Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Kwahyo kwenye haya makubaliano (IGA) zinakubaliana nchi gani na nchi gani?Dubai sio nchi nchi ni Emirates
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo kwenye haya makubaliano (IGA) zinakubaliana nchi gani na nchi gani?Dubai sio nchi nchi ni Emirates
Vyanzo ndani ya Kanisa Katoliki vinatabanaisha kutakuwa na kikao rasmi cha Baraza la Maaskofu huku pamoja na mengine litajadili SINTOFAHAMU kubwa inayolikumba Taifa kwa sasa kuhusu suala la BANDARI.
"...baba Maaskofu watapewa mwaliko wa kutaniko ndani ya wiki hii na tayari Mhashamu Rais wa TEC alishatoa maelekezo kwa Katibu ili aandae ratiba ya kutaniko lile."
"....yaah, kama unavyoona jambo hilo limezua SINTOFAHAMU kubwa hadi ndani ya Waamini wetu sasa wao kama Wachungaji ni muhimu walijadiri ili pamoja na mambo mengine wawe na namna bora hata ya kulisemea kwa Jumuiya ya Waamini wao."
"...ni imani yangu utatolewa ( WARAKA ) na kutumwa kwenye Jumuiya za Wakatekumeni baada ya kutaniko lile."
Chanzo.
ni kweli ni ya kwao wamewekeza kwenye uwekezaji mkubwa ikiwepo mahitaji ya jamii wao kama taasisi lakini pia waumini wao hivyo wanayo haki ya kuvizungumzia na inawezekana kabisa wasitoe majibu yote kwa jamii wakahifadhi kwa kumbukumbu zao wakaangalia jinsi gani wanaweza kukabiliana na hali ilivyo.Hawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..
Ifike mahala upuuzi huu ukome
Wasiyumbishe Serikali,Nchi sio Mali ya Kanisani kweli ni ya kwao wamewekeza kwenye uwekezaji mkubwa ikiwepo mahitaji ya jamii wao kama taasisi lakini pia waumini wao hivyo wanayo haki ya kuvizungumzia na inawezekana kabisa wasitoe majibu yote kwa jamii wakahifadhi kwa kumbukumbu zao wakaangalia jinsi gani wanaweza kukabiliana na hali ilivyo.
kama mnakumbuka kabla ya kuanza mchakato wa katiba walikuwa tayari wanaandiko la zaidi ya kurasa 500.
ikumbukwe pia kanisa nilinauhusiano wa moja kwa moja na serikali kwakuwa Vatican wanaubalozi wao pia hapa nchini pamoja hivyo lazima ieleweke hivyo kwamba Kanisa Katoliki ni Jeshi kubwa na linaushawishi mkubwa si kwa Tanganyika pekee bali Dunia nzima.
Pasuka na ufe
Ila tutapinga mikataba yote ya kinyonyaji bila kuogopa kwa sababu ni urithi wetu
Mtaitapika hiyo asali wajinga kabisa nyniyi
Pasuka na ufe
Ila tutapinga mikataba yote ya kinyonyaji bila kuogopa kwa sababu ni urithi wetu
Mtaitapika hiyo asali wajinga kabisa nyniyi
AahaaaaaHawa jamaa ni kama wana kamusi yao, kila wakitoa waraka unakutana na vibomba visivyokuwemo kwenye kamusi ya TUKI
shehe inamankuswekeUwekezaji kwenye migodi aliopitisha mkapa ulijali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..hao TEC walikusanya magovi yao kujadili!?.. mkataba wa dp na bandari umesainiwa mpaka useme uwekezaji hauna tija!?..kuongeza Pato bandari kwa zaidi ya 100% ni kutojali maslahi ya nchi?..kuwezeshwa bandari kichangia bajeti kwa zaidi ya 67%+ badala ya 30 ya Sasa ni kutojali kizazi Cha Sasa na kijacho!?..huwa mnafikiri,au chuki za kidini huwa ulevi kwenu kiasi kurukwa akili!?
