Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Logically upo sahihi, ila vyote ni kitu kimoja ila vinafanya kazi kwenye ulimwengu mbili tofauti.

Pumzi ipo kwenye ulimwengu wa mwili (flesh) ila kwenye ulimwengu wa roho (spiritual world) kuna roho.

Zote hizo ni powering up tools za miili (bodies) husika

Hapa kwenye miili nimemaanisha majumba, ambayo yana powering up hizo bodies.

Si tunasema kuwa bila pumzi mtu anakufa..ni sahihi. Na kwenye ulimwengu wa roho, bila roho mtu, kitu au jambo halina uwepo (existence) ndio maana pumzi inashikamana na roho. Haya maelezo zaidi ya hapo ni Mungu mwenyewe anajua..maana ni tech ya Mbinguni hioooo[emoji23][emoji23][emoji23]
🤣Tech ya mbinguni ndo ipi mbona unaongea mambo hata we mwenyewe hueleweki afu tukikuhoji unakimbilia tech ya mbinguni we type evidence usiseme hatuwezi jua wewe umejuaje sasa
 
🤣 Nimekuuliza mbona archaeology iliyofanyika Israel na misri haijaonyesha chochote kuhusu Musa, kuwa watumwa misri, kupigana vita na miji 30, kukaa jangwani miaka 40, etc Kama ni ukweli si hivi vitu vingejulikana kupitia archaeology why hamna evidence ya Exodus nzima mpaka bible scholars na historians wanakimbilia kusema ni mafumbo
Kama Simba na yanga walicheza mwaka jana hio evidence unaitunzaje,we uoni hayo mapiramidi yaliyojengwa na watumwa,kugawa maji ni kitendo Cha mda mfupi Sasa ulitaka kiendelee vipi hadi Leo
 
[emoji1787]Why tusijue....hivi we hushtuki...[emoji1787]Yaani ukiona makosa katika dhana ya Mungu we ndo unalaumiwa unaambiwa huwezi elewa unaitwa mjinga na unakubali unafurahia....[emoji28][emoji1787]wazungu watatuacha mbali sana
Zipo namna za kujua sayansi ya Mbinguni ila mwili wako hauwezi kuhimili mambo mengi..kama hauwezi kuelewa hili, basi, ni kheri usielewe, maana litakutesa sana.

Zumaradi alivyokuwa anaelezea safari zake za kwenda mbinguni, aligusia kuwa mwili wa duniani na mwili wa mbinguni ni vitu viwili tofauti, na ametoa clues mbalimbali, kuwa body ya mwanadamu ya mbinguni ni pure (halisi) kuliko hii miili (bodies) yetu ya hapa duniani.

Kwenye hilo alikua sahihi, on so many levels.

Sababu utakazotaka kujua hazitakua na uhalisia kwa sababu haujauona bado, so, ukibahatika kuona mambo ya ulimwengu wa roho, utapata wa kuwasimulia.

Hayaelezeki. Sanasana watu watakuona chizi.

So, hakuna mwanadamu YEYOTE duniani anayejua teknolojia ya Mungu, wala ulimwengu wake upoje, wala maisha yake, wala chochote kile..cha ulimwengu mwingine.

Wapo wanadamu wachache sana huenda wakawa na ideas za ulimwengu wa kiroho kwanza upoje..au ulimwengu wa Mungu upoje, wengine wanajua hadi waliotutangulia wanaenda wapi..kupumzika..etc.
 
Niambie jinsi ya biblia imeonyesha namna ya kufanya ibada?

Biblia imeonyesha namna tofauti za kufanya ibada (kumwomba Mungu). Bear in mind, hizi sehem au style za kuomba ni nyingi lakini kikubwa ni UTII MBELE ZA MUNGU.

Tuanzie hapa!

Yakobo 5:13-16
[13]Mtu wa kwenu amepatikana na mabaya? Na aombe. Ana moyo wa kuchangamka? Na aimbe zaburi.
Is any among you afflicted? let him pray. Is any merry? let him sing psalms.
[14]Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
Is any sick among you? let him call for the elders of the church; and let them pray over him, anointing him with oil in the name of the Lord:
[15]Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa.
And the prayer of faith shall save the sick, and the Lord shall raise him up; and if he have committed sins, they shall be forgiven him.
[16]Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.
Confess your faults one to another, and pray one for another, that ye may be healed. The effectual fervent prayer of a righteous man availeth much.

Kisha angalia hapa tena,
Mathayo 6:6
[6]Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
But thou, when thou prayest, enter into thy closet, and when thou hast shut thy door, pray to thy Father which is in secret; and thy Father which seeth in secret shall reward thee openly.

