Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Hongera sana, ni mtaji kiasi gani uinafaa kwa kufanya hiyo biashara ya viatu?
 
Monama huko frem ambazo ziko ktk mzunguko mzuri ni bei gani .
Na mtaji niwe na kiasi gani.
Asante
 
Jumla 3500
20210413_105833.jpg
20210413_110159.jpg
20210413_110131.jpg
20210413_105952.jpg
20210413_105919.jpg
20210413_105708.jpg
20210413_105629.jpg
20210413_105907.jpg
 

Attachments

  • 20210413_105919.jpg
    20210413_105919.jpg
    46.3 KB · Views: 63
  • 20210413_105833.jpg
    20210413_105833.jpg
    53.4 KB · Views: 66
Shida biashara ya vitu vya dukani imeshamiri ushirikina sana. Hasa mkoa wa Mbeya bila ushirikina hufanyi biashara labda uwe unasali sana, bahati mbaya biashara na sala ni ngumu sana kwenda pamoja.
 
Laki mbili kwa mwezi?
Viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
Unachukulia mzigo memorial nn jomba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida biashara ya vitu vya dukani imeshamiri ushirikina sana. Hasa mkoa wa Mbeya bila ushirikina hufanyi biashara labda uwe unasali sana, bahati mbaya biashara na sala ni ngumu sana kwenda pamoja.
Kwanini biashara ningumu uki mshirikina Mungu? Jamaa ameleta Idea nzuri sana sasa ww hutaki kumtanguluza Mungu tena!?[emoji44]
 
Back
Top Bottom