Wajuba wanaiba hadi side mirrors ππNature yao wana mambo ya ubabe flani hivi,sasa wakishapiga na pombe confidence zinawazidi.Hata mimi nimeathirika kisaikolojia kuwa Arusha kuna wizi wa magari,sasa nikiwa na gari huwa nakuwa sina amani yani napenda nipaki gari mahali ambapo nitakuwa naliona...
π€£π€£π€£π€£
Nilikuwa silijui ili..pana option..kuna VIP pale kama hutaki kusukumana
Kuna raia nilimpeleka mimi sikushukaOrlando [emoji12][emoji12]
Utulivu kama woteee
Na uchangamfu siku za mechi kubwa kubwa wa kistaa
Makange amazing
Kupanga ni kuchagua ukinisindikiza tutavitembelea kwa bashasha[emoji1787][emoji41] nikajua unaendaga kwenye vile vijumba
Wao wakija Arusha hua wanauliza 'aisee mnama Ni sehemu gani ina amsha amsha hapa Town" hahahah,wanapelekwa machakani huko.
Hahaha duh Nina Muda sana sijamuona,sikujua Kama alishapunguza mkuu.Yule dada alishajipunguza sana ule unene hadi nilimsahau, sahivi ana umbo la kawaida sana tu.
Uko sahihi.Wao wakija Arusha hua wanauliza 'aisee mnama Ni sehemu gani ina amsha amsha hapa Town" hahahah,wanapelekwa machakani huko.
Hivi Amani kule Burka umewahi kwenda?[emoji41] nikajua unaendaga kwenye vile vijumba
"Waziri wa mambo ya ndani aitishe kikao mkakati maalumu kwa ma RPC wote Tanzania wapange mpango kazi maalum na hata washindanishwe kwa utendaji kazi bora wa kudhibiti maeneo yao ya kazi kwa posho kubwa na kupanda vyeo na tunu za kipekee"Hayo mambo yatakuwa yameanza baada ya Magufuli kufa,mwaka juzi nilikuwa hapo picnic palikiwa salama sana.
Ndiyo
Nimenawa[emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo
Amani restaurant [emoji39]
Sio mbali hataTatizo Tembo club mbali [emoji30]
Ila wana meee amazing [emoji2956]
Umenikumbusha beach flan za kigoma karibu na Bohari ya Tanesco.Umenikumbusha bana!!
Miaka ya 2016/17, huku Kigoma wavuvi kwa Imani zao potofu wakaambiana kwamba kuvua kwa bulb inalipa kwelikweli kuliko karabai!
Ee bwana ee!! acha tuibiwe betri zetu za gari bana, ilikuwa balaa!
Staili waliyokuwa wanatumia ni kuvunja vioo vile vidogo bana!
Biashara zingine kumbe hovyohovyo sana! Wewe upate faida, Mimi nipate hasara, ajabu sana!!
Kunywa biaMotel 2000 unaendaga kufanyaje π€£π€£π€£
Aende na Orlando garden.. pana utulivu sana
fainali ya uefa nitaichekia pale..karibu mkuuOrlando [emoji12][emoji12]
Utulivu kama woteee
Na uchangamfu siku za mechi kubwa kubwa wa kistaa
Makange amazing
Mambo ya sekei anasema ni kijenge[emoji848]Mount Meru Hotel ipo Kijenge?.