Sijui pale ni tupaite mianzini au kaloleni lol[emoji849][emoji2]Hebu tuambie Picnick iko Arusha upande gani?
Waandike maumivu hawatakaa wanione hapo nitawaambia na ndugu zangu wa hapo Arusha
Bongo hadi kwenye hotels za kitalii unaandikiwa PARKING AT OWN RISK.Pole, mkuu. Unless kuna mahali walisema wanahusika na ulinzi wa magari kwenye hiyo parking, sioni kama ni makosa yao. Sehemu nyingi sana za starehe, unatafuta mlinzi unamwambia akuchekie mtakutana ukitoka. Parking sehemu kama hizo na nyingine nyingi is always at your own risk, goes without saying.
Weee kama huku temeke mitako bar[emoji1787]Sasa picnic wahudumu wana mizigo kama hilo lako kwa avatar...basi midume haikauki
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Nyama haina ladha kabisa asee[emoji848]Wikiend hii uende kwa moromboo ukale nyama choma za mbuzi za wamasai
Kulikuwaga na matako bar Arusha mianzini..walikuwaga na chakula kizuri sana yaani mchana wanaume walikuwa wanajaa vibaya mno.
Labda siku hiyo hukupata iliyonona mremboo
Si ipo hadi leo aiseeKulikuwaga na matako bar Arusha mianzini..walikuwaga na chakula kizuri sana yaani mchana wanaume walikuwa wanajaa vibaya mno.
Wasichana wenye nundu balaa hadi nilimtuka x wangu wa mwanzo mwanzo pale[emoji16]
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Bongo hadi kwenye hotels za kitalii unaandikiwa PARKING AT OWN RISK.
Huyu timu kitimotoLabda siku hiyo hukupata iliyonona mremboo
Hata zinazokuwa ndani ya Uzio bado huwa wanaweka hicho kibao, ili kuondoa responsibility kwa Mmiliki wa eneo; Hiyo at your own risk wakati mwingine ni kwasababu hata mtu anaweza kudhuru gari yake mwenyewe na kutaka kuwajibisha Mmiliki wa eneo.
Mwaka jana na mwaka huu pasaka daah....nyama inanukia lkn taste hakuna kabisa + uchafu
Ikiwa unajiujua huwa unalewa sana bora uache gari.
Mtu kama mimi sio mlevi ..muonjaji tu sina tatizo kabisa
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mabaamed watajuaje kama ana gari?
Kwani uyo ulie mtaja alikua baunsa pale?Hayo mambo yatakuwa yameanza baada ya Magufuli kufa,mwaka juzi nilikuwa hapo picnic palikiwa salama sana.
Kuna watu Magu aliondoka na akili zaoKwani uyo ulie mtaja alikua baunsa pale?