Pole,umeandika tukio kwa undani,natumai umeokoka
 
Na pale kuna ukuta na shimo ni bora angeipiga ukutani, nadhan alijiaminisha kuwa atatoboa hadi chini na ile speed
 
Na pale kuna ukuta na shimo ni bora angeipiga ukutani, nadhan alijiaminisha kuwa atatoboa hadi chini na ile speed
Alafu kingine gari sio kama Binadamu useme utakufa tu ghafla.. ktk vyombo vya moto hasa ktk upande wa breki kuna Viashairia vingi tu ila tunapuuzia mfn kuwaka kwa taa ya ABS.. upepo kukosekana.. etc..

Bado nawaza:
1_ Breki zifeli (Regular / ABS)
2_ Emergency Brake ifeli (1)
3_ Emergency Brake ifeli (2)

Na magari mengi yanatembea hizi brake za emergency zikiwa zimekufa. Ndio maana wakipaki wanaweka vijiwe/gogo. Ukiona gari ikapaki wametega mawe ujue hamna parking/E_brakes hapo.

Sasa balaa linakuja hizi normal brakes zikifeli means hauna options tena (hauna chako hapo).

Hii kampuni ichunguzwe.
yaani bora wasingizie imekata (link) ile chuma ya steering rack, wakisema imefeli breki moja kwa moja ni uzembe wa maintenance na wanatakiwa kuwajibika kwa uzembe wa hali ya juu.
 
Ajali mbaya sana.
 
NYUKI nao walizidisha taharuki, itakuwa na yeye kiwewe kilimpata. Watu wengine kwenye matatzizo ndio wanapanic mpka wanazidi kuharibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…