Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Ila usisahau kuwa Mwanadamu ni kama toy kwenye ulimwengu wa Mungu

Ninachomaanisha kuwa, hata ukiweza ku figure it out, bado utakua na chain of command moja ya hatari sana ambayo hata ukiimaliza, huenda ukakuta inaendelea mbele, na mbele na mbele..etc..

So, its a mindblowing thing, hauwezi ukaipambanua tuu na kusema kua si kila kitu ni Mungu.
 
Mwanadamu ujue anajihisi kwamba anajua sana, ana akili nyingi, au anataka kujijua zaidi, na kutambua kipande chake cha maisha, historia na uwezo au Power (utawala) aliokuwa nao kabla ya hapa..

Mwanadamu mpaka sasa, kulingana na maendeleo ya kiteknolojia na ukuaji wa akili, anaamini kuwa muda wake wa kujua, kudadisi na kujifikiria ndio huu, umefika.

Mwanadamu wa sasa anafanya uumbaji, anatengeneza AI mbalimbali ambazo zinarahisisha na kuongeza spidi ya maendeleo exponentially, Space crafts, ISS, Supercomputers, etc

Mwanadamu anaweza hadi kupossess some spiritual powers, kuzungumza na waliotangulia, kujua na kuelewa mambo makubwa zaidi ya kiroho na kuyafanya yamnyanyue juu zaidi...mifano hai ni watu maarufu, wasani, wachezaji mpira akina ronaldo na messi, na kadhalika, na kadhalika.

So, hili swali linaonekana gumu kidogo kwa sababu ni suala la muda tuu, mwanadamu atakua mungu mtu, kama ilivyoandikwa katika Biblia.

Biblia ni user manual ya mwanadamu, na mwanadamu ni machine ya Mungu.

So, kwa ufupi ni kwamba, Mungu ni Fundi wa mwanadamu...na ndio, yupo..alikwepo na atakuwepo, milele na milele.

Ulimwengu wa Mungu ni wa milele, ilanulimwengu wa mwanadamu...naaah

Ulimwengu wa maroboti (ambayo yametengenezwa na mwanadamu) unaweza kuwa wa milele, maana bado mwanadamu mwenyewe anaendelea kupambana kuutafuta umilele..

Acheni uboya, Mungu yupo..shauri lenu..

Kwa wanadamu wanaoendelea kujidanganya ujinga kuwa hakuna Mungu, swali langu ni hili..ni lini mwanadamu atapata umilele kwenye maisha yake?

Jibu ni hapana,

Mwanadamu alipataga umilele wa maisha miaka hiyo, ila Creator akamaindi, akamchekecha na kumuachia miaka mia hapoo..kwa sababu ya mambo hizihizi za aakili nyingi..

Unadhani hata milima ya Olympus kule Mars imetokana na nini? Mars ni sayari ya vita...na pale alikaaga mtawala wa Solar system yote hii, enzi hizo dunia ndio ilikua Venus..

Kwa wataalamu wa unajimu nadhani wanajua mambo haya, na hata zile historia za mchongo za wagiriki zinagusiagusia kidogo mambo haya..
 
Biblia ndio asili ya hivyo vingine vimekopi na kuedit tu
Kwa nini Biblia na si kitabu kingine cha dini kama Quran?

Je mwislamu akisema Quran pekee ndio kitabu cha asili na vingine vimekopi na
ku edit utakubali?

Unasema hivi kwa kutetea maandiko ya kitabu chako cha dini yako, Wala si kwamba unajenga hoja.

Na wala huwezi kuamini nje ya Biblia kwa vile ume aminishwa hivyo na dini yako.
 
Nafikiri hii kauli usichukulie literary... kumbuka Mungu ni roho.. hana nyama na damu kama sisi....
Nafikir hyo kauli ina maana tuna sifa kama za Mungu au tunaweza kuziiga.. sifa hzo ni kama upendo, haki, fadhili, wema, na utashi ambao haupo kwa viumbe wengne.
Roho ni nini?
 
Kwa nini Biblia na si kitabu kingine cha dini kama Quran?

Je mwislamu akisema Quran pekee ndio kitabu cha asili na vingine vimekopi na
ku edit utakubali?

Unasema hivi kwa kutetea maandiko ya kitabu chako cha dini yako, Wala si kwamba unajenga hoja.

Na wala huwezi kuamini nje ya Biblia kwa vile ume aminishwa hivyo na dini yako.
Quran imekuja baada ya Biblia ikikopi maandiko ya kwenye Biblia,
Biblia ndio kitabu kikongwe kuliko vyote Duniani.
 
Kunywa bia ni haramu imekatazwa ina maana sio ibada ila kunywa juisi ni ibada.

Ukinywa bia ni ibada umefanya kwa kumnyenyeke shetani.

Kila kitu katika matendo ya binadamu yakiwa na mfungamano wa kumnyenyekea Mungu ni ibada hata kumfanyia mwenzio mambo mema ni ibada, kuhudumia familia yako ni ibada.

Ndo maana kuna sheria zake za kuomba Duah kabla ya kufanya kitu.
Je kunywa juice ya viwandani na soda ni ibada?
 
Nimeuliza maswla na kusema bible ni kitabu cha Mungu hilo swala ni "BIG NO" maana kuna vitabu kaandika paulo kama sehemu ya mafundisho yake..

Nina hakika wala sibishani bible haina muongozo complete na haiwezi kuwa sheria kwa vile kwanza binafsi ndani yake ina contradictions kibao .

Kingine hata ukimfuata mtu anayefuata bible unajua kuna mambo mengi yanahitaji atumie akili ili kucontrol..Mfano ndoa inafunga kikristo ila talaka inatolewa mahakamani kwamba bible haitambui talaka?

