Beberu anamtaka sana Iran ajiingize Gaza

Mkuu hayo ni mawazo yangu. Kulukoni kuwa jaji, prosecutor, shahidi, mzee wa baraza, na vyote?

Hoja hupingwa kwa hoja. Ndiyo ustaarabu.
sasa mkuu huoni ni tofauti.

Nimsome metaphorical au literally?

wewe mtu aliyekufa akiwa analiwa unamuona live?

Ni metaphorical au literal language?

Nadhani hukujibu mkuu.
 
Mudi aliwaharibu mno na hicho kitabu chenu kinachowabagua wasio wa imani yenu na kuwaita majina ya ajabu ajabu na tena kikiwaeleza kutumia jambia kuwakata binadamu wenzenu vichwa.
Poleni sana
Hamas wataendelea kuwachinja magaidi wa idf na marekani mpaka wakimbie ghaza mbwa wale
 
sasa mkuu huoni ni tofauti.

Nimsome metaphorical au literally?

wewe mtu aliyekufa akiwa analiwa unamuona live?

Ni metaphorical au literal language?

Nadhani hukujibu mkuu.

1. Kwa mtazamo wangu nilikujibu:

"Huyu mwamba namwelewa hasira zake:

2. Kwamba, "whatever you call it" alichokuwa kaandika kilikuwa "logical."

3. Kwa maana kamili ya kuwa silazimiki kuchagua tu, katika options zako.

4. Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Muisrael anaishi kwake na nyie kwenu, kawapatia maji umeme na ata ajira ila bado mnamvamia kuuwa raia na kuteka na hadi leo mmegoma kuachia watu wake na bado mnataka huruma na usuruhishi ....[emoji848][emoji848][emoji848]
Kwake alikua anaishi kabla ya mwaka 1948 huko ndio kwake
Ila pale alipo kavamia na anatakiwa apigwe mpaka akimbie
Safar ijayo mwaka 2030 israhell atapigwa kila kona mpaka atatema ardhi ya watu
 
Kwa sababu hao Israel siyo watu na nyie ndiyo binadamu mnaopaswa kuishi kwenye ulimwengu huu.....[emoji1][emoji1][emoji1]..

Wacha ya mabomu inyeshe tujue kesho mtalala wapi..[emoji1][emoji1]
Israhell warudi walipo toka huko watakaa. Kwa amani sana
Hapo kwa watu wanatakiwa wapigwe mpaka wakome
 
Huyo mwamba kwangu alipumzika kabatini muda.

Tumia ile button ya "report" kwenye hiyo message yake; hapo rungu la Moderator (kwa uzoefu wangu) huwa swift kuliko radi.
Kabisa huyo jamaa wakuramba block hata kwangu muda nilimtia komeo
 
je Israel imechochea Wazanzibar kudai kujitenga ?
 
umeandika uchafu ili Hamad wakiachia mateka , je idf atapata wap sababu ya kuendelea kupigana
 
je Israel imechochea Wazanzibar kudai kujitenga ?

1. Wapi nimesema Israel huchochea kujitenga?

2. Kuchochea wapalestina kujitenga Kuna maslahi na Israel; hawezi kuacha na kesi ya kujibu hapo!
 
Hakuna taifa lolote ulimwengu la kuanzisha vita vya moja kwa moja na Iran au Korea kaskazin
Wataishia kwenye vikwazo na mikwara tuu
uwezo upo na kushinda kbs ila hakuna aliyetayar kubeba madhara yake
 
umeandika uchafu ili Hamad wakiachia mateka , je idf atapata wap sababu ya kuendelea kupigana

1. Unajua kwa nini HAMAS anashikilia au kwanini alichukua mateka?

2. Hujui sababu za #1 hapo zimekuwapo tangia 1948 na vita imedumu pale siku zote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…