Waafrika bado tumetawaliwa, bado ni watumwa, hatupo huru ndio maana Mambo Kama haya yanatokea. Kama tupo huru kwanini maamuzi yetu hayapewi nafasi dhidi yao?
Wametukamatia kwenye mikopo na misaada, wazungu wanawasaidia Waafrika kwa kuwapa pesa na misaada ili wazidi kuwa masikini zaidi ili waweze kuwatawala.
Siku ulaya itakapo acha kuipa pesa afrika ndipo afrika itakapoanza kuinuka
Wametukamatia kwenye mikopo na misaada, wazungu wanawasaidia Waafrika kwa kuwapa pesa na misaada ili wazidi kuwa masikini zaidi ili waweze kuwatawala.
Siku ulaya itakapo acha kuipa pesa afrika ndipo afrika itakapoanza kuinuka
Hakika maana hakuna jambo lenye kuepusha athari tunaloliamua likaungwa mkono, wao ni kupinga na kutoa vitisho vya kuweka vikwazo vya misaada ili tubadili maamuzi na misimamo yetu. Huu sio uhuru wa kweli wanaitumia misaada kupush ajenda zao. Msaada unaoulipia huo sio msaada, wanatutumia.