Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

Mkianza kujadili Roho ni nini ni sawa na kujadili sayansi ya umilele, ambayo mwili wako, akili yako, na nguvu zako haziwezi kuhimili na wala kustahimili.

Kwa lugha fupi ni kuwa mnajadili sayansi ya Mungu

Hii ni sayansi ambayo ipo nje y uwezo wetu, hata aliens wenyewe hawawezi kuifikia[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanadamu tuna bahati ya kumjua Mungu direct hata kama bado tu vilaza hiviii....(kwa njia ya kiroho) tofauti na aliens, au viumbe smarter kutuzidi kutoka kwenye galaxies mbalimbali, kwenye ulimwengu huu huu..

NB: na kama tukiweza hayo yote, ndio tuje kwenye malimwengu mengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mambo mengine haya ni kujitesa tuu, [emoji23][emoji23][emoji23]mtu haujaimaliza kuijua dunia, eti mara umeenda Mars, mara umetuma voyager nje ya mfumo wetu wa jua, mara umegundua masayari, mara unakaribia bing bang[emoji23][emoji23][emoji23]



Shauri lenu, nashauri mkaushe tuu..kama hamna mpango sana wa kuelewa...maana hakuna mtu huku duniani akakuambia sayansi ya Mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23]

Utadanganywa tuu na kudanganyika tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣Why tusijue....hivi we hushtuki...🤣Yaani ukiona makosa katika dhana ya Mungu we ndo unalaumiwa unaambiwa huwezi elewa unaitwa mjinga na unakubali unafurahia....😅🤣wazungu watatuacha mbali sana
 
Niambie jinsi ya biblia imeonyesha namna ya kufanya ibada?

Niambie wapi biblia imeonyesha namna ya kufunga ndoa na kugawana mirathi?

Nionyesha katika adabu na taratibu za binadamu kama kula ,kulala, kutembea Na mambo ya kili siku kupitia bible?

Nionyeshe sayansi ya binadamu kupitia biblia kwa mfumo wowote ule ?

Biblia haiwezi kuwa katiba wala muongozo wa mwanadamu kwa saba mbu haiendani na matakwa ya kibidamu na haina mfumo complete wa maisha ya binadamu.

Ndo maana leo kuna watu hata kuchinja hayaruhusi kisa wanafuata bible sasa wakulajd nyama?

Ishu ya ndoa ambayo ni pana kwa zama za sasa kuvunjika ndoa ila unaambiwa 😂😂ndo ni milele mpaka watu wanakuja kuuana kabisa .

Wanaume wasioe au waoe wanawake wachache ,ilihali kimatakwa ya binadamu hususani mwanaume kamili ni ngumu sana asioe au awe na mke mmoja ,hili tunaona huko mitaani.
Ukisoma biblia utagundua haijishughulishi sana na maisha ya mwili/ya duniani.

Ndio maana:
- Watu waliuza Mali zao kumfuata Yesu.

- Yesu alisema, baba yake na mama yake ni wale wanaosikia neno lake na kumfuata.

- Kuna kauli Kama usihangaikie kesho, na kisa Cha tajiri na masikini Lazaro.

Maswali mengi ya watu kwenda kwa Yesu yaliyokuwa yanahusu matatizo ya kimwili Yesu aliyatoa majibu ya kiroho.


Mfano:

  • Suala la kuoa.
  • Suala la kurithi mke ( watu walimuuliza, mtu akioa, mke wa Kwanza then akafa, halafu akaoa Tena wa pili na tatu, mbinguni atakiwa na yupi, Yesu anawaambia Mbinguni hakuna mambo ya kuoa na kuolewa, watu watakuwa Kama malaika.

- Hata baada ya watu wengi kuanza kumuita Mfalme, na Wanasiasa wenye Madaraka kupata hofu ya madaraka yao, Yesu aliwaambia Ufalme wake siyo wa dunia hii.
 
Niambie jinsi ya biblia imeonyesha namna ya kufanya ibada?

Niambie wapi biblia imeonyesha namna ya kufunga ndoa na kugawana mirathi?

Nionyesha katika adabu na taratibu za binadamu kama kula ,kulala, kutembea Na mambo ya kili siku kupitia bible?

Nionyeshe sayansi ya binadamu kupitia biblia kwa mfumo wowote ule ?

Biblia haiwezi kuwa katiba wala muongozo wa mwanadamu kwa saba mbu haiendani na matakwa ya kibidamu na haina mfumo complete wa maisha ya binadamu.

Ndo maana leo kuna watu hata kuchinja hayaruhusi kisa wanafuata bible sasa wakulajd nyama?

Ishu ya ndoa ambayo ni pana kwa zama za sasa kuvunjika ndoa ila unaambiwa 😂😂ndo ni milele mpaka watu wanakuja kuuana kabisa .

Wanaume wasioe au waoe wanawake wachache ,ilihali kimatakwa ya binadamu hususani mwanaume kamili ni ngumu sana asioe au awe na mke mmoja ,hili tunaona huko mitaani.
Hii ngoma inaishia hapa hapa haina tena muendelezo
 
Ukisoma Biblia zaidi ndo unazidi kugundua imeandikwa na watu ..Tena watu wajinga
Hapana, ukiisoma biblia vizuri zaidi utajua kwanini Mungu anampenda sana Mwanadamu, na kwanini mwanadamu ana nguvu kubwa sana na ya pekee kuliko viumbe wengine...huenda wa ulimwengu huu..probably.

Mwanadamu ana full package..mwanadamu ana kila kitu. Each and everything. All at once. Everything.

Ila mwanadamu wa sasa (mimi mwenyewe nikiwemo) hatujafikia kuwaka (enlightened) na kuwa na full packages, tuna code nyingi sana zimefungiwa...(zile codes za ku-pingana na asili, kupaa au kusepa na kurudi, kujua yajayo, kwenda past, n.k.) ndio maana watu wa imani za meditation wanaelekeza namna ya kufungua uungu wa mwanadamu, kwa meditation..kuwa full package, complete.

Sasa dini ina namna zake za kufungua hizo code pia na kuwa full package..ila yenyewe haina mpango sana na vya muda mfupi, yenyewe inadili na maisha ya milele ya mwanadamu, ile purity ya mbinguni ambayo mungu mwenyewe ameiumba.

Vingine ni ngumu kuelewa kama hauko tayari kuelewa..kwa sababu inamaliza sana nguvu ya akili yako, au nafsi yako..etc.

You gotta be seriously smart..and not just dumb.
 
Hapana, ukiisoma biblia vizuri zaidi utajua kwanini Mungu anampenda sana Mwanadamu, na kwanini mwanadamu ana nguvu kubwa sana na ya pekee kuliko viumbe wengine...huenda wa ulimwengu huu..probably.

Mwanadamu ana full package..mwanadamu ana kila kitu. Each and everything. All at once. Everything.

Ila mwanadamu wa sasa (mimi mwenyewe nikiwemo) hatujafikia kuwaka (enlightened) na kuwa na full packages, tuna code nyingi sana zimefungiwa...(zile codes za ku-pingana na asili, kupaa au kusepa na kurudi, kujua yajayo, kwenda past, n.k.) ndio maana watu wa imani za meditation wanaelekeza namna ya kufungua uungu wa mwanadamu, kwa meditation..kuwa full package, complete.

Sasa dini ina namna zake za kufungua hizo code pia na kuwa full package..ila yenyewe haina mpango sana na vya muda mfupi, yenyewe inadili na maisha ya milele ya mwanadamu, ile purity ya mbinguni ambayo mungu mwenyewe ameiumba.

Vingine ni ngumu kuelewa kama hauko tayari kuelewa..kwa sababu inamaliza sana nguvu ya akili yako, au nafsi yako..etc.

You gotta be seriously smart..and not just dumb.
Hapa Hawa atheist umewaacha chalinze kabisa.
Nipe shule kuhusu Mungu alipomwambia Adam msile mtu wa katikati mtakufa, wengine wanasema ni hali ya umilele yaani kutokufa kimwili, wengine wanasema kufa kiroho, wengine wanasema ni kupunguzwa kwa sense toka ten na kuwa five organs senses.
 
Ukisoma biblia utagundua haijishughulishi sana na maisha ya mwili/ya duniani.

Ndio maana:
- Watu waliuza Mali zao kumfuata Yesu.

- Yesu alisema, baba yake na mama yake ni wale wanaosikia neno lake na kumfuata.

