Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Mawazo yako hayamsaidii yeye peke yake, bali kwa manufaa ya wote, maana mada hii ni pana mno kuliko watu wanavyodhani,

Maana kila mtu anachofikiri kinasaidia kufikia na/au kumjenga mtu mwingine kifikra
Sasa it's obvious the bible Ina makosa hata mtoto wa la tatu anaweza ona hayo makosa akisoma kwa uhuru.
 
Nimeuliza maswla na kusema bible ni kitabu cha Mungu hilo swala ni "BIG NO" maana kuna vitabu kaandika paulo kama sehemu ya mafundisho yake..

Nina hakika wala sibishani bible haina muongozo complete na haiwezi kuwa sheria kwa vile kwanza binafsi ndani yake ina contradictions kibao .

Kingine hata ukimfuata mtu anayefuata bible unajua kuna mambo mengi yanahitaji atumie akili ili kucontrol..Mfano ndoa inafunga kikristo ila talaka inatolewa mahakamani kwamba bible haitambui talaka?

Sio kesi ila tambua dini intakiwa iwe na mfumo hata miaka million ijayo still inaweza kusimamia maandiko yake ,angalia leo hii ndoa zinavyovunjika mpaka watu wanaona waachane na bible waende mahakamani wakapate talaka.
Ndoa ni mkataba sio swala la dini... Hata wasio na dini duniani Wanaona.
 
Quran na Biblia ni mkusanyiko wa elimu zote za Dunia na zisizo za dunia na sayansi ikiwamo ndani.
Atheist hawana hoja zaidi ya ubishi tu.
Sayansi bado inakua wakat Hivyo vitabu vilishamaliza vikafunga maarifa yote.
Si ndo maana shahawa zinatoka kwenye uti wa mgongo na popo ni ndege🤣
 
Ila usisahau kuwa Mwanadamu ni kama toy kwenye ulimwengu wa Mungu

Ninachomaanisha kuwa, hata ukiweza ku figure it out, bado utakua na chain of command moja ya hatari sana ambayo hata ukiimaliza, huenda ukakuta inaendelea mbele, na mbele na mbele..etc..

So, its a mindblowing thing, hauwezi ukaipambanua tuu na kusema kua si kila kitu ni Mungu.
Toa hoja sio story
 
Mwanadamu ujue anajihisi kwamba anajua sana, ana akili nyingi, au anataka kujijua zaidi, na kutambua kipande chake cha maisha, historia na uwezo au Power (utawala) aliokuwa nao kabla ya hapa..

Mwanadamu mpaka sasa, kulingana na maendeleo ya kiteknolojia na ukuaji wa akili, anaamini kuwa muda wake wa kujua, kudadisi na kujifikiria ndio huu, umefika.

Mwanadamu wa sasa anafanya uumbaji, anatengeneza AI mbalimbali ambazo zinarahisisha na kuongeza spidi ya maendeleo exponentially, Space crafts, ISS, Supercomputers, etc

Mwanadamu anaweza hadi kupossess some spiritual powers, kuzungumza na waliotangulia, kujua na kuelewa mambo makubwa zaidi ya kiroho na kuyafanya yamnyanyue juu zaidi...mifano hai ni watu maarufu, wasani, wachezaji mpira akina ronaldo na messi, na kadhalika, na kadhalika.

So, hili swali linaonekana gumu kidogo kwa sababu ni suala la muda tuu, mwanadamu atakua mungu mtu, kama ilivyoandikwa katika Biblia.

Biblia ni user manual ya mwanadamu, na mwanadamu ni machine ya Mungu.

So, kwa ufupi ni kwamba, Mungu ni Fundi wa mwanadamu...na ndio, yupo..alikwepo na atakuwepo, milele na milele.

Ulimwengu wa Mungu ni wa milele, ilanulimwengu wa mwanadamu...naaah

Ulimwengu wa maroboti (ambayo yametengenezwa na mwanadamu) unaweza kuwa wa milele, maana bado mwanadamu mwenyewe anaendelea kupambana kuutafuta umilele..

