambo ya ubabe flani hivi,sasa wakishapiga na pombe confidence zinawazidi.Hata mimi nimeathirika kisaikolojia kuwa Arusha kuna wizi wa magari,sasa nikiwa na gari huwa nakuwa sina amani yani napenda nipaki gari mahali ambapo nitakuwa naliona...
Kile kimfuniko cha nyuma