Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza matokeo ya Kidato cha nne 2023. Ufaulu waongezeka

Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza matokeo ya Kidato cha nne 2023. Ufaulu waongezeka

Always shule za umma ndio zitaendelea kuwa bora kwa kila category. Tumechoka na promo za shule za private wakati hakuna cha maana kuzidi shule za umma.

Private zina walimu wa kuungaunga kiasi kwamba wengine hawana taaluma ya ualimu mradi tu mtu anaweza kubabaisha kwenye masomo fulani aliyoyasoma A Level/o level /mhitimu wa chuo fulani/fani/taaluma fulani anapewa darasa akababaishe huko na akishindwa anatimuliwa kama kocha wa timu ya mpira wa miguu.

Serikali inaajiri walimu waliosoma ualimu na kufaulu, ni wa kudumu na wanamudu ufundishaji wanafunzi tofauti na shule za private wanaokoteza walimu na kuwalipa mshahara mdogo watakavyo
Sasa mbona hizo shule zenye walimu wazuri unasosema zinachemka kwenye matokeo kila siku? Tatizo ni nn mkuu au wanatungiwa mitihani tofauti?
 
Madogo wameitendea vyema shule yao.View attachment 2883018
Shule yangu pendwa.
Enzi hizo uko form V unakutana na dogo wa form two anasolve kitabu fulani hivi kinaitwa abort dogo amekunja sura kinyama

Sasa unajiuliza me nimetoka st kayumba abort nimeijua niko form four huyu dogo form one ndo anapumzikia hiki kitabu daah unachoka kbsa.
 
Back
Top Bottom