Bashiru avuliwe ubunge, apewe ukatibu tawala wa wilaya. Ni wakati sasa watu wajue hii ni Awamu ya Sita

Habari!

Zamani tuliita Sukuma Gang, sasa sijui ile block tuipe jina gani.

Kwa ufupi ni kwamba kuna block kwakuwa wamekatiwa mirija yao ya asali au imefungwa vifundo na sasa kupata asali kidogo kidogo kama mgao wa maji ya DAWASCO.

Kuna watu walikuwa wakihitaji pesa tu wanachotewa na kuoelekewa mpaka walipo kwa haraka.

Sasa wanasubiri mshahara na posho tu.

Hawa ndio wanaomsumbua Rais SAMIA.

Sasa hawa hawakupaswa kupewa hata udiwani.

Ni wakuwaweka mbali na siasa.

RAIS SAMIA ukiwachekea au ukiwaogopa na kuwaacha wawe na majukwaa ya kusemea watakupa shida mbele ya safari.

Enzi za Magufuli ukiwa kinyume chake tu hata kwa Siri, ukibainika umekwisha. Sasa huyu Bashiru atakudharau hadharani mpaka lini?

Mfukuze, na umnyang'anye hata vyeti akalime.
 
Kwako Nkasi ndo wilaya dhalili ya kupeleka mliowakataa? Lakini Wana Nkasi wameisikia CCM inavyowachukulia.
 
Hata mkiwaondoa wote na walioko mahospitalini, hapa tulipo kishanuka. Watu wameamua liwalo na liwe na mkubwa naye atoe heshima kwa mdogo

Here we go...
 
Kati ya hotuba bora kabisa kusikia kutoka kwa Bashiru. Ifike mahala watawala wapinge na wazikatae sifa za uongo wanazopewa na chawa wa kisiasa.

Nchi ina matatizo lukuki halafu anatokea chawa anasema unaupiga mwingi, unatakiwa ujiulize kama hiyo ni sifa au ni kebehi, maana hata kuipeleka nchi kuzimu yawezekana ni kuupiga mwingi pia.
 
Yaani umeandika tu umefoka je ungepewa press mzee si tungejificha maana huna hoja Bali unachamba tu.[emoji41]
 
Mtu anayehamasisha wakulima wachukue silaha dhidi ya watanzania wenzao, wawaue ni adui wa taifa
Unauhakika kuwa aliyazungumza hayo au ulipita kwenye kijiwe Cha kahawa ndyo ukayasikia hayo.
 
Hii nchi Wajinga ni wengi sana,Bashiru ni Mwanaharakati kitambo ata kabla ajapewa hivyo vyeo na Magufuli.Kwani hivyo vyeo aliomba au aliombwa na Mwenyekiti wenu aliyefariki?
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kusifia utawala wa ovyo unaokandamiza wanyonge na kujali Mabepari uchwara.
 

Ndio maana Africa hatuna maendeleo ni because hatutaki kuheshim mawazo tofauti na yetu

Yale ni mawazo yake, hata ndugai ilikuwa ni mawazo yake no matter yanakufurahisha au yanakuboa
 
Kwa hasira zenu hizi, sasa nimeanza kumuelewa Bashiru kwa nini ameamua kujilipua. Nasikia kuna Mabalozi wanarudishwa hivi karibuni muda wao umeisha.... Mwambieni Maza ampleke huko.
 
Bashiru ndio mjinga, may be hukumuelewa mtoto wake, Bashiru ni moja ya watu wa hovyo sana aliye engineer utawala katili sana, uliotesa na kuua maelfu ya watu, na wengine kubambikizwa kesi feki kwa maelekezo yake
Maelfu ya watu.. duhh...
 
Hii nguvu ungeitumia kumweleza huyo Rais wako dhaifu kuleta umeme wa uhakika na kuondoa mgao wa maji nadhani ungekuwa umefanya la maana zaidi.Mama ni failure na hafai kuwa kiongozi.PERIOD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…