Sio kesi ila tambua dini intakiwa iwe na mfumo hata miaka million ijayo still inaweza kusimamia maandiko yake ,angalia leo hii ndoa zinavyovunjika mpaka watu wanaona waachane na bible waende mahakamani wakapate talaka.
Kwanza nashangaa mnaosema eti hakuna talaka kwenye ndoa. Mnakosea sana. Mwanadamu hana umilele, umilele upo kwa Mungu pekee.

So, no. Nadhani makanisa mengi yana utaratibu wa kupokea idhini la mahakama kama watu wanataka kuachana..na hata watu wanaoijua vizuri dini ya kristo wanatambua uwepo wa talaka kwenye imani, ingawa Mungu hapendi watu kuachana kwa sababu ndoa ni UPENDO,na Mungu ni pendo...soo...[emoji2369][emoji2369]
 
Sipendi kubishana wala kuingilia mamlaka yako , waislamu hatunywi bia kama una akili timamu utajua tu.

kwetu sisi ukinywa bia ni tendo u ibada ya kumtukuza shetani hata uende dunia ipo inajulikana wanaofuata uislamu kamili hawanywi pombe kabla hata kupewa Ayah jambo lipo wazi😂😂
🤣Sasa si useme utamaduni wenu wa kiislamu hauruhusu bia Ila mwarabu ameamua kuwatishia Mambo ya shetani na moto ili muogope...😅mbona tutaelewa tu bro
 
Unajua biblia ni kitabu ambacho kina muongozo mzima wa mwamadamu, awe mwema au mbaya, (negative or positive force) na namna ambavyo anapaswa kuishi katika hii dunia, na hii ni haijalishi una imani gani, fikra zipi wala utashi upi.

Hili nashindwa kulichimba sana kwa mapana kwa sababu ninasikia kuwa kuna vitabu vingine duniani vinajaribu kumuunganisha vyema mwanadamu kiakili, kimwili na kiroho, kumuunganisha na asili yake, na kadhalika..

Hata mashetani, majini, atheists, wasioamini Katika Mungu, mabuddha, wanasiasa, Wanaotambika mizimu, n.k. wanaongozwa na Mfumo mama wa Biblia.

Ila ili uweze kujua mengi ya Biblia na jinsi ambavyo imeurekodi Ulimwengu wote ni mpaka uwe fit mno kimwili, kinafsi na Kiroho. (Uwe elevated spiritually)

Ila sasa, ili uifahamu vizuri unapaswa kujua kuwa upo kwenye force ipi..Negative to it or Positive to it.

NB: Ni kitabu ambacho unaeza kukisoma kimasihara na ukaelewa hivyoivyo kimasihara, na ikaisha hivyo. Hii kwa lugha za mitaani ni kuwa codes zake ziko very encrypted, zimejifunga vilivyo, kama yale maua ya saa nne sijui,[emoji3][emoji3] au yale maua ambayo ukiyagusa tuu yanajifunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Just kidding[emoji16][emoji16]

But seriously, Mfano Ukaisoma Biblia kisiasa au kichawi au kihistoria na ukajikuta unajua mengi na ukiwa vizuri kidogo, unaweza ku-posses some elevation of mind powers, na hata nguvu flani hivii ya nafsi hata kama hausali sana wala kuamini that deep katika imani ya kristo.

Archeologists wanathibitishaga kutumia some biblical lines and studies kugundua ngome, miji, mambo na vitu vilivyojificha, kufanya vumbuzi, na kadhalika..

So, kuhusu kujua asili ya mwanadamu, namuunga ndugu mtoa post kua ukisoma vizuri biblia ki-5G, unaweza kujua mambo Meengi mno.

Na kusoma Ki-5G simaanishi kutumia imani nyingi pekee, au akili nyingi pekee, au falsafa nyingi pekee, au chochote unachotumia kuelewa pekee[emoji23][emoji23]..no, ni kutumia vyote kwa pamoja, kama unaweza.

The more you know, the better...
Ukisoma Biblia zaidi ndo unazidi kugundua imeandikwa na watu ..Tena watu wajinga
 
Nimeuliza maswla na kusema bible ni kitabu cha Mungu hilo swala ni "BIG NO" maana kuna vitabu kaandika paulo kama sehemu ya mafundisho yake..

Nina hakika wala sibishani bible haina muongozo complete na haiwezi kuwa sheria kwa vile kwanza binafsi ndani yake ina contradictions kibao .

Kingine hata ukimfuata mtu anayefuata bible unajua kuna mambo mengi yanahitaji atumie akili ili kucontrol..Mfano ndoa inafunga kikristo ila talaka inatolewa mahakamani kwamba bible haitambui talaka?

Sio kesi ila tambua dini intakiwa iwe na mfumo hata miaka million ijayo still inaweza kusimamia maandiko yake ,angalia leo hii ndoa zinavyovunjika mpaka watu wanaona waachane na bible waende mahakamani wakapate talaka.
Alafu kwa kuongezea, tuu..kwa dini zetu hizi zina miaka ujue..nahisi milioni kadhaa hivii iliyopita, maana ukisoma historia za wafalme kadhaa kwenye biblia, Msaafu, vitabu vya historia za dini zingine, na kadhalika utagundua kua dini ndio sehemu pekee (imani) ambayo imebeba historia ya mwanadamu.

Ila mwanadamu wa sasa anaendelea kuchunguza maisha yalivyo kabla ya maisha haya tunayoishi sisi, ninarejea tafiti za hivi karibuni zilizogundulika huko arctic kuhusu namna maisha yalivyo miaka millioni mbili iliopita...
 
Back
Top Bottom