Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
- Thread starter
-
- #101
Nipo Bado Mkuu, mpaka juma5, nikucheki badae Mzee babaArifu next time ukija chuga nitafute mdau nikupeleke viwanja vya kistaarabu kabisa at least ukiwa na raia inakuwa full.. juzi kuna bro wamempiga iphone alikuwa anatoka tu bar nje kakutana na hao sijui wana pikipiki wakamweka kati wakamla iphone wakasepa dah wizi sasa hivi ni noma sana tuwe makini sana hali ni mbaya especially at night.
Pakoje Mkuu HapoHivi pale nyuma ya Mtei kilombero wanapaitaje?
Pamechangamka na usalama uko full
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
The pillarsSikanyagi Tena Pale, jana nilienda Cocoriko ni afadhari Kidogo Kuna ustarabu, Arusha watu wengi Wana usela Mavi
Mkuu ni jingle Gani ambalo wanapiga Rhumba? I mean boringo?The pillars
The don
The hub
Blue stone
Mopao
Nenda huko hamna mafujo
Mnatoaga wapi akilo hizi?Arusha kwa sasa sio.sehemu salama ya kuishi
Kuna unyama na ushenz mwingi Sana Arusha
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Uchangudoa wa pale una miaka mingi sana.Bar yoyote ukisha karibisha machanguduo kujipanga mbele ya biashara hapo unakaribisha na wezi
Nachanganya...bila shaka anaongelea ile lounge pale mbele ya Mount meru hotelMount Meru Hotel ipo Kijenge?.
Wikiend hii uende kwa moromboo ukale nyama choma za mbuzi za wamasai
Kwanza wale dada poa wakiondoka pale na zile Bar zote pale zinajifia
Mtu akikuona picnic tayari umedharaulikaKwa mtu mstaarabu usiende hiyo bar ya Picnic Arusha ni pa hovyooo. Washamba wengi na usela mavi. Wahudumu ni wezi wa chenchi ukitoa elfu 20 kwenye bill yako kuwa makini wanaweza potea au kukubishia hujalipa. Yaani ni bar ya wasela mavi wanaojuana Kwa mgeni achana na mitaa hiyo kwanza michafu haswa. Ni tangu 2020 nikiwa Arusha sikanyagi hapo. WAJINGA WOTE WA ARUSHA KWAO PICNIC.
Huyu jamaa hizi haziwezi keshazoea zile za kubananaThe pillars
The don
The hub
Blue stone
Mopao
Nenda huko hamna mafujo
Mkuu kama unajirlewa nenda Andrew's, The Don, 40/40, Njooys, 2000 motel. nkSikanyagi Tena Pale, jana nilienda Cocoriko ni afadhari Kidogo Kuna ustarabu, Arusha watu wengi Wana usela Mavi
Hebu mpe intro ya Ar asituchafulie mjiTafadhali sana aisee, umekuja kishamba machalii wakakunyookea.
Labda Green mountain hotel karibu na kwa LalaaMkuu sikuhizi hata kwenye Magazeti na TV ni hivihivi, yaani full kupotosha. Sasa tangu lini Mount Meru ikawa Kijenge?
Kuna watu wanapenda mikeleleHuyu jamaa hizi haziwezi keshazoea zile za kubanana
Mbona mitaa ya kwetu hatuibiwi?
Triple A..pameboreshwa sanaMkuu ni jingle Gani ambalo wanapiga Rhumba? I mean boringo?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Asante Sana Mkuu, Huku ndiko kushauriana na sio kuanza kulaumianaMkuu kama unajirlewa nenda Andrew's, The Don, 40/40, Njooys, 2000 motel. nk
Hizo ni sehemu za watu wanaojielewa na sehemu kama hizo zipo nyingi.
Cocoriko bado nalo ni chimbo la kishamba tu kila changu anakimbilia pale.
Labda mimi kwasababu napenda sehemu tulivu.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app