Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Pole sana Mkuu,ina maana hapo kulikuwa na mawasiliano kati ya huyo mhudumu aliyesema amekuelewa na huyo mwizi.
 
Unaenda kulewa na gari kama sio kutafuta ajali za kijinga ni nini

Unataka kustarehe Acha gari Hotel uliyofikia au nyumba uliyofikia
La sivyo ni kujitafutia majanga tu au ni show off
Umeongea point.
Arusha kuna bolt na indrive, usiku hakuna haja ya kutembelea private ukienda kulewa

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kipindi cha Kikwete kuna ambao walikuwa wanalipia bili zao kwa kutumia dola badala ya shiling sijui kwa sasa
 
Hivi pale nyuma ya Mtei kilombero wanapaitaje?
Pamechangamka na usalama uko full

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Mtu ukimwambia haya mambo anadhani masikhara 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…