Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Tetesi: Baraza la Maaskofu (TEC)kukutana hivi karibuni

Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.

"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."

"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."

"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."

Chanzo.

Usalama wa taifa ndo viongozi wa TEC
 
Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..

Ifike mahala upuuzi huu ukome
ni kweli ni ya kwao wamewekeza kwenye uwekezaji mkubwa ikiwepo mahitaji ya jamii wao kama taasisi lakini pia waumini wao hivyo wanayo haki ya kuvizungumzia na inawezekana kabisa wasitoe majibu yote kwa jamii wakahifadhi kwa kumbukumbu zao wakaangalia jinsi gani wanaweza kukabiliana na hali ilivyo.
kama mnakumbuka kabla ya kuanza mchakato wa katiba walikuwa tayari wanaandiko la zaidi ya kurasa 500.
ikumbukwe pia kanisa nilinauhusiano wa moja kwa moja na serikali kwakuwa Vatican wanaubalozi wao pia hapa nchini pamoja hivyo lazima ieleweke hivyo kwamba Kanisa Katoliki ni Jeshi kubwa na linaushawishi mkubwa si kwa Tanganyika pekee bali Dunia nzima.
 
ni kweli ni ya kwao wamewekeza kwenye uwekezaji mkubwa ikiwepo mahitaji ya jamii wao kama taasisi lakini pia waumini wao hivyo wanayo haki ya kuvizungumzia na inawezekana kabisa wasitoe majibu yote kwa jamii wakahifadhi kwa kumbukumbu zao wakaangalia jinsi gani wanaweza kukabiliana na hali ilivyo.
kama mnakumbuka kabla ya kuanza mchakato wa katiba walikuwa tayari wanaandiko la zaidi ya kurasa 500.
ikumbukwe pia kanisa nilinauhusiano wa moja kwa moja na serikali kwakuwa Vatican wanaubalozi wao pia hapa nchini pamoja hivyo lazima ieleweke hivyo kwamba Kanisa Katoliki ni Jeshi kubwa na linaushawishi mkubwa si kwa Tanganyika pekee bali Dunia nzima.
Wasiyumbishe Serikali,Nchi sio Mali ya Kanisa
 
Pasuka na ufe

Ila tutapinga mikataba yote ya kinyonyaji bila kuogopa kwa sababu ni urithi wetu

Mtaitapika hiyo asali wajinga kabisa nyniyi

Unapiga huku umejificha chumban kwako kajiunge na wenzako waloandaman tuwapelele rumande mapopoma nyie
 
Uwekezaji kwenye migodi aliopitisha mkapa ulijali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..hao TEC walikusanya magovi yao kujadili!?.. mkataba wa dp na bandari umesainiwa mpaka useme uwekezaji hauna tija!?..kuongeza Pato bandari kwa zaidi ya 100% ni kutojali maslahi ya nchi?..kuwezeshwa bandari kichangia bajeti kwa zaidi ya 67%+ badala ya 30 ya Sasa ni kutojali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..huwa mnafikiri,au chuki za kidini huwa ulevi kwenu kiasi kurukwa akili!?
shehe inamankusweke
 
Wasiyumbishe Serikali,Nchi sio Mali ya Kanisa
Ni kweli, lakini amini usiamini, TEC ni miongoni mwa kundi la deepstate .. wanaushawishi sana kwenye maswala ya taifa hili. Rejea historia fiche ya taifa hili utakuja kuniambia ....Hawa ndugu zetu wakatoliki Wana nguvu sana ya kiushawishi. Refer waraka wa TEC kwa the departed ,the late .
 
Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Hapooooo,,,, ndipooooo..talatanta .....nunuuuu Utajua Vaticanoooo Wana nguvu kiasi Gani?
 
Ni kweli, lakini amini usiamini, TEC ni miongoni mwa kundi la deepstate .. wanaushawishi sana kwenye maswala ya taifa hili. Rejea historia fiche ya taifa hili utakuja kuniambia ....Hawa ndugu zetu wakatoliki Wana nguvu sana ya kiushawishi. Refer waraka wa TEC kwa the departed ,the late .
Kwa sababu walijengewa mazingira ya Upendeleo na Nyerere so Nchi inatakiwa kutoka huko , sio Mali ya Kanisa la RC
 
Wasiyumbishe Serikali,Nchi sio Mali ya Kanisa
hawazi kuyumbisha wao wanachotaka ni kujua ukweli kwa kadri ya mazingira salama wayaonavyo ili ikitokea wametoa tamko kwa waumini wao wajue wameongea kitu sahihi na si kwa kukurupuka!
inawezekana hata hiyo agenda ikahailishwa kwa kuwa hawa jamaa hawafanyi vikao na ajenda zao zikajulikana kizembe namna hiyo. kinaweza kuwa kikao kazi na hasa ukichukulia maaskofu karibu wote walikuwa Roma na huko walikutana na Papa sasa huwenda ni kiako cha kichungaji cha kawaida kabisa.
 
Udini unaletwa na Kanisa Katoliki.
Ukifuatilia siasa za hii nchi mara nyingi chokochoko hizi hufanyika kwa sana rais akiwa muislam.

Hata kama ikiwa kweli yanayofanyika si sahihi lakini kwa nini TEC huyafanya haya zaidi rais akiwa muislam?

Na ndiyo maana zinazuka hoja kuwa hawa watu ni wadini. Sasa wasitupeleke huko! Kama wanavyofunga vinywa vyao kiongozi akiwa mkatoliki mwenzao basi na kwa sasa wavifunge hivyo hivyo!

Kama wanataka kumshauri rais wamfuate kwa siri.
kwa hiyo hata jambo likiwa baya wao kama viongozi wakae kimnya kisa muislam ndio rais. Kwanza hii inchi inaongozwa na rais na sio muislam atakoselewa kama rais wa nchi
 
Kwa sababu walijengewa mazingira ya Upendeleo na Nyerere so Nchi inatakiwa kutoka huko , sio Mali ya Kanisa la RC
ha..ha..ha... Nyerere hakuwapendelea Wakatoliki yeye ndiye aliyewadhoofisha wakatoliki kwa faida ya Watanganyika wote.
vinginevyo wakatoliki wangekuwa mbali zaidi ya hapa walipo kwa uwekezaji.
la msingi hapa tusigombane tuangalie na tutulie tusubiri hoja zitakazo jadiliwa kama kweli zipo zinaweza kutusaidiaje kama watanganyika kwetu sisi na vizazi vijavyo, kanisa halitegemei kushawishi maandamano bali linaweza kuwashawishi watu wasli na katika hili la sala hushusha hasira na mihemko inayoweza kuleta vurugu ndani ya nchi.
 
Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Tamko halijatoka unaanza kuogopa. Kama wakiunga mkono?
 
Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..

Ifike mahala upuuzi huu ukome
Katoliki sio wa kukemewa, shauri yako. Hata magufuli Kuna vingi walimpinga na alikuwa haelewani nao kabisa, hadi leo hii katibu wa TEC kitime anamponda magufuli
 
Hawa ni wanafiki tu na udini unawasumbua. Wamesikia Mwarabu anapewa bandari ndio roho zimewatoka. Pia, wanaona yale mambo yao ya kupitisha makontena yasiyo na idadi bandarini kwa kigezo cha misamaha yanaenda kuisha. Mbona hawakuita hiyo mikutano yao kipindi kile maiti zinaokotwa kwenye viroba?
 
Back
Top Bottom