Acheni uboya, Mungu yupo..shauri lenu..

Kwa wanadamu wanaoendelea kujidanganya ujinga kuwa hakuna Mungu, swali langu ni hili..ni lini mwanadamu atapata umilele kwenye maisha yake?

Jibu ni hapana,

Mwanadamu alipataga umilele wa maisha miaka hiyo, ila Creator akamaindi, akamchekecha na kumuachia miaka mia hapoo..kwa sababu ya mambo hizihizi za aakili nyingi..

Unadhani hata milima ya Olympus kule Mars imetokana na nini? Mars ni sayari ya vita...na pale alikaaga mtawala wa Solar system yote hii, enzi hizo dunia ndio ilikua Venus..

Kwa wataalamu wa unajimu nadhani wanajua mambo haya, na hata zile historia za mchongo za wagiriki zinagusiagusia kidogo mambo haya..
Eti Mars ni sayari ya Vita?
Vipi na Jupita yenye mvua ya Almasi?
 
Mwanadamu ujue anajihisi kwamba anajua sana, ana akili nyingi, au anataka kujijua zaidi, na kutambua kipande chake cha maisha, historia na uwezo au Power (utawala) aliokuwa nao kabla ya hapa..

Mwanadamu mpaka sasa, kulingana na maendeleo ya kiteknolojia na ukuaji wa akili, anaamini kuwa muda wake wa kujua, kudadisi na kujifikiria ndio huu, umefika.

Mwanadamu wa sasa anafanya uumbaji, anatengeneza AI mbalimbali ambazo zinarahisisha na kuongeza spidi ya maendeleo exponentially, Space crafts, ISS, Supercomputers, etc

Mwanadamu anaweza hadi kupossess some spiritual powers, kuzungumza na waliotangulia, kujua na kuelewa mambo makubwa zaidi ya kiroho na kuyafanya yamnyanyue juu zaidi...mifano hai ni watu maarufu, wasani, wachezaji mpira akina ronaldo na messi, na kadhalika, na kadhalika.

So, hili swali linaonekana gumu kidogo kwa sababu ni suala la muda tuu, mwanadamu atakua mungu mtu, kama ilivyoandikwa katika Biblia.

Biblia ni user manual ya mwanadamu, na mwanadamu ni machine ya Mungu.

So, kwa ufupi ni kwamba, Mungu ni Fundi wa mwanadamu...na ndio, yupo..alikwepo na atakuwepo, milele na milele.

Ulimwengu wa Mungu ni wa milele, ilanulimwengu wa mwanadamu...naaah

Ulimwengu wa maroboti (ambayo yametengenezwa na mwanadamu) unaweza kuwa wa milele, maana bado mwanadamu mwenyewe anaendelea kupambana kuutafuta umilele..

Acheni uboya, Mungu yupo..shauri lenu..

Kwa wanadamu wanaoendelea kujidanganya ujinga kuwa hakuna Mungu, swali langu ni hili..ni lini mwanadamu atapata umilele kwenye maisha yake?

Jibu ni hapana,

Mwanadamu alipataga umilele wa maisha miaka hiyo, ila Creator akamaindi, akamchekecha na kumuachia miaka mia hapoo..kwa sababu ya mambo hizihizi za aakili nyingi..

Unadhani hata milima ya Olympus kule Mars imetokana na nini? Mars ni sayari ya vita...na pale alikaaga mtawala wa Solar system yote hii, enzi hizo dunia ndio ilikua Venus..

