n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
"Ipo nadharia kwamba Vyama vikiungana vinaweza kushinda. Lakini katika bala la Africa, nadhalia hii haijawahi kufanikiwa.
Madikiteta wote wameangushwa na vyama binafsi. Afrika chama kimoja ndo huwa kinashinda sio vilivyoungana".
Membe umesema kweli tupu. CCM itashinda kwa kishindo.
Madikiteta wote wameangushwa na vyama binafsi. Afrika chama kimoja ndo huwa kinashinda sio vilivyoungana".
Membe umesema kweli tupu. CCM itashinda kwa kishindo.