Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee.kuna hii shule inaitwa ST. Francis Girls ya Mbeya, hii shule watoto 91 wote wamepata daraja la kwanza yaani Division one, mwanafunzi aliyepata Alama ya chini zaidi amepata One ya 11 na ni wanafunzi watatu (3)tu ambao wamepata madaraja ya kwanza ambayo siyo ya 7 na wao wana 10 , 10 na 11 basi.
View attachment 2882473
Matokeo yamekosa mvuto kabisa .Nimeshangazwa tu manake enzi zangu 1.7 zilikuwa hazizidi 15 nchi nzima ,pia siwezi chukizwa na matokeo Yao manake Sina direct affiliation na hao wahitimu...
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hiyo sio sababu.Miaka hio walimu walikuwa wachache sanaaa, uhaba wa vitabu, mwamko duni wa wazazi kusapoti wanafunzi,
Saizi dogo anaenda advance mzazi anatenga 300k anampa vitabu tu, kwann madogo wasifaulu,
Enzi zenu shule nzima kuna Chand 5, saiz kila mtoto ana chand
Ficha ujinga wako.Hehehehe aisee na hapo bado unasoma mazingira bila internet ,sasa hivi Kila kitu wanapata mtandaoni
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Mpaka wanafunzi wa buza nao wanapata one ,ama kweli elimu imekuwa nyepesi zama hizi.Ufaulu wenyewe ndio huu wa divisheni foo za kumwaga? Ama kweli aliyeiroga nchi hii kafa.
View attachment 2882590
Hawa ni makada, watoto wafaulu wasifaulu mishahara inapanda hawapewi target zaidi ya kusaidia chama kwenye uchaguziHawa Walimu wa shule za serikali focus yao iko kwenye nini?
Uchaguzi?🐼
Mbona Shule kama Marian boys Wanafunzi wote wamepata Div One?
Haya sasa ndio mambo ya kuandamania
Jumaa Mubarak
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mods NIACHIENI uzi wangu kama ulivyo, msipeleke popote! Mnanionea sana.
-Wote wamefaulu, wachacheeeee ndo wamefeli.
-I.7 kama zote........
-Shule kubao zina ufaulu wa daraja la kwanza tu basi.....
-Watajaa chuo cha sheria Tanga hadi watapwakuka. Wakishamaliza wanarudi kuja kuingiza nyimbo kwenye simu.
Kwa matokeo haya afu ni Buza, mbona wamefanya vizuri sana,Ufaulu wenyewe ndio huu wa divisheni foo za kumwaga? Ama kweli aliyeiroga nchi hii kafa.
View attachment 2882590
Shule za private zinazojitambua during holiday kwenye barua kwenda wazazi wanaonya kabisa watoto wadhibitiwe - simu, tv, mavazi, makundi, nk. wawapo likizo. Mwezi mmoja tu wa likizo unatosha kumharibu mtoto completely asipokuwa controlled ipasavyo. Sasa hao wenzangu na mie uswahilini huku who cares? Sio. Mzazi, sio ndugu wala jamii inajali!Kabla ya kumlaumu mwalimu angalieni mazingira ya watoto wenu huko majumbani.