Bashiru avuliwe ubunge, apewe ukatibu tawala wa wilaya. Ni wakati sasa watu wajue hii ni Awamu ya Sita

Bashiru avuliwe ubunge, apewe ukatibu tawala wa wilaya. Ni wakati sasa watu wajue hii ni Awamu ya Sita

Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa, alikuwa CUF,mpaka leo ana kadi huko)na Mpina. Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.

Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonyesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya raisi wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.

Mama SSH, huyu Yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.

Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?

Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.

Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu ccm, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao
UBUNGE wake UPEWE WEWE[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa, alikuwa CUF,mpaka leo ana kadi huko)na Mpina. Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.

Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonyesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya raisi wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.

Mama SSH, huyu Yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.

Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?

Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.

Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu ccm, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao
Wazo la mpumbavu mbobezi
 
Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa, alikuwa CUF,mpaka leo ana kadi huko)na Mpina. Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.

Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonyesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya raisi wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.

Mama SSH, huyu Yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.

Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?

Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.

Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu ccm, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao


Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonyesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya raisi wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.

Nimecheka kwa sauti.
 
Suala si kumvua madaraka, suala ni je hoja aliyoiongea ina mashiko? UVCCM jifunzeni kujibu hoja kwa hoja, hatujaona hata mmoja kati yenu kajibu hoja za Mh. Bushiru badala yake ni matusi na dhihaka.

Nyie ndiyo CCM ijayo kama mnakuwa na mihemko ya namna hii hiyo CCM yenu mtaifikisha wapi enyi vijana, mnakiua chama chenu.
 
Wewe ndiye mpumbavu "mpumbavu ni yule mtu ambaye hajui kitu lakini anajifanya anajua" Sasa ndio wewe mleta mada ,ivi unadhani huku wote ni wapumbavu kama ulivyo wewe na hao wenzako eeh kwanza picha yako kwenye avatar yako inasadifu yaliyomo kwamba siasa zako ni zawachumia tumbo ,kweli ccm inavijana wa hovyo sana
 
Povu la nini sasa?
Unaongea kama nchi ya baba yako vile!!!
Yani hata mimi nimekudharau.
 
Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa, alikuwa CUF,mpaka leo ana kadi huko)na Mpina. Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.

Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonyesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya raisi wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.

Mama SSH, huyu Yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.

Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?

Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.

Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu ccm, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao
Mbona mnatia AIBU hivii.
Yani yale maneno ya Bashiru yamekitikisa chama kiasi hiki... Chama linachomiliki dola. Mbona mnakuwa wepesi hivyo
 
Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa, alikuwa CUF,mpaka leo ana kadi huko)na Mpina. Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.

Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonyesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya raisi wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.

Mama SSH, huyu Yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.

Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?

Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.

Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu ccm, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao
Jizi kazini
 
Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa, alikuwa CUF,mpaka leo ana kadi huko)na Mpina. Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.

Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonyesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya raisi wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.

Mama SSH, huyu Yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.

Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?

Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.

Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu ccm, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao

Reading between the line kisaikolojia unaonekana wazi wazi unakuwa driven na rabid hatred ya Dk.Bashiru wala si kitu kingine, wa kale walisema kama huna jambo jema la kuzungumza kuhusu binadamu mwenzako ni vema ukakaa kimya au mshauri kwa nia mjema kuliko kumzulia mambo na kusema chochote kicho cross your mind.Ndio maana maelezo yako ukiyachunguza kwa umakini ni totally incoherent - mara Bashiru alikuwa mwanachama wa CUF,mara sijui mwondolee Bashiru wadhifa wa Ubalozi, mara sikui Bashiru kaiba nini huko CCM, mara Bashiru sijui aliwahi kufanya scandal gani hapo Chuo Kikuu.

Yaani comments zako licha ya kuwa too childish, unaonekana vile vile kwaba lengo lako unataka kumwaribia sifa Dk.Bashiru mbele ya Madam President na washauri wake, unajifanya as if SSH hamwelewi kiundani Dk.Bashiru, wakati kila mtu mwenye akili timamu anajuwa kwamba Rais Samia amewahi kufanya kazi na Bashiru Serikalini wanajuana, lakini sisi watu baki tunapania kumchonganisha yeye na Bashiru kwa stori za kutunga tu!! Why don't you keep chuki zako binafsi to yourself au na wewe uliwahi kuwa mnufahika wa uporaji na kujimilikisha mali za CCM sasa Dk.Bashiru alipo wawekea pini mnamuona ni mbaya ndio maana mnabuni mbinu za kumwaribia sifa/kumbomoa kisiasa - but remember SSH is mega smart upstairs hawezi kuwekea maanani siasa zenu za maji taka.
 
Ni wazi kwamba watu wenye uroho wa madaraja, wanayataka hata kama eakimeaga damu, ambao walikuwa hawamtaki SSH, na Wana kundi lao dogo sana linaloongozwa na NDULI Bashiru (chasaka wa kisiasa, alikuwa CUF,mpaka leo ana kadi huko)na Mpina. Linazama majini kujificha pumzi ikikata linaibuka juu ya maji, juzi Bashiru kaibuka. Polepole alitaka kuunguruma mbele ya Amiri Jeshi, anajua kilichompata, ila sisi wanazi wa Samia hatujaridhila hata kwa ubalozi wa Malawi aliopewa. Bado tunaye tu.

