Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Maswali yanayojibiwa na hichi kitabu ni Mengi sana, mfano...

01. Upendo vs Maovu
Biblia imeelezea sana hili neno upendo, faida zake na hasara zake, ni kwanini mwanadamu anapenda na n.k
Tabia ya mwanadamu ni ubinafsi, uchoyo, wivu na mengine mengi

Historia kubwa ya uwovu inapatika humo, taifa kupigana na taifa.

Vyanzo vingi mbalimbali vya kivita.

Serikali za kifalme zilifanya mambo gani hapo zamani.

Visa vya vita kubwa hapa duniani na sababu zake.

watu wenye nguvu na ukuu.

Mali au utajiri umeleta mfalakano makubwa sana kati ya mtu na mtu.

Mabadiliko ya hali ya hewa njaa na majanga tofauti tofauti yameelezwa.

02. Nielezee kidogo uumbaji wa mwanadamu ulikuaje kwa Mujibu wa biblia.
Mwanzo 1:26-27

[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Hii sura ya Kwanza ni roho ya mwanadamu ndio ilifanywa na Mungu.

Lakini katika sura ya pili ndio tunaona Mwili ukitengenezwa.
pamoja na nafsi.

Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

kwahiyo.
Binadamu ni
01. Roho
02. Mwili
03. Nafsi.

Ukiwa na elimu hii ni mwanzo mzuri sana wa kujua vitu vingi kuhusu...

Mambo ya rohoni na Mambo ya mwilini au
Ulimwengu wa roho na Ulimwengu wa mwili.

Sijui kama kuna kitabu kingine chenye majibu mengi sana ya maswali yangu na wengine pia kama mnamaswali.

Kama kutakua na kitabu kingine ningependa kukifahamu niweze kukisoma pia.

Uwe na Amani na furaha nafsini.

Don't forget to Meditate 🧘‍♂️
Hii nimeipenda sana, tunaweza kujadiliana kuhusu hili?
 
Usipani twende hatua kwa hatua.

Naona hujui nini maana ya Ukristo.

Mkristo/Christian meaning.
Tutafute kwanza maana ya neno Christian ndio tuendelee mbele.

Maana yake inakupa majibu nani aliyeanzisha imani ya Kikristo
😂😂😂Hakuwahi kuwa mkristo ng'o
 
Ina maana bro, Soda na juice zenye flavours na sodium bicarbonate zenye madhara makubwa mwilini na kusababisha magonjwa yasiyoambukizwa kwa haraka kuliko pombe, ni ibada?

Hilarious,sikujua hilo.
unajua kwa nn inaitwa pombe? kutokana na vilevi vilivyopo kama hiyo soda ina ingredients hazifai basi pia sio ibada.
 
So unakiri kuwa Yesu alikufa. Si ndio?

Yesu alichaguliwa na Mungu kuwa mwokozi, mbona Samson Mungu alimchagua kuwaokoa Wana wa Israeli mikononi mwa Wafilisti?
Wapi nimekri yesu alikufa? hii kutokana na imani yenu nyie mnakuja kujifunga kwamba alikufa .

Yesu alichaguliwa na Mungu? hatutoelewana .

Kwa vile ushasema alichaguliwa na Mungu mmoja baada unasema tena yesu ni Mungu 😂..Huoni kama hatutolewana hapa.!!
 
Why lazma jibu liwe Mungu? Wewe unajua kwamba ni Mungu? Ukisema Mungu ndo ameumba kila kitu ukiulizwa Mungu kaumbwa na nani utasemaje?
Unajiundia swali lako na kujijibu au hujaona nilicho uliza.
Nimemuuliza mtoa post ila kwa quote yako unajionyesha wazi uko upande gani.

Haya umsaidie mwenzio kujibu nilicho uliza
 
Wapi nimekri yesu alikufa? hii kutokana na imani yenu nyie mnakuja kujifunga kwamba alikufa .

Yesu alichaguliwa na Mungu? hatutoelewana .

Kwa vile ushasema alichaguliwa na Mungu mmoja baada unasema tena yesu ni Mungu 😂..Huoni kama hatutolewana hapa.!!
Yesu ni Mwana wa Mungu , alimuabudu Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ambaye alimuita Baba.

Na Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo alimuita Mwanangu mpendwa .
 
😂😂so Mungu ana mwana leta uthibitisho?
MUNGU WA WAYAHUDI ALIMUITA YESU, MWANAYE MPENDWA.

