Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Umenena mkuu, mambo mengine ukitumia nguvu unaharibu zaidi,Uganda ilitakiwa ijiandae kwa kuwa independent kiuchumi,kísiasa,kijamii hata na kiuchumi pia.Itamuumiza sana kiuchumi na possibly ndo anaenda kuondoka softly au in a hard way.Hili jambo la ushoga na usagaji,lipo miaka na miaka na na haliwezi kumalizwa kiurahisirahisi kwa kasi yake ilivyotamalaki sasa.Mu7 angelikalia kimya huku wizara yake ya utamaduni ikilinda maadili kwa kutoa elimu kila uchwao kwa wananchi,ili maadili yaendelee kilindwa kama Zamani.Watakaopotoka wapotoke kivyao,na watakaofuata maadili wafuate kimyakimya kama ilivyokua kipindi cha nyuma.Inasikitisha sana mtu kuwa shoga,ila sasa kutunga sheria ngumu,sidhani kama ni suluhu,matokeo yake nchi yake huyu Mu7,itakosa madawa na misaada mingine,na suluhu itakua kufa au kuuawa na wazungu directly au indirectly.
Embu imagine binadamu anavunja amri za Mungu aliyemuumba sembuse Sheria za bunge