Bar ya Picnic Arusha Kuna wizi kuanzia wahudumu, Wateja Wanawake mpaka Bodaboda Wanaopaki nje

Kule pembeni ya Nakumati ya zamani, wanakokaa ngozi nyeupe Vip pale hukaagi , pemetulia nako
 
Andrew ana chakula amazing sana

Na kule chobis kulivyojificha 😍 ni kutamu kwa kapoz
 
  • Changamoto iliyopo pale, ni kutokuwa na sehemu ya kuegesha magari, zaidi ya kuyaegesha barabarani.
  • Na gari ukiegesha barabarani, usalama wa chombo chako uko juu yako.
  • Kuhusu huyo dada wa ndani, inawezekana hana mahusiano yoyote na yule mwizi; zaidi ya huyo dada kutaka kujaribu bahati yake/ wengi wanaojiuza pale ubembeleza wanaume.
 
Haaaaa Haaaaa Wizi wa magari ni zamani, yale majambazi yote yalishapigwa shaba yamelala chini. Sahivi ni nyokaa tu ndo zinasumbua mji
 
Labda hao '3 mzuka' ni mradi wa hao askari!
 
Kwan bar ipo moja si ungeenda bar zingine zenye usalama au ulikua na lako jambo mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…