Mathayo 3:16-17
[16]Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;
And Jesus, when he was baptized, went up straightway out of the water: and, lo, the heavens were opened unto him, and he saw the Spirit of God descending like a dove, and lighting upon him:
[17]na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
And lo a voice from heaven, saying, This is my beloved Son, in whom I am well pleased.

YESU KRISTO ALIMUAMBIA NIKODEMO UHUSIANO WAKE NA MUNGU WA IBRAHIMU, ISAKA NA YAKOBO.

Yohana 3:16,19
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life.
[19]Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
And this is the condemnation, that light is come into the world, and men loved darkness rather than light, because their deeds were evil.

YESU KRISTO WA MAANDIKO MATAKATIFU YA BIBLIA SIO ISA BIN MARIAMU.
 
Asa mifano ya kiroho hakuna unayojua hata moja kwa sababu haujui chochote kuhusiana na ulimwengu wa roho, sijui nikuelezeeje uelewe.

Dah..

Zumaridi kidogo amegusiagusia baadhi ya mambo kuhusu miili ya mbinguni na motoni..maana ukisema uyajue yote inabidi ufe mzee, fuel yake ni kubwa mno kwa mwanadamu wa sasa..kwa sababu hajawa enlightened...codes zake hazijawa fully opened..zingine zimefungwa kwenye dna ndani hukoo, biologists wanajua hii vizuri...mwanadamu wa sasa ni nyama tuu, (flesh)..kiroho bado mchanga..hajui kitu...hana full potentials

Biblia ukiisoma vizuri mno inakupa enlightment maana ina daraja zuri sana la kiroho la kukupa full power, kufungua codes zako zilizofungwa na Mungu mwenyewe...na pia unakua chini ya ulinzi wa Yesu Kristo mwenyewe..katika ulimwengu wake wa milele usioisha.

Nje ya Biblia, unaweza kufungua codes ila utakuwa nje ya ulinzi wa kristo, maana yake utakuwa kimpango wako, free spirit....ni sawa na uelee tuu kwenye space, pasipokuwa na orbit yoyote.

Na hata dini zingine zinakua na wakuu wao na walinzi wao, na pia, heavens (mbingu)zao

Si unasikia wanasayansi wanasemaga kuwa kuna bubble moja kuubwa inaulinda ulimwengu huu..basi kila dini ni kama bubble inayoulinda ulimwengu wako husika, kiroho.

So, Mungu wa wakristo hawezi kuwa sawa na Mungu wa waislamu, Mungu wa wahindu hawezi kuwa sawa na miungu ya kigiriki, na listi inaendelea hivyoivyo na kadhalika na kadhalika.

Usipaniki, kujionesha kuwa eti Mungu wako ni bora kuliko wengine..unakosea, tena unakoseaa sanaaaaa big time na unakua bonge moja la mjinga.

Kama unahisi sio sawa...toa hoja, kama hauna hoja basi We nyamaza tuu kimya, soma, elewa, kisha kausha.
🤣Sawa zumaridi
 
Wanadamu tuliendelea zaidi ya hapa, tukazingua, sir god anafanya reset kila mara, maisha yanaanza tena, yanasogea na kuna muda ukifika yanafika mwisho.

Hembu jiulize, kama unataka mfano...hivi unadhani ile tech iliokuwepo kipindi cha kujengwa kwa pyramids, kwanini ile tech hapio?

Kwanj watu hawakuwepo? Kwani hakuna hata walioandika?

Ile tech ya watu waliokuwa wanaandika kwenye mapango..ipo vipi?? Kule kondia, chile, marekani na maeneo mengine..

Wengine si wanaitumia kutengeneza silaha za kivita, teknolojia kwenye computers na hata zingine kwenye kurushia rockets na vyombo nje ya nchi.

Hivi unadhani mwanadamu amekurupuka tuu na kuanza kwenda Mars? Au kuanza kuangalia nyota, na sayari, na galaxies??

