chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa, alikuwa CUF, mpaka leo ana kadi huko)na Mpina.
Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.
Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya rais wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.
Mama SSH, huyu yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.
Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?
Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.
Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu CCM, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao.
Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.
Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya rais wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.
Mama SSH, huyu yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.
Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?
Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.
Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu CCM, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao.