Basi la Mwendokasi limeua mtu Kariakoo, Dereva Bodaboda wamshambulia Dereva wa Mwendokasi

Boda boda ndio wapuuzi sana wao hawana cha mataa wala foleni, muda wote wanapenya halafu wabishi sana
 
Waweke vizuizi halafu magari yanayotoka upande A kwenda upande B yapite juu ama?
Hapana......

Nadhani sehemu za junction wataalamu watajua wanafanya nini ili kusudi kila watumiaji wa barabara wasiwe na bugdha....... takwimu zinaonyesha kuwa ajali nyingi zinatokea kwenye mavukio yasiyokuwa rasmi.......
 
Tatizo ni wale machinga waliojazana pembezoni mwa barabara halafu wanajiona wana haki kuliko watembea kww miguu,, nchi ya kifala hii
Hii nchi sijawahi ona. Wamachinga wanatakiwa waondolewe kwa lazima. Na serikali ipige marufuku bodaboda mjini. Nchi imejaa bodaboda wengi wenye akili visoda. Itafikia wakati mji wa Dar haupitiki kwa magari
 
Hii nchi sijawahi ona. Wamachinga wanatakiwa waondolewe kwa lazima. Na serikali ipige marufuku bodaboda mjini. Nchi imejaa bodaboda wengi wenye akili visoda. Itafikia wakati mji wa Dar haupitiki kwa magari
Mi kwasasa hata kariakoo naiogopa nikiwa na kitu cha kunipeleka huko napata mawazo sana napita wapi? Nitarudi salama? Je sitaibiwa, hapo bado kupigwa bei ya bidhaa,, aah yani huko imekuwa kama dampo,
 
Huyu ni mtu wa 3 anagongwana huyu mwanamama na kupoteza maisha.
Mwingine ni mwanamke amemgonga juzi maeneo haya haya.
Kwahiyo sina chuki na huyu mwanamke hata kidogo
Kwani hao anaowagonga wanakuwa wapi? Kama wanakuwa kwenye njia ya huyo dereva basi wao ndo wanamgoñga.
 
Safi sana,hao madereva mwendokasi hawanaga utu utadhani sio raia wa Tz,wangemuua tu nayeye ili iwe fundisho, kama kweli ashagonga raia watatu na kuua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…