SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Usiogope wenzetu washafikiri na kugundua uhalisia kuhusu hivi vitu ndo maana hawawezi waza haya mambo wanaendelea tu kuboresha maisha yaoMasuala ya udini yana mamboo mengi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope wenzetu washafikiri na kugundua uhalisia kuhusu hivi vitu ndo maana hawawezi waza haya mambo wanaendelea tu kuboresha maisha yaoMasuala ya udini yana mamboo mengi sana!
Hesabu ya kidunia na namna mnayoisoma kidunia hamuwezi pata majibu halisi.[emoji1787] Nimekuuliza mbona archaeology iliyofanyika Israel na misri haijaonyesha chochote kuhusu Musa, kuwa watumwa misri, kupigana vita na miji 30, kukaa jangwani miaka 40, etc Kama ni ukweli si hivi vitu vingejulikana kupitia archaeology why hamna evidence ya Exodus nzima mpaka bible scholars na historians wanakimbilia kusema ni mafumbo
Nimeuliza maswla na kusema bible ni kitabu cha Mungu hilo swala ni "BIG NO" maana kuna vitabu kaandika paulo kama sehemu ya mafundisho yake..
Nina hakika wala sibishani bible haina muongozo complete na haiwezi kuwa sheria kwa vile kwanza binafsi ndani yake ina contradictions kibao .
Kingine hata ukimfuata mtu anayefuata bible unajua kuna mambo mengi yanahitaji atumie akili ili kucontrol..Mfano ndoa inafunga kikristo ila talaka inatolewa mahakamani kwamba bible haitambui talaka?
Sio kesi ila tambua dini intakiwa iwe na mfumo hata miaka million ijayo still inaweza kusimamia maandiko yake ,angalia leo hii ndoa zinavyovunjika mpaka watu wanaona waachane na bible waende mahakamani wakapate talaka.
Alafu nahisi ulimwengu wa kiroho wa wakristo ni tofauti na wa waislamu, na pia ni tofauti na wa wapagani, na pia hivyoivyo kwa mabudha, atheists, na wengine na wengine..hadi mashetani wenyewe..na kadhalika.Katika ukristo ukisoma Biblia inakupa kuujua ulimwengu wa Roho ulivyo na kushirikiana na Malaika. To serve and worship God
Lakini katika kitabu cha Quran kinakupa uwezo wa kuingia ulimwengu wa kiroho na kushirikiana na Majini. to serve and worship Satan.
Tuongee mambo ya jicho la tatu sasa[emoji3][emoji3][emoji2]
Nafikiri the qn above is beyond my understanding, kama unajua tafadhali tuelimishane...Roho ni nini?
🤣 Naona unazunguka na kachumbari yako ya maneno...ukijibu swali langu utaniitaHesabu ya kidunia na namna mnayoisoma kidunia hamuwezi pata majibu halisi.
Biblia ina codes nyingi mno, mno, mnoo..na hata takwimu zinazotolewa kwenye biblia si kwa ajili ya mwili, no, ni kwa ajili ya roho yako. So, unaweza ukaona codes, na kimwili zikawa zinaelezea kitu kingine na kiroho ni kitu kingine kabisaa..ndio maana wanahistoria wanagumia stories za dini kugundua vitu vingi sana mbalimbali.
Takwimu si lazima zilingane.
Biblia imesaidi kugundulika kwa minara, historia iliyojificha, na mengine mengi mno, hata ukigoogle utaona, uhalisia wa maisha ya utumwa, na kadhalika, na kadhalika.
Ila biblia sio reference mwanadamu kimwili, no, ni reference ya mwanadamu kiroho
🤣 Naona unazunguka na kachumbari yako ya maneno...ukijibu swali langu utaHesabu ya kidunia na namna mnayoisoma kidunia hamuwezi pata majibu halisi.
Biblia ina codes nyingi mno, mno, mnoo..na hata takwimu zinazotolewa kwenye biblia si kwa ajili ya mwili, no, ni kwa ajili ya roho yako. So, unaweza ukaona codes, na kimwili zikawa zinaelezea kitu kingine na kiroho ni kitu kingine kabisaa..ndio maana wanahistoria wanagumia stories za dini kugundua vitu vingi sana mbalimbali.
Takwimu si lazima zilingane.
Biblia imesaidi kugundulika kwa minara, historia iliyojificha, na mengine mengi mno, hata ukigoogle utaona, uhalisia wa maisha ya utumwa, na kadhalika, na kadhalika.
Ila biblia sio reference mwanadamu kimwili, no, ni reference ya mwanadamu kiroho
So sheria zingine zote za biblia kuhusu ushoga kupigana mawe kubakana ni uharo tu🤣Tatizo ni kwamba huujui Ukristo.
