Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,705
- 4,703
Mi niliyefunga kuku na mbuzi, hii ndo tabia yao. ikifika msimu wa uzazi ni kujichanganya tu! Mama, baba, mjukuu,n.k. hwana mipaka. sasa erti ACT, CHADEMA, mata kule Zenj wanasema wanampa sapoti Maalim. Huku Zitto anasema Lissu safi, Huyu mkosa uzoefu naye kaja na yale yale ya iaka ile! Ni sawa na wanayama wangu tu!Utopolo tangu lini ukanielewa genius mimi. Mimi nimesoma primary hadi university Ulaya hukoo. Dar nimekuja nishakuwa na miaka 24. Sasa wewe St Kayumba ndiyo unielewe point zangu kweli? Itakuwa ni maajabu ya dunia eti