Mungu akupe kibali katika biashara yako mkuu.Baada ya kupitia huu uzi, hatimaye nimeanza rasmi biashara ya viatu kariakoo mtaa wa Kongo.
Nimepata na meza ya mjasiriamali.
Nimeanza na mtaji wa 3mil. Lengo ni kufikia mtaji wa 5mil.
Sawa bosa.Dar Es Salaam boss.
Karibu sana..
Mtaji inategemea boss na wewe unaitaji kuaza vipi ila ata mtaji wa 50000 unaweza kufanya vizuri kabisaHongera sana, ni mtaji kiasi gani uinafaa kwa kufanya hiyo biashara ya Viatu?
Boss, balo za viatu napata wapi hapa dar?Ushaur mzuri njoo field ujionee namna wadau wanavyofanya baada ya wiki utajua km uingie mazima au ufanye shughul nyingine
Laki mbili kwa mwezi?Inategemea. Inaanzia 200k
Rejareja unakiuzaje Mkuu na vipi kuhusu size unachanganya au unachagua unayotaka?144000 bei ya katoni kwa mwanza
Nauza 5000 paka 7000 inategemea na mteja anavyokujaRejareja unakiuzaje Mkuu na vipi kuhusu size unachanganya au unachagua unayotaka?
Naweza pata namba yako ya simu?Nauza 5000 paka 7000 inategemea na mteja anavyokuja
Hiyo 0768480963Naweza pata namba yako ya simu?
Nataka nije hapo J4 au J5 kukuchek kaka
Naanzaje sasa na kama viatu navipatia wap??Mtaji inategemea boss na wewe unaitaji kuaza vipi ila ata mtaji wa 50000 unaweza kufanya vizuri kabisa
Mku soko ganiMtumba wa moshi ni mzuri sana
Kwa hizo aina mbili unatakiwa uanze kuwa na shilingi ngapi kama mtaji...?Ukitaka upate pesa ata kwa mtaji mdogo chukua hizo aina mbili za hapo chini
Laki mbili kwa mwezi?
Unachukulia mzigo memorial nn jombaViatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
Kwanini biashara ningumu uki mshirikina Mungu? Jamaa ameleta Idea nzuri sana sasa ww hutaki kumtanguluza Mungu tena!?[emoji44]Shida biashara ya vitu vya dukani imeshamiri ushirikina sana. Hasa mkoa wa Mbeya bila ushirikina hufanyi biashara labda uwe unasali sana, bahati mbaya biashara na sala ni ngumu sana kwenda pamoja.