Nikuelezee kwa kifupi.
Katika uislamu kuna sheria za kiislamu unatakiwa kuzifuata.
Ni tofauti sana na ukristo.
Ukristo una Amri moja tu na ya pili inafanana na hiyo ya kwanza nayo ni Upendo(Love).
1a. Love God, kwa kumuabudu(ibada) yeye peke yake. 1b. and Love your neighbour
Kwahiyo pima mwenyewe lipi zuri lipi ni baya, kila binadamu anaujuzi wa mema na mabaya.
Kwahiyo unachotakiwa kujua ni kwamba ukristo ulioanzishwa na Yesu haufati Torati. kanisa linaongozwa kwa mafunuo ya Mungu kwa njia ya kiroho.
Kwahiyo nikianza kuongelea habari za ulimwengu wa kiroho sijui kama tutakua pamoja au nitakua nimekuacha njiani.
Ukisikia Baba yako anakwambia usitembee hadi muda wa usiku uwahi kurudi nyumbani hamaanishi kutembea usiku ni vibaya bali ni hatari.
kwahiyo sisi wakristo tunakubaliana na ndoa ya mke mmoja, lakini ata ukiwa na wake wengi hasara na faida yake ni kwako mwenyewe.
🤣Basi we uliyomaliza kushop jiuwe uende huko sisi tubaki kuenjoy maisha coz ndo maisha pekee tuliyonayoAlafu nahisi ulimwengu wa kiroho wa wakristo ni tofauti na wa waislamu, na pia ni tofauti na wa wapagani, na pia hivyoivyo kwa mabudha, atheists, na wengine na wengine..hadi mashetani wenyewe..na kadhalika.
So mtu akifa, inakua ndio mwiaho wa shoping, then anakua anaenda kwenye ulimwenhu wake.
Duniani tunapita, ni sehemu ambayo tunatakiwa kununua mahitaji yetu yote ya maisha ya milele, so baada ya kufa tuu, muda wetu utakua umeisha, na kila mtu atakua anajua anaenda ulimwengu upi.
All in all, please, Choose your time wisely....
Usiseme haujaaambiwa..haijalishi wewe ni dini gani na imani gani...shauri lako..
Asa mifano ya kiroho hakuna unayojua hata moja kwa sababu haujui chochote kuhusiana na ulimwengu wa roho, sijui nikuelezeeje uelewe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aaah so zumaridi duu...[emoji1787]bac ushanitoa Katika ubishano na wewe.... Maana huu utoto sasa
Wanadamu tuliendelea zaidi ya hapa, tukazingua, sir god anafanya reset kila mara, maisha yanaanza tena, yanasogea na kuna muda ukifika yanafika mwisho.[emoji1787]Okay si tusingeendelea mbona tuna maendeleo kuliko hao watu...Leo hii Muhammad ukimpeleka Dubai au Yesu ukimpeleka New York atadhani ndo mbinguni ..mbona tunazidi kuendelea Sasa Kama tunazingua
Kwa sababu yanahusisha senses zote za mwanadamu, hadi zile ambazo zilipunguzwa na Mungu mwenyewe.Masuala ya udini yana mamboo mengi sana!
Hautakaa milele, hata ukiishi milele hautakaa umuone Mungu kwa sababu hadili na ulimwengu wa mwili, makapi, no.Mbingu na moto ni story za kutungwa, zamani watu walisema mbingu ni mawinguni na Motoni ni chini ya ardhi Ila Leo unajua geography ndo maana unasema ni sehemu iliyofichwa huyo Mungu anazidi kufichwa kadri mwanadamu anapopata maarifa alikuwa pangoni akawa juu ya mti akawa juu ya mlima akahama mawinguni saa hivi kajificha nje ya ulimwengu coz tuna technology ya kuona sayari zote na sehemu kubwa ya galaxy yetu... [emoji1787]Utoto tu kuamini hivi vitu
Nani kakuambia nimemaliza kufanya shopping??[emoji1787]Basi we uliyomaliza kushop jiuwe uende huko sisi tubaki kuenjoy maisha coz ndo maisha pekee tuliyonayo
Acha uongo maana unakinzana na maandiko kama una hakika yesu alianza ukristo leta andiko naslimu hapa.!!Tatizo ni kwamba huujui Ukristo.
Nikuelezee kwa kifupi.
Katika uislamu kuna sheria za kiislamu unatakiwa kuzifuata.
Ni tofauti sana na ukristo.
Ukristo una Amri moja tu na ya pili inafanana na hiyo ya kwanza nayo ni Upendo(Love).