Kisha angalia mfano huu wa elisha akiomba;

2 Wafalme 4:33
[33]Basi akaingia ndani, akajifungia mlango, yeye na yule mtoto wote wawili, akamwomba BWANA.
He went in therefore, and shut the door upon them twain, and prayed unto the LORD.

Angalia tena hapa namna mitume walivyokuwa wanaomba.

Matendo ya Mitume 2:4-6
[4]Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
And they were all filled with the Holy Ghost, and began to speak with other tongues, as the Spirit gave them utterance.
[5]Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu.
And there were dwelling at Jerusalem Jews, devout men, out of every nation under heaven.
[6]Basi sauti hii iliposikiwa makutano walikutanika, wakashikwa na fadhaa, kwa kuwa kila mmoja aliwasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe.
Now when this was noised abroad, the multitude came together, and were confounded, because that every man heard them speak in his own language.

Tunaweza kuishia hapo, mifano ni mingi sana kwenye biblia.
 
Soma Qur'an nmekuwa nikiifuatilia Kwa muda mrefu nikaona ukristo si kitu, kila kitu cha maisha ya mwanaadamu na sayansi kipo ndani
Katika ukristo ukisoma Biblia inakupa kuujua ulimwengu wa Roho ulivyo na kushirikiana na Malaika. To serve and worship God

Lakini katika kitabu cha Quran kinakupa uwezo wa kuingia ulimwengu wa kiroho na kushirikiana na Majini. to serve and worship Satan.

Tuongee mambo ya jicho la tatu sasa😀😀😃
 
Kama Simba na yanga walicheza mwaka jana hio evidence unaitunzaje,we uoni hayo mapiramidi yaliyojengwa na watumwa,kugawa maji ni kitendo Cha mda mfupi Sasa ulitaka kiendelee vipi hadi Leo
🤣 Fatilia historia ya misri wewe pyramids hazikujengwa na watumwa Wala hazikujengwa na wayahudi...🤣Biblia si ingesema Sasa watumwa wametengeneza pyramids...ukristo unapenda kuunganisha story story tu na kuforce kila kitu Cha kwao...🤣Hivi unajua maana ya archeology... Watu wanachimba Wanaona mifupa Wanaona vifaa Wanaona michoro ndo wanajua hapa waliishi watu fulani mda fulani... History ingetuonyesha wamisri kumiliki wayahudi na wayahudi kukaa jangwani 40 years Ila hamna trace yoyote ya hii story. 🤣Au Mungu kaziondoa ili atutest Imani yetu
 
Zipo namna za kujua sayansi ya Mbinguni ila mwili wako hauwezi kuhimili mambo mengi..kama hauwezi kuelewa hili, basi, ni kheri usielewe, maana litakutesa sana.

Zamaradi alivyokuwa anaelezea safari zake za kwenda mbinguni, aligusia kuwa mwili wa duniani na mwili wa mbinguni ni vitu viwili tofauti, na ametoa clues mbalimbali, kuwa ni pure (halisi) kuliko hii miili yetu.

Kwenye hilo alikua sahihi, on so many levels.

Sababu utakazotaka kujua hazitakua na uhalisia kwa sababu haujaona bado, so, ukibahatika kuona mambo ya ulimwengu wa roho, utapata wa kuwasimulia.

Hayaelezeki. Sanasana watu watakuona chizi.

So, hakuna mwanadamu YEYOTE duniani anayejua teknolojia ya Mungu, wala ulimwengu wake upoje, wala maisha yake, wala chochote kile..cha ulimwengu mwingine.

Wapo wanadamu wachache sana huenda wakawa na ideas za ulimwengu wa kiroho kwanza upoje..au ulimwengu wa Mungu upoje, wengine wanajua hadi waliotutangulia wanaenda wapi..kupumzika..etc.
🤣🤣🤣🤣Aaah so zumaridi duu...🤣bac ushanitoa Katika ubishano na wewe.... Maana huu utoto sasa
 
Quran imekuja baada ya Biblia ikikopi maandiko ya kwenye Biblia,
Biblia ndio kitabu kikongwe kuliko vyote Duniani.
Sio kweli kuna vitabu vikongwe kuliko biblia, vitabu kama zaburi, injili na taurati. Na Qur'an ndio kitabu cha mwisho kutoka Kwa Mwenyezi Mungu. Hiyo biblia sijui kitabu cha dini gani maana yesu alishushiwa taurati lakini wakristo tunatumia biblia. Halafu cha kushangaza hiyo biblia ina matoleo kama kitabu cha hisabati darasa la Saba sijui nani anaebadilisha wakati yesu hayupo. Ndio maana mm nataka kuhamia kwenye uislamu, Qur'an tokea iteremshwe haijawahi kuwa na mabadiliko, hakuna kitabu kingine ambacho kinatumika na wanaadamu ambacho hakina edition isipokuwa Qur'an.
 
