n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Hata hivyo hujalazimishwa kukubaliana nami. Kila mtu ana uelewa wake. Ni mtazamo tu km wewe ilivyo na mtazamo wako.Nyie watu acheni kupotoshana eti membe yuko strategic, wapi ninyi mnakwama,membe kasema yeye ni mgombea halali na kakanusha kuwa hakuna vyama vimewahi kuungana vikakitoa chama tawala madarakani, sasa ninyi mnajipa moyo eti kampigia kampeni huyo lopolopo wenu Lissu.
Believe me,octoba 28 mtapigika sana hamtaaamini
Kura za hao watu wa kariakoo kashakosa. Huyu jamaa anajua hana mvuto kabisa, hivyo anaanza kuharibu sasa."Watu pale Kariakoo wanakula mihogo mibichi na iliyoiva wanasinzia hovyo hovyo"
Ivi hii picha Ina maanisha niniKura za hao watu wa kariakoo kashakosa. Huyu jamaa anajua hana mvuto kabisa, hivyo anaanza kuharibu sasa.
Huu ndio unaitwa undumilakuwili. Upo Kwenye chama cha Mbowe, Zitto. 2015, Sera za Chadema saccos zilikuwa Kununua ndege, Barabara flyover, elimu bure, kufumua mikataba ya madini. Sasa Magufuli kapindua Meza, wanasema ooh tunataka maendeleo ya watu. Magufuli hana mpinzani kabisa.Wapinzani gani hawa wasiojua mbele wala nyuma? Leo wanasema wanamsapoti Lisu, halafu anaibuka mwingine anasema mimi ndiyo mgombea urais wa ACT. What is the better way to describe this attitude than UTOPOLO at its best?
Hiyo dk 89 sio dakika hasa, ushindi wa kishindo wa CCM 89%.Wakunyumba ametema cheche, goli la dk 89[emoji23][emoji23][emoji23]
mbona unakuwa kipofu kuwaona hao viongozi wa dini wakiwa kwenye jukwaa la magufuli,tulia sindano iwaingine this final hoursKazungumza mambo mengi lakini nilichokiona ni hatari ya kuwapandisha viongozi wa dini kwenye majukwaa ya kisiasa.
CHADEMA wanakosea Sana, hiyo ndio tunaita political immaturity.
Membe amebugi ila wewe ndo umebugi zaidi, kura za watu WANAOJIELEWA zoote ni kwa TL!.Huyu naye bado ana ndoto tuu?
Ameshamaliza kutengeneza baraza la mawaziri?
Mwambieni October 28th kura zote za ndio ni kwa Mzalendo wa Afrika nzima Magufuli.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hata mimi nahisi hivyo. Maongezi yake yote haomba kura za urais ila kawaombea wabunge, mafiwani na Rais znz.Nilichomuelewa Membe anakuja kufunga goli la ushindi tarehe 27 atakapopanda jukwaa la Lissu siku ya kufunga kampeni Darisalama.
Atatangaza rasmi huku vituo mbalimbali vya tv vikirusha live mkutano wa Lissu wa kufunga kampeni kwamba kura zake zoote apigiwe Lissu yeye si mgombea.
Jasusi mbobezi hapa ndio wengi wanashindwa kumuelewa.
Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa roho.Ivi hii picha Ina maanisha niniView attachment 1605029
Membe hagombei Urai, Membe from day pone alikuwa ni backup plan ya Lisu.Mambo yamebadilika. Zitto kasema anampigia kura Tundu Lissu.
Swali ninalouliza, kwa kuongezea maneno yako, linampa mzigo mkubwa zaidi Membe kujielezea.
Ikiwa Zitto Kabwe, mtu ambaye unasema alimshawishi Membe kugombea urais kwa tiketi ya ACT, anasema hatampigia kura Membe, sisi wengine ambao hatujui mambo ya ndani ya chama cha ACT tutapata vipi ujasiri wa kusema tumpigie kura Membe?
Membe kashindwa kumshawishi mtu aliyemuomba aingie ACT na kugombea urais, Zitto Kabwe.
Atatushawishi vipi sisi wengine ambao hata si wanachama wa ACT tumpigie yeye kura?
Fedha za CCM mara hii zimeekezwa Zanzibar, wanajua kabisa kuwa hakuna mzanzibari anaekwenda kwenye mkutano wa ccm kama hajatiliwa mafuta au hawajatafutiwa magari na chama, wanajua kuwa ili kuongeza idadi ni lazima wasafirishwe watu kutoka bara waletwe Zanzibar. CCM Zanzibar ishatiwa ndani ya kaburi hata kama watamwambia Askofu Gwajima aifufue itamshinda.Chama cha mapinduzi hakina fedha. Ndio maana wanaahirisha kampeni. Hivi hamjui kwamba kuna watu wanakidai chama cha mapinduzi tangu 2015? Na hawa wasanii Uchaguzi ukiisha utaanza kusikia naidai CCM.
ulipo bugi wewe ni hapo tuu maana sijui kama una VISA ya Belgium maana mwenzio tarehe 29 October anaamsha popo..Membe amebugi ila wewe ndo umebugi zaidi, kura za watu WANAOJIELEWA zoote ni kwa TL!.