1a. Love God, kwa kumuabudu(ibada) yeye peke yake. 1b. and Love your neighbour
Kwahiyo pima mwenyewe lipi zuri lipi ni baya, kila binadamu anaujuzi wa mema na mabaya.
Kwahiyo unachotakiwa kujua ni kwamba ukristo ulioanzishwa na Yesu haufati Torati. kanisa linaongozwa kwa mafunuo ya Mungu kwa njia ya kiroho.
Kwahiyo nikianza kuongelea habari za ulimwengu wa kiroho sijui kama tutakua pamoja au nitakua nimekuacha njiani.
Ukisikia Baba yako anakwambia usitembee hadi muda wa usiku uwahi kurudi nyumbani hamaanishi kutembea usiku ni vibaya bali ni hatari.
kwahiyo sisi wakristo tunakubaliana na ndoa ya mke mmoja, lakini ata ukiwa na wake wengi hasara na faida yake ni kwako mwenyewe.
Maisha ya ulimwengu wa roho unayajua?Dude, ni kwa sababu inadili na mambo ya ulimwengu wa rohoni zaidi, na hata mambo mengine ya ulimwengu wa mbinguni, kwa Mungu mwenyewe.
Hivi vitu hauwezi kuviweka kwenye ulimwengu wa mwili wa magalaxies na stars na clusters, na bing bang, no. Hapana.
Sanasana utachanganyikiwa tuu nikikuambia hapahapa duniani kuna getaways za mbinguni na duniani..
Na Mungu mwenyewe na labda malaika ndio wanazifahamu na Mungu mwenyewe ndio fundi anazikontroo.
Wanadamu wanakaribia kujua getaways za ulimwengu wa mwili, za kwenda sayari, clusters, galaxies, etc huko sehemu zingine.
Ila maisha ya ulimwengu wa roho mzee, hayo tusijisumbue tuu.
We nadhani ni kawaida kumdhania mwanadamu mwenzio (Mfalme Zumaridi) chizi? Wakati anakuelezea kuhusu mwili wa mbinguni, maisha na nyumba za huko? Motoni na maisha yake na vazi lake?
Umemsikiliza vizuri au na wewe ni mmoja wa unayempinga mtanzania mwenzio tuu hoja bila kumsikiliza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usipanic twende hatua kwa hatua.Acha uongo maana unakinzana na maandiko kama una hakika yesu alianza ukristo leta andiko naslimu hapa.!!
wakristo walianza kuitwa baada ya paulo kutengeneza sehemu ya kuabdu kama kanisa na waliomfuta ndo tangu hapo wakaitwa wakristo.
Unatakiwa utambue katika agano jipya kuna vitabu vya paulo yaani yeye ndo kaandika watu kama warumi, wakorintho kama barua ...Hapo yesu kashaondoka.
Yesu hawezi kuwa mkristo kwa vile yeye aliabudu Mungu ,turejea maana ya ukristo means "the choosen one " yaani alichagyliwa kufuatwa kama mkombozi ...Ukisema mimi mkristo ina maana wewe unasadifu trinity na uungu wa Yesu moja kwa moja kwa mwokozi wako.
Yesu atawezaje kuw mwkozi halafu ajifuate yeye yaani ajiabudu yeye wakati pale msalabani alishindwa kujiokoa?
Ina maana bro, Soda na juice zenye flavours na sodium bicarbonate zenye madhara makubwa mwilini na kusababisha magonjwa yasiyoambukizwa kwa haraka kuliko pombe, ni ibada?Kunywa juisi ni ibada kama sio kilevi hata na haina madhara.
So unakiri kuwa Yesu alikufa. Si ndio?Acha uongo maana unakinzana na maandiko kama una hakika yesu alianza ukristo leta andiko naslimu hapa.!!
wakristo walianza kuitwa baada ya paulo kutengeneza sehemu ya kuabdu kama kanisa na waliomfuta ndo tangu hapo wakaitwa wakristo.
Unatakiwa utambue katika agano jipya kuna vitabu vya paulo yaani yeye ndo kaandika watu kama warumi, wakorintho kama barua ...Hapo yesu kashaondoka.
Yesu hawezi kuwa mkristo kwa vile yeye aliabudu Mungu ,turejea maana ya ukristo means "the choosen one " yaani alichagyliwa kufuatwa kama mkombozi ...Ukisema mimi mkristo ina maana wewe unasadifu trinity na uungu wa Yesu moja kwa moja kwa mwokozi wako.
Yesu atawezaje kuw mwkozi halafu ajifuate yeye yaani ajiabudu yeye wakati pale msalabani alishindwa kujiokoa?