Uchaguzi 2020 Bernard Membe: Watanzania mkae macho na mkae chonjo. Nafunga bao la Ushindi dakika ya 89 kwenye Uchaguzi huu 2020

Chama ndio kilimrejesha yeye na Jesca baada ya kutubu dhambi zao!
Hahaha Membe angekuwa anarudi CCM mgemsikia kwanza Bashiru na Polepole.

Membe leo ananuka.

Shauri yenu mliomgusa, harufu mtalala nayo.
 
Bado tu Mgombea wa ACT hajaanza huo mkutano? Mie niko mbali na Tv.
 
Habari rafiki,
Membe ana akili timamu na naamini hawezi kujizika kisiasa. Wengi wenye akili wanasema na walisema mapema kwamba huyu amekwenda ACT kwa kazi maalum. Akifanya hivyo atakuwa anathibitisha tuhuma hizi.
 
Bwashee kuna tofauti kati ya kufukuzwa na kuvuliwa uanachama!
Hahaha CCM wajinga kweli, waliofukuzwa na waliovuliwa uanachama wote sio wanachama.

Unaanza kutuletea story za kufa na kufariki.

Membe alifukuzwa na yuko ACT, sasa mnajikomba komba ili iweje.

Mtumbuaji alikosea au unataka kusemaje?!
 
Tayari kaanza kaja na mgombea mwenza wake kutoka Zanzibar kasema yeye ni mgombea halali wa uraisi wa ACT wazalendo
Ngoja nizame ndichi nimfuatilie maana zimebaki siku9 tu tupige kura zetu'
 
Mzee Membe watangazie Watanzania kuwa umekubali kuwa hakuna wa kushindana na Magufuli wa CCM kwenye uchaguzi huu.

Waambie kwamba kimya chako ni kukubali kwamba maji yamezidi unga.

Naam najua pumzi zimekata na hauna namna zaidi ya kuomba siku ziende kasi sana kumaliza hili sonono unalopitia kwa sasa
 
Hahaha ccm wajinga kweli, waliofukuzwa na waliovuliwa uanachama wote sio wanachama.

Unaanza kutuletea story za kufa na kufariki.

Membe alifukuzwa na yuko ACT, sasa mnajikomba komba ili iweje.

Mtumbuaji alikosea au unataka kusemaje?!
Membe alishafukuzwa CCM bwashee.

Kwa sasa amebakia kuwa historia tu.

Lowassa alivuliwa uanachama ndio maana alipoomba kurudi alipokelewa baada ya kufanyiwa usahili na Komredi Polepole na mzee Mangulla.
 
Mwenye chama kashasema anampigia Lissu Kura, yeye ni nani hata apinge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…