Hapa Hawa atheist umewaacha chalinze kabisa.
Nipe shule kuhusu Mungu alipomwambia Adam msile mtu wa katikati mtakufa, wengine wanasema ni hali ya umilele yaani kutokufa kimwili, wengine wanasema kufa kiroho, wengine wanasema ni kupunguzwa kwa sense toka ten na kuwa five organs senses.
Well, hii bado tunaendelea kufuatilia kwa tafiti mbalimbali..mpaka sasa..ila kiimani wanasema kuwa mambo ya mwili.

Biblia haideal na mambo ya mwili sana, no, yenyewe inadeal na mambo ya kiroho zaidi, kuliko mwili. Ndio maana ukiisoma biblia kimwilimwili utaona bado haitoshelezi.

Ila ukiisoma kiroho, utapata majibu tofauti kabisaa na unavyoidhania.

Ndio maana inafikirisha wengi, na kustaajabisha wengi pia. Sio kitabu kikongwe sana, hapana, ila kina mambo mengi, teknolojia nyingi na hata nguvu nyingi sana na kubwa kiimani, (kwa wanaoamini) kiasi cha kuustaajabisha ulimwengu.

Kuhusu mwanzo, Adamu alizingua, alipewa kila kitu..alafu akamkaidi Mungu kwa kumsikiliza mwanamke..

Mungu pale ni kweli alimpunguza manyota kadhaa, kwa sababu ukumbuke tuu kuwa Adamu aliishi kwenye Bustani ya Edeni, na hii ni bustani ya kufikirika, ipo kwenye ulimwengu wa roho hapa duniani, mpaka ambapo ikatoweshwa na Mungu mwenyewe.

Hawa binadamu wa historia wanaendelea kuhangaika na kujaribu kuhisi kuwa Edeni huenda ilikua syria au middle eastern, au hata Tanzania...

So, pale baada ya tunda, kuna senses zilipungua, ndio, na nyingine zimeendelea kunyofolewa baadae, kadri mwanadamu anavyozidi kuzingua..hadi kipindi cha daudi.

Nahisi hata malaika mbinguni wakipiga stori, watakua wanasema, "Mwanadamu ni miyeyusho sana, sema ndio hivyo tenaa..basi tuu..tufanyeje"[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji110][emoji110]Sikupingi.


kwa sababu dini ina misingi ya mda mrefu ambayo kuifanyia manipulation ni ngumu ..

Ukitaka kujua hili angalia mila zetu zinavyopotea maana sio imara kadri muda unavyozidi kuenda zinapotea na tunaona za kijnga hata wazee wa mila wanaona noma wenyewe.

Huwezi kumueleza mtu kuhusu kuchezea watoto ngoma ,sijui ukeketaji kwa sasa akakuelewa ,hzi mila sio strong na haziwez kusurvive mda mrefu ndo maana zinapotea .

Dini maandiko yaliandikwa miaka kibao nyuma yanazidi kuleta uhalisia kama siku zinavyoongezeka ,hii ndo inafanya dini kuwa strong na kugaina adherents kila siku.

Dini za kiasili zinapotea kwa vile misingi yake inaathirika na maendeleo ya dunia kirahisi.
Unajua hii unaweza kuichakatua kivingine kwa sababu imani za kiasili hazina stronger basis kwa sababu hata misingi yake (kiroho) imeishia kwenye level ndogo ya miungu..so, yah.

Zinashikilia sana mwili na nafsi..for sure ila misingi yake mikuu ipo kwenye mwili.

Dini (kwa hapa, Biblia) misingi yake mikuu ipo kwenye roho.

So, there's that. Huku mwili, na huku roho.
 