Kwa wataalamu wa unajimu nadhani wanajua mambo haya, na hata zile historia za mchongo za wagiriki zinagusiagusia kidogo mambo haya..
1. Hujaprove Mungu yupo?
2. Kutoishi milele sio proof ya Mungu kuwepo coz hatujawahi kuishi milele na hatuna ulazima wa kuishi milele
3. Binadamu hajifanyi kujua...ni kwamba anajua, ana akili kuliko waliotunga hizi hadithi za Mungu na shetani ndo maana mpaka Leo hii mtu anaweza kujudge na kugundua ni za uwongo na wenye dini wanamind coz wanakosa sadaka na control wanaishia tu kutishia moto ambao ni wakufikirika na umeundwa new testament kutisha watu
 
Quran imekuja baada ya Biblia ikikopi maandiko ya kwenye Biblia,
Biblia ndio kitabu kikongwe kuliko vyote Duniani.
Biblia ni mkusanyiko wa Vitabu vilivyochaguliwa kule Italia.

Utasemaje ni vikongwe? Huku wakichagua kipi kiingizwe na kipi kiachwe.

Vipi Torati ya Musa nayo wasemaje?
Kuna maandiko ya Wahindu na Wachina unayasemaje?
 
Katika hayo maswali inayojibu biblia nahitaji kujua yesu alikuwa wapi na alikua anafanya nini kipindi ana umri wa miaka 15 hadi 30. Tafadhali wajuzi wa biblia nisaidieni hili.
 
Kwa nini Biblia na si kitabu kingine cha dini kama Quran?

Je mwislamu akisema Quran pekee ndio kitabu cha asili na vingine vimekopi na
ku edit utakubali?

Unasema hivi kwa kutetea maandiko ya kitabu chako cha dini yako, Wala si kwamba unajenga hoja.

Na wala huwezi kuamini nje ya Biblia kwa vile ume aminishwa hivyo na dini yako.
Unajua jibu la swali hili kuu hapa linajibiwa kihistoria zaidi...

Naomba tuu nisaidie kidogo..ingawa sipendelei kujadili hizi mambo kwa sababu zitaangukia kwenyr udini...alafu ujinga unakua rahisi kutuingia..

Kihistoria, kila hizi dini mbili zimeonesha kuwa ni lini zilianzia.

Dini ya kikristo ilianza zaidi ya miaka 2000 iliopita, alipokuja Yesu na kuuanzisha Ukristo kiimani, na dini ya kiislamu ilianza mnamo karne ya sita (miaka 1500 hivii iliopita) alipokuja mtume Muhammad na kuuanzisha uislamu.

Anayebisha zaidi ya hapa tena basi. Huyo nitaomba tuu nikae kimya...
 
Quran imekuja baada ya Biblia ikikopi maandiko ya kwenye Biblia,
Biblia ndio kitabu kikongwe kuliko vyote Duniani.
😅🤣Hinduism ni dini yenye vitabu vya zamani kuliko dini yoyote...if shida ni vitabu au story za zamani ukristo imecopy dini za wayahudi, dini za wagiriki, wapersia na hata wahindi. Issue ya utatu ni ya wahindi, story ya Adam na Eve na Noah's ark ni ya Gilgamesh, kuumbwa kwa udongo ni china, tower of babel ni Babylon, Jesus ndo kabisa karibia miungu yote ya Asia na Europe ilizaliwa bikra ikafanya miujiza na ikafufuka. Tena wengine baada ya siku tatu kabisa. 🤣Afu unasema bible ni original. Dini ya ukristo ni bonge la wizi yaani
 
Unajua jibu la swali hili kuu hapa linajibiwa kihistoria zaidi...

Naomba tuu nisaidie kidogo..ingawa sipendelei kujadili hizi mambo kwa sababu zitaangukia kwenyr udini...alafu ujinga unakua rahisi kutuingia..

Kihistoria, kila hizi dini mbili zimeonesha kuwa ni lini zilianzia.

Dini ya kikristo ilianza zaidi ya miaka 2000 iliopita, alipokuja Yesu na kuuanzisha Ukristo kiimani, na dini ya kiislamu ilianza mnamo karne ya sita (miaka 1500 hivii iliopita) alipokuja mtume Muhammad na kuuanzisha uislamu.

