Inavyoonesha Mhe. Membe anataka kusema "Watanzania twendeni tukampigie kura Lissu" lakini anafahamu wazi kuwa akisema hivyo wakati yeye ni Mgombea wa ACT anayetambuliwa na NEC itakiletea chama chake matatizo hivyo anaishia kusema "twendeni tukapige kura za haki"! anajizuia sana kusema "mpigieni Lissu kama chama chetu kilivyoelekeza". Huyu jamaa anatumia akili sana tusim'beze! Anafahamu hatari za yeye Mgombea kusema "mpigie mgombea fulani"!
Kweli uwezo wake unaonekana wa kawaida, kabisa sijui alikobobeaga huyuIla Membe kuitwa mwanadiplomasia nguli naona huwa ni uongo per se maana hata kujieleza mbele za watu huwa hawezi, huwa haeleweki hata huwa anaongea kitu gani.
Wacha aseme Lissu tayari ana kura ya Maalim Seif na Zitto in advance, sasa tunamwomba na yeye kura yake ampe Lissu.Anataka kusema nini mzee Membe?
Uko sahihi mkuu, lakini si kwa mtu dhaifu Kama MembeInategemeya na udhaifu wa adui Marekani wanaweza sema leo mchana saa 1:30 wata chapa mabomu Tanzania Chato,burigi, na Magogoni na wakapiga kwa wakati
Uko sahihi mkuu, lakini si kwa mtu dhaifu Kama MembeInategemeya na udhaifu wa adui Marekani wanaweza sema leo mchana saa 1:30 wata chapa mabomu Tanzania Chato,burigi, na Magogoni na wakapiga kwa wakati
Notedwacha aseme Lisu tayari ana kura ya Maalim seif na Zitto in advance,sasa tunamwomba nayeye kura yake ampe Lisu
Binafsi tangu zamani naonaga uwezo wake ni mdogo wa kujenga hoja/kujieleza.Kweli uwezo wake unaonekana wa kawaida, kabisa sijui alikobobeaga huyu
Anaweza kuwa mzuri kwenye shughuli zingine ila hii ya majukwaani awaachie wenyeweBinafsi tangu zamani naonaga uwezo wake ni mdogo wa kujenga hoja/kujieleza.
nimemsikiliza MEMBE vizuri . unachokiema sina shaka kabsaa MEMBE yuko pamoja na LISSU ila hawezi kujilipua sasahivi anasubiria ile siku ya mwishooo ndo atajilipua na muda kwa huo wakati utakuwa umekwisha hakuna cha TUME YA MEKO kufungia chama hapo maana kesho yake tukiamka ni mwendo wa kung'oa kigogo kilichooza tuweke shina jipyaa lituletee matunda ya neema.Kuna uzi niliuleta hapa juzi ila ukabaniwa haukupita.
Kuna siri kubwa katika mipango ya ACT na CHADEMA lakini kwa maslahi mapana ya ushindi wa Lissu nisingependa kuyasema.
Kiufupi kuendelea kuwepo kwa Membe kwenye karatasi ya kura kuna baraka ya vyama vyote viwili. Jamaa amewekwa kimkakati zaidi.
Hii mbinu ya goli dk 89 ni ipi ?Safi sana kachero mbobezi! Umeongea kitu kuntu, Lakini usiache kumupmbea Lissu kura kwani ushindi wake ni wako pia!
Sure labda yuko fiti kwny 'medani' kama alivyomfanyia Dr.Hassy Kitine lkn huku kwny media angeachana napo.Anaweza kuwa mzuri kwenye shughuli zingine ila hii ya majukwaani awaachie wenyewe
Hili goli la dk ya 89 ndo imeniacha na maswali kwamba ni mbinu ganiKuna uzi niliuleta hapa juzi ila ukabaniwa haukupita.
Kuna siri kubwa katika mipango ya ACT na CHADEMA lakini kwa maslahi mapana ya ushindi wa Lissu nisingependa kuyasema.
Kiufupi kuendelea kuwepo kwa Membe kwenye karatasi ya kura kuna baraka ya vyama vyote viwili. Jamaa amewekwa kimkakati zaidi.
Kana sura mbovu harafu kafupi balaa kanaishi keko magurumbasi kapuuzi tu hako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jipige kifuani mara tatu alafu jiambie... "Mimi Jane Lowassa ni Kajingaa kapumbavu "
Alafu wee km sio Dume, basi ni kamanzi ka ovyo sanaa sura mbovu, umbo halieleweki.
Membe anagombea urais upi tena? ACT walisema watamuunga mkono Lissu au membe ana mpango wa kuzigawa kura mana isijekuwa biashara ishafanyika, hawa wanaohama kutoka CCM ata waje kinyume kinyume na nguo wamezipandisha juu hawatabiriki
Hili goli la dk ya 89 ndo imeniacha na maswali kwamba ni mbinu gani
Isije ikawa mbinu ya kumng'oa kwa nguvu za dola maguMbinu za medani za kikachelo, kaa kwa kutulia.