bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ni kinyume na haki za binadam kuwalazimisha watu wafate Tabia wasizozitaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna watu wasio na faida,Hawa wasio na faida ndio wanunuzi wakubwa wa Bidhaa zenuKwanza bora hata mpungue maana hamna faida yoyote dunia.
Majitu kutwa nzima yanashabikia simba na yanga, mara yanayashibikia zuchu.
Nyie hata mkipunguzwa ni sawa tu, tumechoshwa na kundi kubwa la vilaza wasio na faida yoyote ulimwenguni zaidi ya kuchafua mazingira na kushabikia zuchu.
Ni ndoto ya kila binadamu kukanyaga usa kabla hajafaKwani Marekani ni mbinguni kuwa asipoenda atakosa mbingu
Na wanajua pa kuwakamatia ni kwenye kibunda cha mikopo tu. 🤣🤣🤣Tatizo la viongozi wa afrika ni unafiki, ushoga sio utamaduni wetu kama nchi zote za Afrika zingeungana kupitisha sheria kama hiyo unafikiri Us angetishia sanasana angekaa kimya.
Wazungu na Wamarekani wanajua ili watutawale inabidi waharibu tamaduni zetu kwanza
UTUMWA kabisa huo.....Na wanajua pa kuwakamatia ni kwenye kibunda cha mikopo tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo lazma mtalegeza masharti tuUTUMWA kabisa huo.....
Uganda ipo....Mwisho wa utawala wa Museveni nauona unakuja...
Je ni hadi lini ?!!!Hapo lazma mtalegeza masharti tu
Uganda wana haki kujiamulia watakavyo.We shoga mwandamizi kaa kimya na heshimu haki za wana Uganda.
Lengo la ushoga ni hilo, hasa kutafuta mbinu za kupunguza population ya black race and other poor Nations kinyemela.Naona spika wa Uganda kafutiwa Visa na Marekani. Museven kanyaga twende inabidi kuilinda human race isijimalize kama ambavyo mtu akitaka kujiua ni kosa.