- Kuna kauli Kama usihangaikie kesho, na kisa Cha tajiri na masikini Lazaro.

Maswali mengi ya watu kwenda kwa Yesu yaliyokuwa yanahusu matatizo ya kimwili Yesu aliyatoa majibu ya kiroho.


Mfano:

  • Suala la kuoa.
  • Suala la kurithi mke ( watu walimuuliza, mtu akioa, mke wa Kwanza then akafa, halafu akaoa Tena wa pili na tatu, mbinguni atakiwa na yupi, Yesu anawaambia Mbinguni hakuna mambo ya kuoa na kuolewa, watu watakuwa Kama malaika.

- Hata baada ya watu wengi kuanza kumuita Mfalme, na Wanasiasa wenye Madaraka kupata hofu ya madaraka yao, Yesu aliwaambia Ufalme wake siyo wa dunia hii.
Upo sahihi 100%
 
Maswali yanayojibiwa na hichi kitabu ni Mengi sana, mfano...

01. Upendo vs Maovu
Biblia imeelezea sana hili neno upendo, faida zake na hasara zake, ni kwanini mwanadamu anapenda na n.k
Tabia ya mwanadamu ni ubinafsi, uchoyo, wivu na mengine mengi

Historia kubwa ya uwovu inapatika humo, taifa kupigana na taifa.

Vyanzo vingi mbalimbali vya kivita.

Serikali za kifalme zilifanya mambo gani hapo zamani.

Visa vya vita kubwa hapa duniani na sababu zake.

watu wenye nguvu na ukuu.

Mali au utajiri umeleta mfalakano makubwa sana kati ya mtu na mtu.

Mabadiliko ya hali ya hewa njaa na majanga tofauti tofauti yameelezwa.

02. Nielezee kidogo uumbaji wa mwanadamu ulikuaje kwa Mujibu wa biblia.
Mwanzo 1:26-27

[26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

[27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Hii sura ya Kwanza ni roho ya mwanadamu ndio ilifanywa na Mungu.

Lakini katika sura ya pili ndio tunaona Mwili ukitengenezwa.
pamoja na nafsi.

Mwanzo 2:7
[7]BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

kwahiyo.
Binadamu ni
01. Roho
02. Mwili
03. Nafsi.

Ukiwa na elimu hii ni mwanzo mzuri sana wa kujua vitu vingi kuhusu...

Mambo ya rohoni na Mambo ya mwilini au
Ulimwengu wa roho na Ulimwengu wa mwili.

Sijui kama kuna kitabu kingine chenye majibu mengi sana ya maswali yangu na wengine pia kama mnamaswali.

Kama kutakua na kitabu kingine ningependa kukifahamu niweze kukisoma pia.

Uwe na Amani na furaha nafsini.

Don't forget to Meditate 🧘‍♂️
Ni sahihi kabisa, mtu ana sehemu tatu kwa pamoja ambazo ni roho, nafsi na mwili wa nyama, damu na mifupa.

Kwenye nafsi kuna akili, utashi na hisia (mind, will and emotions). Roho ni mtu halisi na huishi milele. 1 Thesalonike 5:23
 
🤣Sasa si useme utamaduni wenu wa kiislamu hauruhusu bia Ila mwarabu ameamua kuwatishia Mambo ya shetani na moto ili muogope...😅mbona tutaelewa tu bro
😂😂Nyie kwa vile wazungu wanakunywa nyie ndo mnafuata.
 
Sasa it's obvious the bible Ina makosa hata mtoto wa la tatu anaweza ona hayo makosa akisoma kwa uhuru.
Biblia huenda isiwe na makosa kama unavyodhani. Maana yenyewe inahudumia kila kitu..nguvu za mwili ambazo zinamzuzuaga mwanadamu muda wote duniani (Power) nguvu za nafsi na nguvu za roho

Sasa kama unadili na kitu cha duniani (mwili) ujue Biblia lazima itakukataa, kwa sababu yenyewe haidili na kitu au jambo la muda mfupi,

Biblia inakuandaa na maisha ya milele, na sio ya muda..