Ni kweli, lakini amini usiamini, TEC ni miongoni mwa kundi la deepstate .. wanaushawishi sana kwenye maswala ya taifa hili. Rejea historia fiche ya taifa hili utakuja kuniambia ....Hawa ndugu zetu wakatoliki Wana nguvu sana ya kiushawishi. Refer waraka wa TEC kwa the departed ,the late .Wasiyumbishe Serikali,Nchi sio Mali ya Kanisa
Hapooooo,,,, ndipooooo..talatanta .....nunuuuu Utajua Vaticanoooo Wana nguvu kiasi Gani?Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Hata mm tangu waliposhindwa kukemea zuio la Serikali la kumuombea Mgonjwa Tundu Lissu nilidharqu sana Kanisa!Nitaanza tena kuingia kwenye nyumba za ibada wakisimama na wananchi
Kwa sababu walijengewa mazingira ya Upendeleo na Nyerere so Nchi inatakiwa kutoka huko , sio Mali ya Kanisa la RCNi kweli, lakini amini usiamini, TEC ni miongoni mwa kundi la deepstate .. wanaushawishi sana kwenye maswala ya taifa hili. Rejea historia fiche ya taifa hili utakuja kuniambia ....Hawa ndugu zetu wakatoliki Wana nguvu sana ya kiushawishi. Refer waraka wa TEC kwa the departed ,the late .
hawazi kuyumbisha wao wanachotaka ni kujua ukweli kwa kadri ya mazingira salama wayaonavyo ili ikitokea wametoa tamko kwa waumini wao wajue wameongea kitu sahihi na si kwa kukurupuka!Wasiyumbishe Serikali,Nchi sio Mali ya Kanisa
kwa hiyo hata jambo likiwa baya wao kama viongozi wakae kimnya kisa muislam ndio rais. Kwanza hii inchi inaongozwa na rais na sio muislam atakoselewa kama rais wa nchiUdini unaletwa na Kanisa Katoliki.
Ukifuatilia siasa za hii nchi mara nyingi chokochoko hizi hufanyika kwa sana rais akiwa muislam.
Hata kama ikiwa kweli yanayofanyika si sahihi lakini kwa nini TEC huyafanya haya zaidi rais akiwa muislam?
Na ndiyo maana zinazuka hoja kuwa hawa watu ni wadini. Sasa wasitupeleke huko! Kama wanavyofunga vinywa vyao kiongozi akiwa mkatoliki mwenzao basi na kwa sasa wavifunge hivyo hivyo!
Kama wanataka kumshauri rais wamfuate kwa siri.
ha..ha..ha... Nyerere hakuwapendelea Wakatoliki yeye ndiye aliyewadhoofisha wakatoliki kwa faida ya Watanganyika wote.Kwa sababu walijengewa mazingira ya Upendeleo na Nyerere so Nchi inatakiwa kutoka huko , sio Mali ya Kanisa la RC
Tamko halijatoka unaanza kuogopa. Kama wakiunga mkono?Mbona uwekezaji wa gas ya Lindi waliyopewa wazungu hauzui sintofahamu!?..nyakati zimebadilika,siyo 70,80,90s hii,wao wakae,wanywe divai,wapige goti mbele ya sanamu,dp watapewa bandari
Hakuna tajiri anayeweza kuwa chawaMimi tajiri sana na nina maisha mazuri sana kushinda wewe
Nani chawa?Hakuna tajiri anayeweza kuwa chawa
Katoliki sio wa kukemewa, shauri yako. Hata magufuli Kuna vingi walimpinga na alikuwa haelewani nao kabisa, hadi leo hii katibu wa TEC kitime anamponda magufuliHawa mabwana Huwa wanajifanya Tanzania ni Mali Yao na Kila mara Rais akiwa Muislamu lazima walete chokochoko..
Ifike mahala upuuzi huu ukome