Benki Kuu Tanzania: Mlioficha Dola zirudisheni kwenye mzunguko

Usiturudishe kwenye ule UHAYAWANI wa
MAGUFULI. Kunya g'anya fedha za mtu aliyezitolea jasho lake siyo uungwana. Ndiyo maana JITU lile lilikufa tarrhe 17/ 03/21.
 
Ni muda Afrika kuwa na currency yake ili tuepukane na Dola domination.
Ewe mwafrika ukumbuke una marejesho ya dola sababu ya mikopo ya riba na isiyo na riba uliyokopeshwa kwa dola, unaihitaji sana dola usijisahaulishe.
 
Anazungumza akiwa kwenye V8, full AC, dereva na uhakika wa posho kila kikao/safari. Watoto wanasoma Australia
 
Watu waluoko ccm ni mzigo wa misumari na haubebeki

uongozi wa awamu hii umefeli kuliko awamu zote

Sijawahi kushuhudia cadi za ccm zikirudishwa kwa wingi na kila sehemu tena mbele ya ma DC
Ona huyu, anaambiwa dola yeye anasema kadi za ccm,
Tukiwaambia ccm itatawala miaka elf mbili mnapinga
Bwashee sio kila mahali ni siasa, kuwa siriasi wakati mwingine
 
Hii sasa tunaacha kufikiri kisomi, ina maana kenya nao wameficha dollar ?
 
Ni muda Afrika kuwa na currency yake ili tuepukane na Dola domination.
Africa mashariki yenyewe tumeshindwa kuwa na sarafu ya pamoja, ndio itakuwa Africa? Huku afrika viongozi wanawaza wizi wa kura tu.
 
Dola ziko kwa wavaa kobazi huko zimepelekwa mpk wanagaiana ili wanunue misosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…