Ukiwa na uelewa wa kiimani au kiroho utaelewa hili kwa urahisi..ila ukileta akili nyingi hautoelewa chochote
 
[emoji28][emoji1787]Hinduism ni dini yenye vitabu vya zamani kuliko dini yoyote...if shida ni vitabu au story za zamani ukristo imecopy dini za wayahudi, dini za wagiriki, wapersia na hata wahindi. Issue ya utatu ni ya wahindi, story ya Adam na Eve na Noah's ark ni ya Gilgamesh, kuumbwa kwa udongo ni china, tower of babel ni Babylon, Jesus ndo kabisa karibia miungu yote ya Asia na Europe ilizaliwa bikra ikafanya miujiza na ikafufuka. Tena wengine baada ya siku tatu kabisa. [emoji1787]Afu unasema bible ni original. Dini ya ukristo ni bonge la wizi yaani
Waambie hii issue ya bikra kuzaa haijaanza kwa Yesu
 
Alafu kwa kuongezea, tuu..kwa dini zetu hizi zina miaka ujue..nahisi milioni kadhaa hivii iliyopita, maana ukisoma historia za wafalme kadhaa kwenye biblia, Msaafu, vitabu vya historia za dini zingine, na kadhalika utagundua kua dini ndio sehemu pekee (imani) ambayo imebeba historia ya mwanadamu.

Ila mwanadamu wa sasa anaendelea kuchunguza maisha yalivyo kabla ya maisha haya tunayoishi sisi, ninarejea tafiti za hivi karibuni zilizogundulika huko arctic kuhusu namna maisha yalivyo miaka millioni mbili iliopita...
✊✊Sikupingi.


kwa sababu dini ina misingi ya mda mrefu ambayo kuifanyia manipulation ni ngumu ..

Ukitaka kujua hili angalia mila zetu zinavyopotea maana sio imara kadri muda unavyozidi kuenda zinapotea na tunaona za kijnga hata wazee wa mila wanaona noma wenyewe.

Huwezi kumueleza mtu kuhusu kuchezea watoto ngoma ,sijui ukeketaji kwa sasa akakuelewa ,hzi mila sio strong na haziwez kusurvive mda mrefu ndo maana zinapotea .

Dini maandiko yaliandikwa miaka kibao nyuma yanazidi kuleta uhalisia kama siku zinavyoongezeka ,hii ndo inafanya dini kuwa strong na kugaina adherents kila siku.

Dini za kiasili zinapotea kwa vile misingi yake inaathirika na maendeleo ya dunia kirahisi.
 
Mkianza kujadili Roho ni nini ni sawa na kujadili sayansi ya umilele, ambayo mwili wako, akili yako, na nguvu zako haziwezi kuhimili na wala kustahimili.

Kwa lugha fupi ni kuwa mnajadili sayansi ya Mungu

Hii ni sayansi ambayo ipo nje y uwezo wetu, hata aliens wenyewe hawawezi kuifikia[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanadamu tuna bahati ya kumjua Mungu direct hata kama bado tu vilaza hiviii....(kwa njia ya kiroho) tofauti na aliens, au viumbe smarter kutuzidi kutoka kwenye galaxies mbalimbali, kwenye ulimwengu huu huu..

NB: na kama tukiweza hayo yote, ndio tuje kwenye malimwengu mengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mambo mengine haya ni kujitesa tuu, [emoji23][emoji23][emoji23]mtu haujaimaliza kuijua dunia, eti mara umeenda Mars, mara umetuma voyager nje ya mfumo wetu wa jua, mara umegundua masayari, mara unakaribia bing bang[emoji23][emoji23][emoji23]



Shauri lenu, nashauri mkaushe tuu..kama hamna mpango sana wa kuelewa...maana hakuna mtu huku duniani akakuambia sayansi ya Mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23]

Utadanganywa tuu na kudanganyika tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umejuaje kama hao hawamjui?
Umeshawahi kukutana nao?
 
Mkianza kujadili Roho ni nini ni sawa na kujadili sayansi ya umilele, ambayo mwili wako, akili yako, na nguvu zako haziwezi kuhimili na wala kustahimili.

Kwa lugha fupi ni kuwa mnajadili sayansi ya Mungu

Hii ni sayansi ambayo ipo nje y uwezo wetu, hata aliens wenyewe hawawezi kuifikia[emoji23][emoji23][emoji23]

Wanadamu tuna bahati ya kumjua Mungu direct hata kama bado tu vilaza hiviii....(kwa njia ya kiroho) tofauti na aliens, au viumbe smarter kutuzidi kutoka kwenye galaxies mbalimbali, kwenye ulimwengu huu huu..

