Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza matokeo ya Kidato cha nne 2023. Ufaulu waongezeka

Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza matokeo ya Kidato cha nne 2023. Ufaulu waongezeka

Tatizo ni pale watakapo hitimu alafu wanasiasa wawabie wajiajili kwa kuwa boda boda na wachoma mahindi dah ,aisee elimu ya nchi hii ni taka taka kabisa.
Kwani ada za pale si ziko juu?

Sidhani mtoto wa kike aliyemaliza St.Francis kama mzazi au mlezi wake,atashindwa kumpa msingi.
 
kuna hii shule inaitwa ST. Francis Girls ya Mbeya, hii shule watoto 91 wote wamepata daraja la kwanza yaani Division one, mwanafunzi aliyepata Alama ya chini zaidi amepata One ya 11 na ni wanafunzi watatu (3)tu ambao wamepata madaraja ya kwanza ambayo siyo ya 7 na wao wana 10 , 10 na 11 basi.

View attachment 2882473

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kama hakuna udanganyifu ulio fanyika, nawapa Hongera sana.

Naamini Baraza la mitihani lipo makini kudhibiti udangqnyifu.
 
Enzi zetu 1 za 7 o level zilikuwepo tu, ila hakuna kitu nilishangaa kama mwaka Jana nakuta eti Kuna shule pcm na pcb wamepiga 1.3 karibia wanafunzi wote... Miaka ya 2008 huko advance kupiga 1.3 aisee sio mchezo
Miaka hio walimu walikuwa wachache sanaaa, uhaba wa vitabu, mwamko duni wa wazazi kusapoti wanafunzi,

Saizi dogo anaenda advance mzazi anatenga 300k anampa vitabu tu, kwann madogo wasifaulu,

Enzi zenu shule nzima kuna Chand 5, saiz kila mtoto ana chand
 
Miaka hio walimu walikuwa wachache sanaaa, uhaba wa vitabu, mwamko duni wa wazazi kusapoti wanafunzi,
Saizi dogo anaenda advance mzazi anatenga 300k anampa vitabu tu, kwann madogo wasifaulu,
Enzi zenu shule nzima kuna Chand 5, saiz kila mtoto ana chand
Hehehehe aisee na hapo bado unasoma mazingira bila internet ,sasa hivi Kila kitu wanapata mtandaoni

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
ahhahahha dah nouma sana hao machalii ni vipanga balaa kwa iyo alopata div 1 ya 10 ndio kilaza au?
 
Cjaelewa, kwamba umechukia au umefurahia?!
Nadhani ameshangazwa na ufaulu wa kiwango hicho kwa idadi kubwa ya wanafunzi.

Ni jambo la msingi kuwa na mashaka ili kujiridhisha; Je? Ufaulu huo ni wa kihalali au kuna udanganyifu?

Tusishangilie na kusherehekea kumbe kulikuwa na udangqnyifu wa hali ya juuu.
 
Ufaulu umepanda hadi kufikia asilimia 86.78 ukilinganisha na mwaka 2022 ufaulu wa watahininiwa umeongezeka kwa asilimia 0.87 ambapo idadi kubwa ya wasichana wamefaulu huku wavulana wakifaulu vizuri zaidi katika masomo yao.
Ufaulu wenyewe ndio huu wa divisheni foo za kumwaga? Ama kweli aliyeiroga nchi hii kafa.
1706195522904.png
 
kuna hii shule inaitwa ST. Francis Girls ya Mbeya, hii shule watoto 91 wote wamepata daraja la kwanza yaani Division one, mwanafunzi aliyepata Alama ya chini zaidi amepata One ya 11 na ni wanafunzi watatu (3)tu ambao wamepata madaraja ya kwanza ambayo siyo ya 7 na wao wana 10 , 10 na 11 basi.

View attachment 2882473
kazi na sala.ukitaka matokeo hayo kajifunze kwa wakatoliki wenye elimu yao.
 
Kila zama na kitabu chake, zama hizo mambo yalikuwa kinyume. One mbili, two tano, three 10, four 40, zero 25. Leo pindua matokeo.
 
Kuna Whatsapp group 1 la soka nimo, unakuta mtu anakuja anaulizia Matokea ya Match... anaemjibu analeta screenshot ya LIVE SCORE... sa sielewi anawezaje kuingia Whatsapp lkn hwz kuingia live SCORE ama Google
Kukosa maarifa
 
Nadhani ameshangazwa na ufaulu wa kiwango hicho kwa idadi kubwa ya wanafunzi.

Ni jambo la msingi kuwa na mashaka ili kujiridhisha; Je? Ufaulu huo ni wa kihalali au kuna udanganyifu?

Tusishangilie na kusherehekea kumbe kulikuwa na udangqnyifu wa hali ya juuu.
Ndo Mambo mapya siasa mpaka ktk elimu, miaka yetu ukipata dvs one unaweka historia kijijini/mtaani miaka kadhaa!!
Sasa dvs one ni Jambo la kawaida sawa na bure tu 😂😂
 
Ndo Mambo mapya siasa mpaka ktk elimu, miaka yetu ukipata dvs one unaweka historia kijijini/mtaani miaka kadhaa!!
Sasa dvs one ni Jambo la kawaida sawa na bure tu 😂😂
Nyie mlikuwa hamna miondombinu wezeshi ya kufaulu
 
Back
Top Bottom