Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Usilazimishe kila mtu anajua Jiwe alikuwa muuaji na hii ni serikali ya awamu ya 6..
 
Rais wa nchi hii ndio mungu, anaweza kufanya lolote na asifanywe lolote. Kwamba Magufuli ndio alikuwa anatoa maagizo ya wafu kufanyiwa unyama hayana ubishi. We baki kusema sijui ni awamu ya tano, sijui ya sita hilo utajua ww.
Nini mantiki ya kuwa na chombo kinachoitwa serikali? Kama mkuu wa nchi muovu kwa nini makamu wake hakujiuzulu?
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Mkuu una akili za kukutosha au unaandika tu kwa vile unao uhuru kufanya hivyo.

Kumbuka na iingie akilini mwako, mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati wowote ni mmoja tu, na ndiye Rais.

Operation zote, ziwe za wazi au siri huendeshwa kwa ridhaa na ufahamu wake.
Na hapo hana mshirika.

Mama Samia HAKUWA Commander-in-Chief Awamu ya Tano, sasa ndiye, na amekomesha hayo madudu ya Magufuli.
 
Mkuu una akili za kukutosha au unaandika tu kwa vile unao uhuru kufanya hivyo.

Kumbuka na iingie akilini mwako, mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati wowote ni mmoja tu, na ndiye Rais.

Operation zote, ziwe za wazi au siri huendeshwa kwa ridhaa na ufahamu wake.
Na hapo hana mshirika.

Mama Samia HAKUWA Commander-in-Chief Awamu ya Tano, sasa ndiye, na amekomesha hayo madudu ya Magufuli.
Soma ibara ya 47(1) ya katiba ya JMT.
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.

Kikatiba hii ni awamu ya sita. Maana Rais akifa ndani ya muda usiozidi miaka mitatu, Makamu wa Rais atachukua madaraka na kutambuliwa kwamba amekaa miaka mitano Yani awamu moja na atabakia na miaka mitano tu mingine ya kuchaguliwa. Hivyo 2025 Samiah atabakiza miaka mitano.
 
TISS ni wale wale wale, JWTZ ni wale wale, polisi ni wale wale, Waziri mkuu ni yule yule, makamu wa rais ambaye ndiye rais (ondoa tu neno Makamu ili iwe rais) ni yule yule. Kwa hiyo nadhani Mh. Membe ana matatizo binafsi na serikali ya Mama Samia, ni mnafiki maana kaongea hivyo kuonesha Mama Samia alikuwa Muuaji anaongoza serikali ya uuaji na ikifika 2025 atamgeuka na kusema hapaswi kupewa nafasi. Naamini Watanzania wapo macho na hawa waheshimiwa ambao ni wabaya sana

Acha uongo, Majukumu ya Makamu wa Rais ni tofauti huwezi kusema yanafanana na Rais.
 
Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT.

Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika?

Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu.

Vipi kuhusu ile kauli yake kuwa polisi wa Tanzania hawezi kupiga risasi thelathini na nne pasipo kulenga shabaha?

Kauli uliyoitoa haina afya kwa taifa hili. Siasa unazofanya hazifai kabisa.

Hii bado ni serikali ya awamu ya tano. Rais Samia alichaguliwa pamoja na mtangulizi wake.
Nyie ndi miuaji na makuli mliokuwa mnabeba viroba kumfurahisha huyo mungu wenu feki aliyepigwa kama lile lisanamu la ndama walilojitengenezea nyikani. Laana inakusumbua, haya kwa kuwa wewe unajua twambie sasa katika linchi la wapuuzi kama nyinyi makamu wa Rais anashirikije na Samia ulimuona akishiriki namna gani?
 
Back
Top Bottom