Benki ya Dunia yaitangaza Tanzania kuingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati

Na hiyo link uliyoweka baadae ina tofauti gani na link ambayo mimi nimeiweka mwanzoni tu mwa mjadala huu?!
Uliwaaminisha members kwamba datas zilikuwa za miaka 5 ya JPM wakati huo ulikuwa ni uongo. Pia ukakiri kwamba ulikuwa unaangalia miaka mitano mitano wakati data za miaka 2 ya JPM bado hazijaingia. Sasa unaweza kukiri kwamba ulikuwa unapotosha?
 
Tatizo wewe hujanifahamu. Mimi huwa ni mkweli na sipo chama chochote cha siasa. Nasimamia ukweli tu.
Kweli kabisa kwenye ukweli tunaeleza ukweli na kwenye uongo tunakemea pia bila shaka humu ndani tupo wachache sana.
 
Hii mijamaa imeshatufanya sisi wapumbavu, kesho wakiamka watatuambia tz ni moja ya nchi zilizoendelea kwa viwanda duniani.
 
Uliwaaminisha members kwamba datas zilikuwa za miaka 5 ya JPM wakati huo ulikuwa ni uongo. Pia ukakiri kwamba ulikuwa unaangalia miaka mitano mitano wakati data za miaka 2 ya JPM bado hazijaingia. Sasa unaweza kukiri kwamba ulikuwa unapotosha?
Datas.... Hiiiiiii haya bwana!
 
Na hapo Kama tukibaki na huyu yesu wa burigi mchapa kazi kwa miaka 150 otherwise utajiri hatutakufa tumeuona kabisa Kama taifa
 
Tangu mwaka 2015 adui wa Tanzania ni

1.Chadema
2.Ujinga
3.Maradhi
4.Umasikini

Kikwete ni ccm kama Magufuli na USD80 za Magufuli zimetosha kuwafanya mabeberu waunge mkono juhudi na kuitangaza Tanzania kuwa sasa ina uchumi wa kati.
choo cha walimu huko Masasi
 
Na tumefanikiwa kuipa italia msaada wa dola billion 770, na pia tunaikopesha ujerumani euro million 450, hivyo sisi ni dona kantry!
 
Hii mijamaa imeshatufanya sisi wapumbavu, kesho wakiamka watatuambia tz ni moja ya nchi zilizoendelea kwa viwanda duniani.
Walipo niacha hoi ni pale walipo sema serikali ya awamu hii ya tano tangu iingie madarakani imezalisha ajira zaidi ya milioni sita.
 
Datas.... Hiiiiiii haya bwana!
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Datas hicho ni kiswa-english. Nimemfukuza mpotoshaji amekwenda kuchimba dawa. Amekalia upotoshaji na uzandiki tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…