Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Umefilisika. Na mtu aliyevaa shati yake ya njano alikuwa mwana yanga??Everything is very clear.
Hakuna mtihani mgumu kama kukaa jukwaa la Simba wakati wewe ni Yanga. Inabidi uwe na mtu wa kukumonitor kila wakati. Hapa Simba walikuwa 3 na Yanga tulikuwa 3. Kikubwa tulikuwa na special mission ya kupeleka Agenda ya #KatibaMpya kwa Mkapa. Tuliingia kwa Shangwe kama loteeeee. https://t.co/5IMPzjbne0View attachment 2041272
Ubaguzi haufaiUmefilisika. Na mtu aliyevaa shati yake ya njano alikuwa mwana yanga??
ccm mmebaki kuokota okota vihoja vya kibaguzi kama alivyokuwa jiwe baba yenu
Vijana wetu wamekosea sanaNyie MaUVCCM mkiwa mnavaa yale makanga yenu ya njano huwa mnawatenga mashabiki wa Simba??
Mbona Pambalu kaleta ubaguzi?Mbowe na Halima James Mdee ni Yanga damu!
Asante sana Comrade kwa kushiriki vema kusambaza hii picha yenye ujumbe wa muhimu kwenye hizo T.shirt 😂Ubaguzi haufai
Usipoelewa jambo ujue halikuhusu.hata mimi sjaelewa
Nitaleta pendekezo Pambalu na wenzake wajiuzulu.Asante sana Comrade kwa kushiriki vema kusambaza hii picha yenye ujumbe wa muhimu kwenye hizo T.shirt 😂
NB:
Ukichana tangazo, umesoma tangazo.
Aisee nimekushangaa kweli..Mbona maongezi mengine sio serious kihivyo. Unakwama wapi ndugu yangu!!Kama kilichoanza kuumbika ni ardhi, sote tu wageni hapa Tanzania na Dare es salaam. Huu wote unaoonyesha ni ulimbukeni. Watu wote hili eneo ni wahamiaji. Tumepishana muda wa kufika tu. Sijui jeuri unaitoa wapi?
Na cha ajabu, waliochelewa kufika ndo wenye maendeleo zaidi. Wewe endeleza sifa ya kuwahi kufika.
Na hakuna sehemu imeandikwa kuanzia mwaka huu, waliofika Dar es salaam walichagua kushabikia timu hii. Hivyo, ushabiki uko mixed.
Wazo lako pia ni mfilisi.
Kwa nini tufanye ubaguzi?Usipoelewa jambo ujue halikuhusu.
Na nyie MaUVCCM vaeni zile kanga zenu za kijani mkatize huko mitaa ya Lumumba.Nitaleta pendekezo Pambalu na wenzake wajiuzulu.
Kwani wewe ulivyovaa kanga ya kijani ulikua unam'bagua nani?Kwa nini tufanye ubaguzi?
Mimi kamanda ninayejitambua.Kwani wewe ulivyovaa kanga ya kijani ulikua unam'bagua nani?
Kiby acha ubaguziEverything is very clear.
Hakuna mtihani mgumu kama kukaa jukwaa la Simba wakati wewe ni Yanga. Inabidi uwe na mtu wa kukumonitor kila wakati. Hapa Simba walikuwa 3 na Yanga tulikuwa 3. Kikubwa tulikuwa na special mission ya kupeleka Agenda ya #KatibaMpya kwa Mkapa. Tuliingia kwa Shangwe kama loteeeee. https://t.co/5IMPzjbne0View attachment 2041272
Aisee nimekushangaa kweli..Mbona maongezi mengine sio serious kihivyo. Unakwama wapi ndugu yangu!!
Acha matusi we mpuuziKmmmk huyu qumer tu km ⌚💯