Sio kweli kuna vitabu vikongwe kuliko biblia, vitabu kama zaburi, injili na taurati. Na Qur'an ndio kitabu cha mwisho kutoka Kwa Mwenyezi Mungu. Hiyo biblia sijui kitabu cha dini gani maana yesu alishushiwa taurati lakini wakristo tunatumia biblia. Halafu cha kushangaza hiyo biblia ina matoleo kama kitabu cha hisabati darasa la Saba sijui nani anaebadilisha wakati yesu hayupo. Ndio maana mm nataka kuhamia kwenye uislamu, Qur'an tokea iteremshwe haijawahi kuwa na mabadiliko, hakuna kitabu kingine ambacho kinatumika na wanaadamu ambacho hakina edition isipokuwa Qur'an.
🤣Sasa sio kitu Cha kujisifia, unataka watu waamini majini na maujinga ya mababu wa kiarabu miaka yote au...waamini katika ukatili wa kijinsia na story za warlord, afu si kweli kuwa Islam ni dini ya mwisho inajiita tu hivyo ni sawa mi Nije YouTube niseme hii ni best YouTube video...🤣Hamna nilichokifanya Cha maana hapo ndo maana lazma waislamu watumie force na vitisho ili wapate waumini na waumini wasiache kuamini... Ni psychology tu
 
Well, hii bado tunaendelea kufuatilia kwa tafiti mbalimbali..mpaka sasa..ila kiimani wanasema kuwa mambo ya mwili.

Biblia haideal na mambo ya mwili sana, no, yenyewe inadeal na mambo ya kiroho zaidi, kuliko mwili. Ndio maana ukiisoma biblia kimwilimwili utaona bado haitoshelezi.

Ila ukiisoma kiroho, utapata majibu tofauti kabisaa na unavyoidhania.

Ndio maana inafikirisha wengi, na kustaajabisha wengi pia. Sio kitabu kikongwe sana, hapana, ila kina mambo mengi, teknolojia nyingi na hata nguvu nyingi sana na kubwa kiimani, (kwa wanaoamini) kiasi cha kuustaajabisha ulimwengu.

Kuhusu mwanzo, Adamu alizingua, alipewa kila kitu..alafu akamkaidi Mungu kwa kumsikiliza mwanamke..

Mungu pale ni kweli alimpunguza manyota kadhaa, kwa sababu ukumbuke tuu kuwa Adamu aliishi kwenye Bustani ya Edeni, na hii ni bustani ya kufikirika, ipo kwenye ulimwengu wa roho hapa duniani, mpaka ambapo ikatoweshwa na Mungu mwenyewe.

Hawa binadamu wa historia wanaendelea kuhangaika na kujaribu kuhisi kuwa Edeni huenda ilikua syria au middle eastern, au hata Tanzania...

So, pale baada ya tunda, kuna senses zilipungua, ndio, na nyingine zimeendelea kunyofolewa baadae, kadri mwanadamu anavyozidi kuzingua..hadi kipindi cha daudi.

Nahisi hata malaika mbinguni wakipiga stori, watakua wanasema, "Mwanadamu ni miyeyusho sana, sema ndio hivyo tenaa..basi tuu..tufanyeje"[emoji23][emoji23][emoji23]
🤣Okay si tusingeendelea mbona tuna maendeleo kuliko hao watu...Leo hii Muhammad ukimpeleka Dubai au Yesu ukimpeleka New York atadhani ndo mbinguni ..mbona tunazidi kuendelea Sasa Kama tunazingua
 
Umejuaje kwamba Sayansi hiyo ipo nje ya uwezo wa mwanadamu?
Dude, ni kwa sababu inadili na mambo ya ulimwengu wa rohoni zaidi, na hata mambo mengine ya ulimwengu wa mbinguni, kwa Mungu mwenyewe.

Hivi vitu hauwezi kuviweka kwenye ulimwengu wa mwili wa magalaxies na stars na clusters, na bing bang, no. Hapana.

Sanasana utachanganyikiwa tuu nikikuambia hapahapa duniani kuna getaways za mbinguni na duniani..

Na Mungu mwenyewe na labda malaika ndio wanazifahamu na Mungu mwenyewe ndio fundi anazikontroo.

Wanadamu wanakaribia kujua getaways za ulimwengu wa mwili, za kwenda sayari, clusters, galaxies, etc huko sehemu zingine.

Ila maisha ya ulimwengu wa roho mzee, hayo tusijisumbue tuu.

We nadhani ni kawaida kumdhania mwanadamu mwenzio (Mfalme Zumaridi) chizi? Wakati anakuelezea kuhusu mwili wa mbinguni, maisha na nyumba za huko? Motoni na maisha yake na vazi lake?

