Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,731
- 3,628
Na wakati hata kwenye karatasi ya kupiga kura yupoHahaha waandishi ndio taaluma ya ajabu kabisa.
Yani mnaitwa na Membe halafu anawaambia yeye ni mgombea wa ACT, nani hajui hilo?!
Anawafundisha siasa leo, Membe?!