Always shule za umma ndio zitaendelea kuwa bora kwa kila category. Tumechoka na promo za shule za private wakati hakuna cha maana kuzidi shule za umma.
Private zina walimu wa kuungaunga kiasi kwamba wengine hawana taaluma ya ualimu mradi tu mtu anaweza kubabaisha kwenye masomo fulani aliyoyasoma A Level/o level /mhitimu wa chuo fulani/fani/taaluma fulani anapewa darasa akababaishe huko na akishindwa anatimuliwa kama kocha wa timu ya mpira wa miguu.
Serikali inaajiri walimu waliosoma ualimu na kufaulu, ni wa kudumu na wanamudu ufundishaji wanafunzi tofauti na shule za private wanaokoteza walimu na kuwalipa mshahara mdogo watakavyo