MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ngoja nikawacheki wanangu wa Mzimuni, Diplomasia na Yusufu Makamba. Ila hawa St Francis na Ilboru walitunga huo mtihani wao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwl natumaini umevusha wanetu salama.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
cc Smart911
Diplomasia mwaka huu kazi wanayoHaya ubao huo
Wana hatari sana mkuuDiplomasia mwaka huu kazi wanayo
Kwakweli....Kila mmoja anajua mfumo na content kwenye elimu yetu ushapitwa na wakati ila kila mmoja pia hajui njia mfumo sahihi upi na tunauanzaje. Wanachi na serikali Kwa ujumla hawataki kuingia gharama kubadilisha mfumo.