Ni mtu mwenye kinyongo sana, na kaonyesha ana roho mbaya sana na anamjadili vibaya raisi wetu mafichoni, ni juzi tu kajisahau kamjadili hadharani.

Mama SSH, huyu Yuko ndani ya fensi, twanga kabisa huyu ili ajue mipaka yake. Hii itapeleka salamu kwa wenzake kwamba hali si hali.

Shusha chini kabisa kwa Katibu tawala wa Wilaya ya Nkasi, na dola imchangamshe kidogo, kasahau alivyokwapua mabilioni wakati Jiwe anafariki kwa kisingizio Cha kumtibu?

Pia huyu ni mwana CUF na kadi hajarudisha.

Bashiru ni moja ya majitu makatili sana, na ana roho mbaya sana, alichukiwa sana enzi akiwa Katibu Mkuu ccm, na hata akiwa mwalimu chuo kikuu, alisifika kwa roho mbaya na kuchukia watoto hasa wa masikini na kuwafelisha masomo yao
Mkuu Shida iko wapi?
Si mlisema wenyewe kila Mtu ana haki ya kutoa Maoni?
Bashiru kasema kidogo sana cha ajabu sukari zimewapanda kwa hali ya juu sana.
Naona Manguli na Ma Giant wa CCM mnatumia nguvu kubwa sana kukosoabkauli za Bashiru. Naomba kufahamu,
1)Zina Ukweli?
2)Zina Mashiko?

Wengi saana wamejitokeza jusikiliza kauli za bashiru baada ya Reactions zenu, na ki ukweli huku kitaa wengi wana msupport.
Ni hayo tu ndugu yangu.
Oooh kabla sijasahau, tukumbuke kuwa jamaa al8shawahi kuwa Katibu Mkuu wa chama chenu, pia aliwahi kuwa katibu mkuu kiingozi.
Sasa mnapomshambulia mtumie akili, asije akawa najua siri kuu, ambapo mkimsukasuka sana, ataitoa na mkahukumiwa na hasira za walimwengu.
 
𝑀𝑡𝑜𝑎 𝑝𝑜𝑠𝑡 𝑛𝑖𝑛𝑎 𝑤𝑎𝑠𝑖𝑤𝑎𝑠𝑖 𝑛𝑎 𝑢𝑏𝑜𝑛𝑔𝑜 𝑤𝑎𝑘𝑜, 𝑢𝑡𝑎𝑘𝑢𝑎 𝑢𝑛𝑎 𝑘𝑢𝑡𝑢....

𝑀𝑡𝑢 𝑘𝑎𝑡𝑜𝑎 𝑚𝑎𝑜𝑛𝑖, 𝑛𝑑𝑜 𝑎𝑜𝑛𝑒𝑘𝑎𝑛𝑒 𝑚ℎ𝑎𝑖𝑛𝑖? 𝑀𝑏𝑜𝑛𝑎 𝑚𝑛𝑎𝑗𝑖𝑙𝑎𝑧𝑖𝑚𝑖𝑠ℎ𝑎 𝑘𝑢𝑤𝑎 𝑚𝑖𝑠𝑢𝑘𝑢𝑙𝑒??

𝐻𝑖𝑖 𝑛𝑐ℎ𝑖 𝑠𝑖𝑜 𝑦𝑎 𝑛𝑧𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑖𝑗𝑎𝑛𝑖 𝑡𝑢...𝑛𝑎 𝑛𝑧𝑖 𝑤𝑎 𝑘𝑖𝑗𝑎𝑛𝑖 𝑤𝑎𝑛𝑎 ℎ𝑎𝑘𝑖 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑟𝑢𝑘𝑎 𝑚𝑎𝑗𝑎𝑙𝑎𝑙𝑎𝑛𝑖
 
Mkuu Shida iko wapi?
Si mlisema wenyewe kila Mtu ana haki ya kutoa Maoni?
Bashiru kasema kidogo sana cha ajabu sukari zimewapanda kwa hali ya juu sana.
Naona Manguli na Ma Giant wa CCM mnatumia nguvu kubwa sana kukosoabkauli za Bashiru. Naomba kufahamu,
1)Zina Ukweli?
2)Zina Mashiko?

Wengi saana wamejitokeza jusikiliza kauli za bashiru baada ya Reactions zenu, na ki ukweli huku kitaa wengi wana msupport.
Ni hayo tu ndugu yangu.
Oooh kabla sijasahau, tukumbuke kuwa jamaa al8shawahi kuwa Katibu Mkuu wa chama chenu, pia aliwahi kuwa katibu mkuu kiingozi.
Sasa mnapomshambulia mtumie akili, asije akawa najua siri kuu, ambapo mkimsukasuka sana, ataitoa na mkahukumiwa na hasira za walimwengu.
Hata Kolimba aliwahi kuwa Katibu Mkuu CCM
 
Back
Top Bottom