Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020

Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020


Inavyoonesha Mhe. Membe anataka kusema "Watanzania twendeni tukampigie kura Lissu" lakini anafahamu wazi kuwa akisema hivyo wakati yeye ni Mgombea wa ACT anayetambuliwa na NEC itakiletea chama chake matatizo hivyo anaishia kusema "twendeni tukapige kura za haki"! anajizuia sana kusema "mpigieni Lissu kama chama chetu kilivyoelekeza". Huyu jamaa anatumia akili sana tusim'beze! Anafahamu hatari za yeye Mgombea kusema "mpigie mgombea fulani"!
 
Ila Membe kuitwa mwanadiplomasia nguli naona huwa ni uongo per se maana hata kujieleza mbele za watu huwa hawezi, huwa haeleweki hata huwa anaongea kitu gani.
Kweli uwezo wake unaonekana wa kawaida, kabisa sijui alikobobeaga huyu
 
Kuna uzi niliuleta hapa juzi ila ukabaniwa haukupita.

Kuna siri kubwa katika mipango ya ACT na CHADEMA lakini kwa maslahi mapana ya ushindi wa Lissu nisingependa kuyasema.

Kiufupi kuendelea kuwepo kwa Membe kwenye karatasi ya kura kuna baraka ya vyama vyote viwili. Jamaa amewekwa kimkakati zaidi.
 
Inategemeya na udhaifu wa adui Marekani wanaweza sema leo mchana saa 1:30 wata chapa mabomu Tanzania Chato,burigi, na Magogoni na wakapiga kwa wakati
Uko sahihi mkuu, lakini si kwa mtu dhaifu Kama Membe
 
Inategemeya na udhaifu wa adui Marekani wanaweza sema leo mchana saa 1:30 wata chapa mabomu Tanzania Chato,burigi, na Magogoni na wakapiga kwa wakati
Uko sahihi mkuu, lakini si kwa mtu dhaifu Kama Membe
 
Safi sana kachero mbobezi! Umeongea kitu kuntu, Lakini usiache kumuombea Lissu kura kwani ushindi wake ni wako pia!
 
Kuna uzi niliuleta hapa juzi ila ukabaniwa haukupita.

Kuna siri kubwa katika mipango ya ACT na CHADEMA lakini kwa maslahi mapana ya ushindi wa Lissu nisingependa kuyasema.

Kiufupi kuendelea kuwepo kwa Membe kwenye karatasi ya kura kuna baraka ya vyama vyote viwili. Jamaa amewekwa kimkakati zaidi.
nimemsikiliza MEMBE vizuri . unachokiema sina shaka kabsaa MEMBE yuko pamoja na LISSU ila hawezi kujilipua sasahivi anasubiria ile siku ya mwishooo ndo atajilipua na muda kwa huo wakati utakuwa umekwisha hakuna cha TUME YA MEKO kufungia chama hapo maana kesho yake tukiamka ni mwendo wa kung'oa kigogo kilichooza tuweke shina jipyaa lituletee matunda ya neema.
 
Anaweza kuwa mzuri kwenye shughuli zingine ila hii ya majukwaani awaachie wenyewe
Sure labda yuko fiti kwny 'medani' kama alivyomfanyia Dr.Hassy Kitine lkn huku kwny media angeachana napo.
 
🖐🏾😜
009E5950-F912-42D3-A1C3-51944CEAE572.jpeg
 
Kuna uzi niliuleta hapa juzi ila ukabaniwa haukupita.

Kuna siri kubwa katika mipango ya ACT na CHADEMA lakini kwa maslahi mapana ya ushindi wa Lissu nisingependa kuyasema.

Kiufupi kuendelea kuwepo kwa Membe kwenye karatasi ya kura kuna baraka ya vyama vyote viwili. Jamaa amewekwa kimkakati zaidi.
Hili goli la dk ya 89 ndo imeniacha na maswali kwamba ni mbinu gani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jipige kifuani mara tatu alafu jiambie... "Mimi Jane Lowassa ni Kajingaa kapumbavu "


Alafu wee km sio Dume, basi ni kamanzi ka ovyo sanaa sura mbovu, umbo halieleweki.
Kana sura mbovu harafu kafupi balaa kanaishi keko magurumbasi kapuuzi tu hako.
 
Kazungumza mambo mengi lakini nilichokiona ni hatari ya kuwapandisha viongozi wa dini kwenye majukwaa ya kisiasa.

CHADEMA wanakosea Sana, hiyo ndio tunaita political immaturity.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Walisema watu binafsi Zitto na Maalim Seif, hakikusema chama! Ndivyo alivyosema Membe. Inamaanisha kuwa hakuna siku yoyote ambayo chama kilikaa na kukubaliana kumuunga mkono Lissu
Membe anagombea urais upi tena? ACT walisema watamuunga mkono Lissu au membe ana mpango wa kuzigawa kura mana isijekuwa biashara ishafanyika, hawa wanaohama kutoka CCM ata waje kinyume kinyume na nguo wamezipandisha juu hawatabiriki
 
Back
Top Bottom