NB: na kama tukiweza hayo yote, ndio tuje kwenye malimwengu mengine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mambo mengine haya ni kujitesa tuu, [emoji23][emoji23][emoji23]mtu haujaimaliza kuijua dunia, eti mara umeenda Mars, mara umetuma voyager nje ya mfumo wetu wa jua, mara umegundua masayari, mara unakaribia bing bang[emoji23][emoji23][emoji23]



Shauri lenu, nashauri mkaushe tuu..kama hamna mpango sana wa kuelewa...maana hakuna mtu huku duniani akakuambia sayansi ya Mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23]

Utadanganywa tuu na kudanganyika tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umejuaje kwamba Sayansi hiyo ipo nje ya uwezo wa mwanadamu?
 
Hapana, ukiisoma biblia vizuri zaidi utajua kwanini Mungu anampenda sana Mwanadamu, na kwanini mwanadamu ana nguvu kubwa sana na ya pekee kuliko viumbe wengine...huenda wa ulimwengu huu..probably.

Mwanadamu ana full package..mwanadamu ana kila kitu. Each and everything. All at once. Everything.

Ila mwanadamu wa sasa (mimi mwenyewe nikiwemo) hatujafikia kuwaka (enlightened) na kuwa na full packages, tuna code nyingi sana zimefungiwa...(zile codes za ku-pingana na asili, kupaa au kusepa na kurudi, kujua yajayo, kwenda past, n.k.) ndio maana watu wa imani za meditation wanaelekeza namna ya kufungua uungu wa mwanadamu, kwa meditation..kuwa full package, complete.

Sasa dini ina namna zake za kufungua hizo code pia na kuwa full package..ila yenyewe haina mpango sana na vya muda mfupi, yenyewe inadili na maisha ya milele ya mwanadamu, ile purity ya mbinguni ambayo mungu mwenyewe ameiumba.

Vingine ni ngumu kuelewa kama hauko tayari kuelewa..kwa sababu inamaliza sana nguvu ya akili yako, au nafsi yako..etc.

You gotta be seriously smart..and not just dumb.
🤣Kwa Nini Mungu muweza yote mjua yote na mpenda wote aandike kitabu jau chenye moral scientific and historical inconsistencies not to say logically impossible things.... 🤣Mi siwezi maliza nguvu at things that are made up by some old dumb idiots... Science ni ngumu but it works ndo maana Einstein anaheshimika newton hata bill gates ni watu wenye heshima duniani for wat they achieved na hawakuforce watu kupitia vitisho na story story they earned people's respect🤣Bible ni moja ila madhehebu laki moja kila mtu ana lake ..roho mtakatifu sijui kila mtu anae coz ni akili yako tu ndo maana Huyu anaambiwa hiki mwingine anaambiwa kile...fake made up bullcrap
 
Pumzi sio roho na Roho sio pumzi.
Logically upo sahihi, ila vyote ni kitu kimoja ila vinafanya kazi kwenye ulimwengu mbili tofauti.

Pumzi ipo kwenye ulimwengu wa mwili (flesh) ila kwenye ulimwengu wa roho (spiritual world) kuna roho.

Zote hizo ni powering up tools za miili (bodies) husika

Hapa kwenye miili nimemaanisha majumba, ambayo yana powering up hizo bodies.

Si tunasema kuwa bila pumzi mtu anakufa..ni sahihi. Na kwenye ulimwengu wa roho, bila roho mtu, kitu au jambo halina uwepo (existence) ndio maana pumzi inashikamana na roho. Haya maelezo zaidi ya hapo ni Mungu mwenyewe anajua..maana ni tech ya Mbinguni hioooo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mbona vingi tu vishachimbuliwa vilivyomo kwenye bible
🤣 Nimekuuliza mbona archaeology iliyofanyika Israel na misri haijaonyesha chochote kuhusu Musa, kuwa watumwa misri, kupigana vita na miji 30, kukaa jangwani miaka 40, etc Kama ni ukweli si hivi vitu vingejulikana kupitia archaeology why hamna evidence ya Exodus nzima mpaka bible scholars na historians wanakimbilia kusema ni mafumbo
 
Back
Top Bottom