Umemsikiliza vizuri au na wewe ni mmoja wa unayempinga mtanzania mwenzio tuu hoja bila kumsikiliza?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787]Kwa Nini Mungu muweza yote mjua yote na mpenda wote aandike kitabu jau chenye moral scientific and historical inconsistencies not to say logically impossible things.... [emoji1787]Mi siwezi maliza nguvu at things that are made up by some old dumb idiots... Science ni ngumu but it works ndo maana Einstein anaheshimika newton hata bill gates ni watu wenye heshima duniani for wat they achieved na hawakuforce watu kupitia vitisho na story story they earned people's respect[emoji1787]Bible ni moja ila madhehebu laki moja kila mtu ana lake ..roho mtakatifu sijui kila mtu anae coz ni akili yako tu ndo maana Huyu anaambiwa hiki mwingine anaambiwa kile...fake made up bullcrap
Sayansi ni maisha ya duniani, Biblia ina maisha ya Mbinguni.

Hapo sasa utalinganishaje? Unajua nini maisha ya mbinguni?

Broo, usichukulie poa.
 
Maswali yanayojibiwa na hichi kitabu ni Mengi sana, mfano...

01. Upendo vs Maovu
Biblia imeelezea sana hili neno upendo, faida zake na hasara zake, ni kwanini mwanadamu anapenda na n.k
Tabia ya mwanadamu ni ubinafsi, uchoyo, wivu na mengine mengi

Historia kubwa ya uwovu inapatika humo, taifa kupigana na taifa.

Vyanzo vingi mbalimbali vya kivita.

Serikali za kifalme zilifanya mambo gani hapo zamani.

Visa vya vita kubwa hapa duniani na sababu zake.

watu wenye nguvu na ukuu.

Mali au utajiri umeleta mfalakano makubwa sana kati ya mtu na mtu.

Mabadiliko ya hali ya hewa njaa na majanga tofauti tofauti yameelezwa.

02. Nielezee kidogo uumbaji wa mwanadamu ulikuaje kwa Mujibu wa biblia.
Mwanzo 1:26-27

[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Hii sura ya Kwanza ni roho ya mwanadamu ndio ilifanywa na Mungu.

Lakini katika sura ya pili ndio tunaona Mwili ukitengenezwa.
pamoja na nafsi.

Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

kwahiyo.
Binadamu ni
01. Roho
02. Mwili
03. Nafsi.

Ukiwa na elimu hii ni mwanzo mzuri sana wa kujua vitu vingi kuhusu...

Mambo ya rohoni na Mambo ya mwilini au
Ulimwengu wa roho na Ulimwengu wa mwili.

Sijui kama kuna kitabu kingine chenye majibu mengi sana ya maswali yangu na wengine pia kama mnamaswali.

Kama kutakua na kitabu kingine ningependa kukifahamu niweze kukisoma pia.

Uwe na Amani na furaha nafsini.

Don't forget to Meditate 🧘‍♂️

How to Read the Bible​

A Guide to Scripture, Then and Now​

READ AN EXCERPT
Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought. The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.

Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths. Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
 
Dude, ni kwa sababu inadili na mambo ya ulimwengu wa rohoni zaidi, na hata mambo mengine ya ulimwengu wa mbinguni, kwa Mungu mwenyewe.

Hivi vitu hauwezi kuviweka kwenye ulimwengu wa mwili wa magalaxies na stars na clusters, na bing bang, no. Hapana.

Sanasana utachanganyikiwa tuu nikikuambia hapahapa duniani kuna getaways za mbinguni na duniani..

Na Mungu mwenyewe na labda malaika ndio wanazifahamu na Mungu mwenyewe ndio fundi anazikontroo.

Wanadamu wanakaribia kujua getaways za ulimwengu wa mwili, za kwenda sayari, clusters, galaxies, etc huko sehemu zingine.

Ila maisha ya ulimwengu wa roho mzee, hayo tusijisumbue tuu.

We nadhani ni kawaida kumdhania mwanadamu mwenzio (Mfalme Zumaridi) chizi? Wakati anakuelezea kuhusu mwili wa mbinguni, maisha na nyumba za huko? Motoni na maisha yake na vazi lake?

Umemsikiliza vizuri au na wewe ni mmoja wa unayempinga mtanzania mwenzio tuu hoja bila kumsikiliza?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbingu na moto ni story za kutungwa, zamani watu walisema mbingu ni mawinguni na Motoni ni chini ya ardhi Ila Leo unajua geography ndo maana unasema ni sehemu iliyofichwa huyo Mungu anazidi kufichwa kadri mwanadamu anapopata maarifa alikuwa pangoni akawa juu ya mti akawa juu ya mlima akahama mawinguni saa hivi kajificha nje ya ulimwengu coz tuna technology ya kuona sayari zote na sehemu kubwa ya galaxy yetu... 🤣Utoto tu kuamini hivi vitu
 
Back
Top Bottom