Kuna clues ndogondogo zinazomfanya mwanadamu ahisi kuwa kuna vitu vimepungua ndani yake..kuna past kwenye present, na kila unapoisoma inakupeleka kwenye maisha mengine ambaho kumbe aisha uliwahi kuishi, au damu yako iliwahi kuishi
🤣Nani kasema watu hawawezi Jenga pyramids... Mzungu anapeleka mtu mwezini we unaongelea technology ya dreams. Kama unataka ujue umeendelea au la nenda kaishi vijiji vya jangwani huko ambavyo hawana modern technology tuone ka utayaweza mshukuru mzungu coz mwanzo wa kukataa kwake uhuni na uongo ndo umemfanya aweze tatua matatizo na kuvumbua vitu sisi tumekuwa watumiaji tu na tunatawaliwa coz wenzetu wanatumia akili zao we unangoja miujiza
 
MUNGU WA WAYAHUDI ALIMUITA YESU, MWANAYE MPENDWA.

Mathayo 3:16-17
[16]Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;
And Jesus, when he was baptized, went up straightway out of the water: and, lo, the heavens were opened unto him, and he saw the Spirit of God descending like a dove, and lighting upon him:
[17]na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
And lo a voice from heaven, saying, This is my beloved Son, in whom I am well pleased.

YESU KRISTO ALIMUAMBIA NIKODEMO UHUSIANO WAKE NA MUNGU WA IBRAHIMU, ISAKA NA YAKOBO.

Yohana 3:16,19
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life.
[19]Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
And this is the condemnation, that light is come into the world, and men loved darkness rather than light, because their deeds were evil.

YESU KRISTO WA MAANDIKO MATAKATIFU YA BIBLIA SIO ISA BIN MARIAMU.
Tutaenda na bible kama ilivyo au sio ,
MUNGU WA WAYAHUDI ALIMUITA YESU, MWANAYE MPENDWA.

Mathayo 3:16-17
[16]Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;
And Jesus, when he was baptized, went up straightway out of the water: and, lo, the heavens were opened unto him, and he saw the Spirit of God descending like a dove, and lighting upon him:
[17]na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
And lo a voice from heaven, saying, This is my beloved Son, in whom I am well pleased.

YESU KRISTO ALIMUAMBIA NIKODEMO UHUSIANO WAKE NA MUNGU WA IBRAHIMU, ISAKA NA YAKOBO.

Yohana 3:16,19
[16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
For God so loved the world, that he gave his only begotten Son, that whosoever believeth in him should not perish, but have everlasting life.
[19]Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
And this is the condemnation, that light is come into the world, and men loved darkness rather than light, because their deeds were evil.

YESU KRISTO WA MAANDIKO MATAKATIFU YA BIBLIA SIO ISA BIN MARIAMU.
Haya mwana mwanae kama mnavyochukulia sasa tuje👇👇

Sisi sote ni wana wa Mungu kutokana na bible kwa mantiki yesu alitumwa kama kiumbe cha Mungu ila sio mwana wa kumzaa nikiwa na maana hata Adam ,yakobo , ibrahimu ni wanae pia.

Warumi 8 16-17

"Ni Roho mwenyewe anayeshuhudia pamoja na roho zetu kwamba sisi ni wana wa Mungu"


Hii ikiwa na maana kwamba sisi na yesu ni level moja katika utukufu kama tutafuata yale yote ya Kumpendeza Mungu basi na sisi ni watoto wa Mungu .


Kwa nn mnamtukuza yesu pekeake ? wakati bible ipo clear wote ni watoto wa Mungu?
 
Hautakaa milele, hata ukiishi milele hautakaa umuone Mungu kwa sababu hadili na ulimwengu wa mwili, makapi, no.
Mungu yupo kwenye ulimwengu wake mwenyewe, ulimwengu wa Roho, kakuumba wewe mwanadamu unayewaza na kuuona ulimwengu wa mwili...alafu unaanza kumchallenge mtu ambaye haumuoni.

Imagine umemzaa mtoto, alafu mtoto anakuita nje mje muongee kizarauzarau tuu,..huku anafokafoka ujinga...hivi utamfanyaje? utamfuata kwa upole au utamchapa bakora???
🤣At least huyo mtoto ananiona... Hivi imagine anakuja mtu anakuwambia Kuna jambazi anataka akuue inabidi umpe hela we humuoni jambazi ila huyo mtu anasema anamwona we mpe hela tu...🤣si utamwona kichaa... Ndo navyokuona wewe na story zako za roho
 
Yeye ndiye Kristo
Mathayo 16:16a
[16]Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo,
Unaelewa ulichoandika yeye ndo kristo mnayemfuata ,ukisema mimi mkristo unamfuata kristo ...Je yeye atakuwaje mkristo wakati nyie ndo mnaemfuata?


kwa hyo unataka kusema Mungu wenu ni mkristo?
 
Back
Top Bottom