Anayebisha zaidi ya hapa tena basi. Huyo nitaomba tuu nikae kimya...
Okay Zeus na brahma walikuwepo kabla mbona huwaamini?
 
Maswali yanayojibiwa na hichi kitabu ni Mengi sana, mfano...

01. Upendo vs Maovu
Biblia imeelezea sana hili neno upendo, faida zake na hasara zake, ni kwanini mwanadamu anapenda na n.k
Tabia ya mwanadamu ni ubinafsi, uchoyo, wivu na mengine mengi

Historia kubwa ya uwovu inapatika humo, taifa kupigana na taifa.

Vyanzo vingi mbalimbali vya kivita.

Serikali za kifalme zilifanya mambo gani hapo zamani.

Visa vya vita kubwa hapa duniani na sababu zake.

watu wenye nguvu na ukuu.

Mali au utajiri umeleta mfalakano makubwa sana kati ya mtu na mtu.

Mabadiliko ya hali ya hewa njaa na majanga tofauti tofauti yameelezwa.

02. Nielezee kidogo uumbaji wa mwanadamu ulikuaje kwa Mujibu wa biblia.
Mwanzo 1:26-27

[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Hii sura ya Kwanza ni roho ya mwanadamu ndio ilifanywa na Mungu.

Lakini katika sura ya pili ndio tunaona Mwili ukitengenezwa.
pamoja na nafsi.

Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

kwahiyo.
Binadamu ni
01. Roho
02. Mwili
03. Nafsi.

Ukiwa na elimu hii ni mwanzo mzuri sana wa kujua vitu vingi kuhusu...

Mambo ya rohoni na Mambo ya mwilini au
Ulimwengu wa roho na Ulimwengu wa mwili.

Sijui kama kuna kitabu kingine chenye majibu mengi sana ya maswali yangu na wengine pia kama mnamaswali.

Kama kutakua na kitabu kingine ningependa kukifahamu niweze kukisoma pia.

Uwe na Amani na furaha nafsini.

Don't forget to Meditate [emoji3286]
Post in thread 'Kitabu cha Mwanzo katika Bible ndio msingi wa mambo matatu duniani! Intelijensia, Sayansi na Uchawi' Kitabu cha Mwanzo katika Bible ndio msingi wa mambo matatu duniani! Intelijensia, Sayansi na Uchawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roho ni pumzi ya Mungu yenye uhai ndani yake iupao mwili nguvu ya utendaji.
Pasipo Roho mwili Huwa maiti.
Maiti ni mwili uliondolewa Roho na nafsi.
Mkianza kujadili Roho ni nini ni sawa na kujadili sayansi ya umilele, ambayo mwili wako, akili yako, na nguvu zako haziwezi kuhimili na wala kustahimili.

Kwa lugha fupi ni kuwa mnajadili sayansi ya Mungu

Hii ni sayansi ambayo ipo nje y uwezo wetu, hata aliens wenyewe hawawezi kuifikia[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanadamu tuna bahati ya kumjua Mungu direct hata kama bado tu vilaza hiviii....(kwa njia ya kiroho) tofauti na aliens, au viumbe smarter kutuzidi kutoka kwenye galaxies mbalimbali, kwenye ulimwengu huu huu..

NB: na kama tukiweza hayo yote, ndio tuje kwenye malimwengu mengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mambo mengine haya ni kujitesa tuu, [emoji23][emoji23][emoji23]mtu haujaimaliza kuijua dunia, eti mara umeenda Mars, mara umetuma voyager nje ya mfumo wetu wa jua, mara umegundua masayari, mara unakaribia bing bang[emoji23][emoji23][emoji23]



Shauri lenu, nashauri mkaushe tuu..kama hamna mpango sana wa kuelewa...maana hakuna mtu huku duniani akakuambia sayansi ya Mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23]

Utadanganywa tuu na kudanganyika tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom